< 2 Chronicles 17 >

1 Forsothe Josaphat, his sone, regnyde for hym; and he hadde the maistrye ayens Israel.
Yehoshafati mwanawe akawa mfalme baada yake na akajiimarisha dhidi ya Israeli.
2 And he settide noumbris of knyytis in alle the citees of Juda, that weren cumpassid with wallis, and he disposide strong holdis in the lond of Juda, and in the citees of Effraym, whiche Asa, his fadir, hadde take.
Akaweka jeshi katika miji yote ya Yuda yenye ngome na kuweka askari walinzi katika Yuda na katika miji ya Efraimu ile ambayo baba yake Asa alikuwa ameiteka.
3 And the Lord was with Josaphat, whiche yede in the firste weies of Dauid, his fadir; he hopide not in Baalym,
Bwana Mungu alikuwa na Yehoshafati kwa sababu katika miaka yake ya mwanzoni alienenda katika njia za Daudi baba yake. Hakutafuta Mabaali
4 but in the Lord God of Dauid, his fadir, and he yede in the comaundementis of God, and not bi the synnes of Israel.
bali alimtafuta Mungu wa baba yake na kuzifuata amri zake badala ya kufuata desturi za watu wa Israeli.
5 And the Lord confermyde the rewme in his hond; and al Juda yaf yiftis to Josaphat, and ritchessis with outen noumbre, and myche glorie weren maad to hym.
Kwa hiyo Bwana akauimarisha ufalme chini ya uongozi wake, nao Yuda wote wakamletea Yehoshafati zawadi, hivyo akawa na utajiri mwingi na heshima.
6 And whanne his herte hadde take hardynesse for the weies of the Lord, he took awei also hiy placis and wodis fro Juda.
Moyo wake ukawa hodari katika njia za Bwana na zaidi ya yote, akaondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu na nguzo za Maashera katika Yuda.
7 Forsothe in the thridde yeer of his rewme he sente of hise princes Benail, and Abdie, and Zacarie, and Nathanael, and Mychee, that thei schulden teche in the citees of Juda;
Katika mwaka wa tatu wa utawala wa akatuma maafisa wake ambao ni: Ben-Haili, Obadia, Zekaria, Nethaneli na Mikaya ili kufundisha katika miji ya Yuda.
8 and with hem he sente dekenes Semeye, and Nathanye, and Zabadie, and Azahel, and Semyramoth, and Jonathan, and Adonye, and Thobie, and Abadonye, dekenes; and with hem `he sente Elisama and Joram, preestis;
Pamoja nao walikuwepo Walawi fulani nao ni: Shemaya, Nethania, Zebadia, Asaheli, Shemiramothi, Yehonathani, Adoniya, Tobia, Tob-Adonia, pamoja nao walikuwepo makuhani Elishama na Yehoramu.
9 and thei tauyten the puple in Juda, and hadden the book of the lawe of the Lord; and thei cumpassiden alle the citees of Juda, and tauyten al the puple.
Wakafundisha Yuda yote, wakiwa wamechukua Kitabu cha Sheria ya Bwana wakazunguka miji yote ya Yuda na kufundisha watu.
10 Therfor the drede of the Lord was maad on al the rewmes of londis, that weren `bi cumpas of Juda; and tho dursten not fiyte ayens Josaphat.
Hofu ya Bwana ikawa juu ya falme zote za nchi zilizozunguka Yuda, hivyo hawakufanya vita na Yehoshafati.
11 But also Filisteis brouyten yiftis to Josaphat, and tol of siluer; and men of Arabie brouyten scheep seuene thousynde, and seuene hundrid of wetheris, and so many buckis of geet.
Baadhi ya Wafilisti wakamletea Yehoshafati zawadi na fedha kama ushuru, nao Waarabu wakamletea mifugo: kondoo dume 7,700 na mbuzi 7,700.
12 Therfor Josaphat encreesside, and was magnified `til in to an hiy; and he bildide in Juda housis at the licnesse of touris, and stronge citees;
Yehoshafati akaendelea kupata nguvu zaidi na zaidi, akajenga ngome na miji ya hazina katika Yuda
13 and he made redi many werkis in the citees of Juda. Also men werriouris and stronge men weren in Jerusalem;
na akawa na wingi mkubwa wa vitu katika miji ya Yuda. Pia aliweka askari wa vita wenye uzoefu huko Yerusalemu.
14 of whiche this is the noumbre, `bi the housis and meynees of alle in Juda. Duyk Eduas was prince of the oost, and with hym weren thre hundrid thousynde ful stronge men.
Wakaandikishwa katika jamaa zao kama ifuatavyo: Kutoka Yuda, majemadari wa vikosi vya elfu: Jemadari Adna akiwa na askari wa vita 300,000;
15 Aftir hym was Johannan prince, and with hym weren two hundrid thousynde and foure scoore thousynde.
aliyefuata ni jemadari Yehohanani, akiwa na askari 280,000 walio tayari kwa vita;
16 After this also Amasye, the sone of Zechri, was halewid to the Lord, and with hym weren two hundrid thousynde of stronge men.
aliyefuata ni Amasia mwana wa Zikri, ambaye alijitolea kwa ajili ya kazi ya Bwana, akiwa na askari 200,000.
17 Eliada myyti to batels suede this Amasie, and with hym weren two hundrid thousynde of men holdynge bouwe and scheeld.
Kutoka Benyamini: Eliada, askari shujaa akiwa na watu 200,000 wenye silaha za nyuta na ngao;
18 Aftir this was also Josaphat, and with hym weren an hundrid thousynde and foure scoore thousynde of redi knyytis.
aliyefuata ni Yehozabadi, akiwa na askari 180,000 wenye silaha za vita.
19 Alle these weren at the hond of the kyng, outakun othere, whiche he hadde put in wallid cytees and in al Juda.
Hawa ndio waliomtumikia mfalme, mbali na wale mfalme aliweka katika miji yenye ngome huko Yuda yote.

< 2 Chronicles 17 >