< 2 Samuel 2 >

1 Therfor aftir these thingis Dauid counseilide the Lord, and seide, Whether Y schal stie in to oon of the citees of Juda? And the Lord seide to hym, Stie thou. And Dauid seide to the Lord, Whidur schal Y stie? And the Lord answeride to hym, In to Ebron.
Ikawa baada ya haya Daudi akamuuliza Yahwe, “Je naweza kuupandia mmojawapo wa miji ya Yuda?” Yahweh akamjibu, “Panda.” Daudi akauliza, “Niuendee mji upi? Yahwe akajibu, “Hebroni”
2 Therfor Dauid stiede, and hise twei wyues, Achynoem of Jezrael, and Abigail, the wijf of Nabal of Carmele.
Hivyo Daudi akakwea pamoja na wake zake wawili, Ahinoamu wa Yezreeli, na Abigaili wa Karmeli, mjane wa Nabali.
3 But also Dauid ledde the men that weren with hym, ech man with his hows; and thei dwelliden in the townes of Ebron.
Daudi akawaleta watu waliokuwa pamoja naye, na kila mmoja akaleta familia yake katika mji wa Hebroni walipoanza kuishi.
4 And the men of Juda camen, and anoyntiden there Dauid, that he schulde regne on the hows of Juda. And it was teld to Dauid, that men of Jabes of Galaad hadden biried Saul.
Kisha watu wa Yuda wakaja na kumtia Daudi mafuta kuwa mfalme juu ya nyumba ya Yuda. Wakamwambia Daudi, “Watu wa Yabeshi Gileadi wamemzika Sauli.”
5 Therfor Dauid sente messangeris to the men of Jabes of Galaad, and seide to hem, Blessid be ye of the Lord, that diden this mercy with your lord Saul, and birieden hym.
Hivyo Daudi akatuma wajumbe kwa watu wa Yabeshi Gileadi akawambia, “Mbarikiwe na Yahwe, kwa kuwa mmeonesha utiifu huu kwa bwana wenu Sauli mliyemzika.
6 And now sotheli the Lord schal yelde to you merci and treuthe, but also Y schal yelde thankyng, for ye diden this word.
Sasa Yahwe awadhihirishie utiifu na uaminifu wa kiagano. Nami pia nitawaonesha wema kwa sababu ya yale mliyoyafanya.
7 Youre hondis be coumfortid, and be ye sones of strengthe; for thouy youre lord Saul is deed, netheles the hows of Juda anoyntide me kyng to `hym silf.
Sasa basi, mikono yenu itiwe nguvu; mwe jasiri kwa maana Sauli bwana wenu amekufa, na nyumba yote ya Yuda imenitia mafuta niwe mfalime wao.
8 Forsothe Abner, the sone of Ner, prince of the oost of Saul, took Isbosech, the sone of Saul, and ledde hym aboute bi the castels,
Lakini Abneri mwana wa Neri, mkuu wa jeshi la Sauli, akamchukuwa Ishboshethi mwana wa Sauli akamleta Mahanaimu.
9 and made him kyng on Galaad, and on Gethsury, and on Jezrael, and on Effraym, and on Beniamyn, and on al Israel.
Akamfanya Ishboshethi mfalme juu ya Gileadi, Asheri, Yezreeli, Efraimu, Benjamini na juu ya Israeli yote.
10 Isbosech, the sone of Saul, was of fourti yeer, whanne he began to regne on Israel; and he regnede twei yeer. Sotheli the hous aloone of Juda suede Dauid.
Ishiboshethi mwana wa Sauli alikuwa na umri wa miaka arobaini alipoanza kutawala juu ya Israeli, akatawala miaka miwili. Lakini nyumba ya Yuda ikaambatana na Daudi.
11 And the noumbre of daies, bi whiche Dauid dwellide regnynge in Ebron on the hows of Juda, was of seuene yeer and sixe monethis.
Muda ambao Daudi alikuwa mfalme juu ya nyumba ya Yuda huko Hebroni ni miaka saba na miezi sita.
12 And Abner, the sone of Ner, yede out, and the children of Isbosech, sone of Saul, fro the castels in Gabaon.
Abneri mwana wa Neri na watumishi wa Ishboshethi mwana wa Sauli walitoka Mahanaimu kwenda Gibeoni.
13 Forsothe Joab, the sone of Saruye, and the children of Dauid yeden out, and camen to hem bisidis the cisterne in Gabaon. And whanne thei hadden come togidere in to o place euene ayens, these saten on o part of the cisterne, and thei on the tother.
Yoabu mwana wa Seruya na watumishi wa Daudi wakatoka na kukutana nao katika bwawa la Gibeoni. Wakakaa pale, kundi moja upande huu wa bwawa na kundi lingine upande wa pili.
14 And Abner seide to Joab, `The children rise, and plei befor us. And Joab answeride, Rise thei.
Abneri akamwambia Yoabu, “haya, vijana na wainuke na kushindana mbele yetu.” Yoabu akajibu, “haya na wainuke.”
15 Therfor thei risiden, and passiden twelue in noumbre of Beniamyn, of the part of Isbosech, sone of Saul; and twelue of the children of Dauid.
Ndipo vijana walipoinuka na kukutana, kumi na wawili kwa ajili ya Banjamini na Ishboshethi mwana wa Sauli, na kumi na wawili kutoka kwa watumishi wa Daudi.
16 And ech man, whanne `the heed of his felowe was takun, fastnede the swerde in to the side of `the contrarye; and thei felden doun togidere. And the name of that place was clepid The Feeld of stronge men in Gabaon.
Kila mtu akakamata kichwa cha adui yake na kupiga upanga wake katika ubavu wa adui yake, wakaanguka chini pamoja. Kwa hiyo mahali pale pakaitwa kwa Kiebrania, “Helkath Hazzurim,” yaani “konde la upanga,” lililopo Gibeoni.
17 And `batel hard ynow roos in that dai; and Abner and the sones of Israel `weren dryuun of the children of Dauid.
Vita ikawa kali sana siku ile na Abneri na watu wa Israeli wakashindwa na watumishi wa Daudi.
18 Forsothe thre sones of Saruye weren there, Joab, and Abisai, and Asahel; forsothe Asahel was a `rennere moost swift, as oon of the capretis that dwellen in woodis.
Wana watatu wa Seruya walikuwepo pale: Yoabu, Abishai na Asaheli.
19 Forsothe Asahel pursuede Abner, and bowide not, nether to the riyt side nether to the left side, ceessynge to pursue Abner.
Asaheli alikuwa mwepesi miguuni kama paa. Akamfuatilia Abneri kwa karibu bila kugeuka upande wowote.
20 Therfor Abner bihelde bihynde his bac, and seide, Whether thou art Asahel?
Abneri akaangalia nyuma yake na kusema, “Ni wewe Asaheli?” Akajibu, “ni mimi.”
21 Which answeride, Y am. And Abner seide to hym, Go to the riytside, ether to the lefte side; and take oon of the yonge men, and take to thee hise spuylis. Sotheli Asahel nolde ceesse, that ne he pursuede hym.
Abneri akamwambia, “Geuka upande wako wa kuria au kushoto umshike mmojawapo wa vijana na kuchukua silaha yake.” Lakini Asaheli hakugeuka.
22 And eft Abner spak to Asahel, Go thou awei; nyle thou pursue me, lest Y be compellid to peerse thee in to erthe, and Y schal not mowe reise my face to Joab, thi brother.
Ndipo Abneri alipomwambia tena Asaheli, “Simama usinifuate. Kwa nini nikupige hata chini? Nitautazamaje uso wa Yoabu ndugu yako?”
23 And Asahel dispiside to here, and nolde bowe awey. Therfor Abner smoot him `with the spere turned awei in the schar, and roof thorouy, and he was deed in the same place; and alle men that passiden bi the place, in which place Asahel felde doun, and was deed, stoden stille.
Lakini Asaheli hakukubari kugeuka. na hivyo Abneri akamchoma kwa nchi ya mkuki wake, hata ukatokea upande wa pili. Asaheli akaanguka chini akafa. Hata ikawa kila mmoja aliyefika mahali pale Asaheli alipoanguka na kufa, alisimama hapo hapo.
24 Forsothe while Joab and Abisai pursueden Abner fleynge, the sunne yede doun; and thei camen til to the litil hil of the water cundiyt, which is euene ayens the valey, and the weie of deseert in Gabaon.
Lakini Yoabu na Abishai wakamfuatilia Abneri. Wakati jua linazama walikuwa wamefika mlima wa Amma, uliopo karibu na Gia katika njia ielekeayo nyika ya Gibeoni.
25 And the sones of Beniamyn weren gaderid to Abner, and thei weren gaderid togidere in to o cumpeny, and stoden in the hiynesse of oon heep of erthe.
Wabenjamini wakajikusanya nyuma ya Abneri na kusimama juu ya kilima.
26 And Abner criede to Joab, and seide, Whether thi swerd schal be feers `til to sleyng? Whether thou knowist not, that dispeir is perelouse? Hou longe seist thou not to the puple, that it ceesse to pursue hise britheren?
Kisha Abneri akamwita Yoabu na kusema, “Je ni lazima upanga uendelee kurarua daima? Je haujui kwamba mwisho wake utakuwa mchungu? Hata line ndipo uwaambie watu wako waache kuwafuatia ndugu zao?”
27 And Joab seyde, The Lord lyueth, for if thou haddist spoke eerli, the puple pursuynge his brother hadde go awey.
Yoabu akajibu, “Kama Mungu aishivyo, usingesema hivyo, askari wangu wangewafuatia ndugu zao hata asubuhi!”
28 And Joab sownede with a clarioun, and al the oost stood; and thei pursueden no ferthere Israel, nether bigunnen batel.
Ndipo Yoabu akapiga tarumbeta, na watu wake wote wakasimama na hawakuendelea kuwafuata Israeli tena wala hawakupigana tena.
29 Forsothe Abner and hise men yeden by the feeldi places of Moab in al that nyyt, and passiden Jordan; and whanne al Bethoron was compassid, thei camen to the castels.
Abneri na watu wake wakasafiri usiku wote kupitia Araba. Wakavuka Yordani, wakatembea asubuhi yote iliyofuata, na hata wakafika Mahanaimu.
30 Sotheli whanne Abner was left, Joab turnede ayen, and gaderide togidere al the puple; and ten men and nyne, outakun Asahel, failiden of the children of Dauid.
Yoabu akarudi kutoka katika kumfuatia Abneri. Akawakusanya watu wake wote, ambopo Asahali na askari wengine kumi na tisa wa Daudi walipungua.
31 Forsothe the seruauntis of Dauid smytiden of Beniamyn, and of the men that weren with Abner, thre hundrid men and sixti, whiche also weren deed.
Lakini watu wa Daudi walikuwa wameua watu 360 wa Benjamini na Abneri.
32 And thei token Asahel, and birieden hym in the sepulcre of his fadir in Bethleem. And Joab, and the men that weren with hym, yeden in al that nyyt, and in thilke morewtid thei camen in to Ebron.
Kisha wakamchukua Asahali na kumzika katika kaburi la baba yake, lililokuwapo Bethlehemu. Yoabu na watu wake wakasafiri usiku wote, kukacha wakati wanafika Hebroni.

< 2 Samuel 2 >