< 1 Kings 6 >
1 Forsothe it was doon in the fourthe hundrid and fourescore yeer of the goynge out of the sones of Israel fro the lond of Egipt, in the fourthe yeer, in the monethe Zio; thilke is the secounde monethe of the rewme of Salomon on Israel; he bigan to bilde an hows to the Lord.
Kwa hiyo Sulemani akaanza kulijenga hekalu. Hii ilikuwa mwaka wa 480 baada ya wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri, katika mwaka wa nne wa utawala wa Sulemani huko Israeli, katika mwezi wa Ziv, ambao ndio mwezi wa pili.
2 Forsothe the hows which kyng Salomon bildide to the Lord, hadde sexti cubitis in lengthe, and twenti cubitis in breede, and thretti cubitis in heiythe.
Hekalu ambalo mfalme Sulemani alimjengea BWANA lilikuwa na urefu wa mita 27, na upana wa mita 9, na kimo cha mita 13. 5.
3 And a porche was bifor the temple of twenti cubitis of lengthe, by the mesure of the breed of the temple; and the porche hadde ten cubitis of breede, bifor the face of the temple.
Na ukumbi uliokuwa mbele ya hekalu ulikuwa na urefu wa mita 9 na upana wa mita 4. 5 sawa na upana wa sehemu kuu ya hekalu.
4 And Salomon made in the temple `wyndows streyte withoutforth, and large with ynne.
Lile hekalu alilitengenezea madirisha ambayo fremu zake kwa nje yalifanya yaonekane membamba kuliko ile sehemu ya ndani.
5 And he bildide on the wal of the temple bildyngis of tablis bi cumpas, in the wallis of the hows, `bi cumpas of the temple, and of Goddis answeryng place; and he made sidis in the cumpas.
Na ukuta wa nyumba aliuzungushia vyumba kuzunguka pande zake, kushikamana na vyumba vya nje na vya ndani ya hekalu. Akajenga vyumba katika pande zote.
6 The bildyng of tablis, that was vndur, hadde fyue cubitis of breede; and the myddil bildyng of tablis was of sixe cubits of breede; and the thridde bildyng of tablis was hauynge seuene cubitis of breede. Sotheli he puttide beemys in the hous bi cumpas with outforth, that tho cleuiden not to the wallis of the temple.
Kile chumba cha chini kilikuwa na upana wa mita 2. 3, kile cha kati kilikuwa na upana wa mita 2. 8. na kile cha tatu kilikuwa na upana wa mita 3. 2. upande wa nje akaupunguza ukuta wa nyumba pande zote, ili boriti zisishikamane ukutani mwa nyumba.
7 Forsothe whanne the hows was bildid, it was bildid of `stoonys hewid and perfit; and an hamer, and ax, and al thing maad of yrun, weren not herd in the hows, while it was in bildyng.
Hekalu lilijengwa kwa mawe yaliyokuwa yamechongwa chimboni. Hakuna nyundo, wala shoka au chombo chochote cha chuma kilisikika wakati hekalu lilipokuwa likjengwa.
8 The dore of the myddil side was in the wal of the riythalf hows; and bi a vijs thei stieden in to the myddil soler, and fro the myddil soler in to the thridde soler.
Upande wa kusini wa hekalu kulikuwa na lango la chini, ambalo mtu hupanda kwa madaraja mpaka juu kwenye chumba cha kati, na kutoka chumba cha kati hadi chumba cha tatu.
9 And Salomon bildide the hows, and endide it. Also Salomon hilide the hows with couplis of cedre,
Kwa hiyo Sulemani akalijenga hekalu mpaka akalimaliza, akalifunika hekalu kwa boriti na mbao za mwerezi.
10 and bildide a bildyng of tablis ouer al the hows, bi fyue cubitis of heiythe, and hilide the hows with `trees of cedre.
Akajenga vyumba vya pembeni mwa hekalu, kila upande mita 2. 3 kwenda juu. Navyo vikaunganishwa na hekalu kwa mbao za mierezi.
11 And the word of the Lord was maad to Salomon, and seide,
Neno la BWANA likamjia Sulemani, likisema,
12 This is the hows, which thou bildist; if thou gost in myn heestis, and dost my domes, and kepist alle my comaundementis, and goist bi tho, Y schal make stidefast my word to thee, `which word Y spak to Dauid, thi fadir;
“Kuhusu hili hekalu ambalo unajenga, kama utatatembea katika maagizo yangu na kuhukumu kwa haki, na kutunza amri zangu na kuishi kwa hizo, ndipo ntakapozithibitisha ahadi zangu na wewe ambazo niliziahidi kwa baba yako Daudi.
13 and Y schal dwelle in the myddis of the sones of Israel, and Y schal not forsake my puple Israel.
Nitaishi kati ya watu wa Israeli nami sitawatupa.”
14 Therfor Salomon bildide the hows, and endide it;
Kwa hiyo Sulemani akalijenga hekalu mpaka akalimaliza.
15 and he bildide the wallis of the hows with ynne with tablis of cedre, fro the pawment of the hows `til to the heiynesse of the wal, and `til to the couplis; and hilide with trees of cedre with ynne; and he hilide the pawment of the hows with tablis of beeche.
Kisha akajenga kuta za ndani za hekalu kwa mbao za mwerezi. Kuanzia sakafu ya hekalu hadi boriti za juu, kwa ndani akazifunika kwa miti, na akaifunika sakafu kwa mbao za miberoshi.
16 And he bildide a wal of tablis of cedre of twenti cubitis at the hyndrere part of the temple, fro the pawment `til to the hiyere partis; and he made the ynnere hows of Goddis answeryng place, in to the hooli of hooli thingis.
Alijenga mita 9 ndani ya hekalu kwa mbao za miberoshi kutoka sakafuni hadi juu. Hiki ni chumba cha ndani, cha patakatifu sana.
17 Sotheli thilke temple bifor the doris of Goddis answering place was of fourti cubitis.
Ule ukumbu mkuu, ulikuwa mahali pakatifu amabao ulikuwa mbele ya patakatifu sana, ulikuwa wa mita 18. hapo kulikwa na mbao za mwerezi ndani ya hekalu, zilizokuwa zimechongwa kwa sura ya vibuyu na maua yaliyochanua.
18 And al the hows with ynne was clothid with cedre, and hadde hise smethenessis, and hise ioynyngis maad suteli, and grauyngis apperynge aboue; alle thingis weren clothid with tablis of cedre, and outirli a stoon miyte not appere in the wal.
Zote zilikuwa za mierezi kwa ndani. Hapakuonekana chochote ndani kilichokuwa kimetengenezwa kwa mawe.
19 Forsothe Salomon made Goddis answeryng place in the myddis of the hows, in the ynnere part, that he schulde sette there the arke of boond of pees of the Lord.
Sulemani alitengeneza kile chumba cha ndani kwa lengo la kuweka sanduku la agano la BWANA.
20 Sotheli Goddis answeryng place hadde twenti cubitis of lengthe, and twenti cubitis of breede, and twenti cubitis of hiyte; and he hilide, and clothide it with pureste gold; but also he clothide the auter with cedre.
Kile chumba cha ndani kilikuwa na upana wa mita 9, na kimo cha mita 9. Sulemani alizifunika kuta kwa dhabahu na madhabahu aliifunika kwa mbao za mierezi.
21 Also he hilide with pureste gold the hows bifor `Goddis answeryng place, and fastnyde platis with goldun nailis.
Sulemani alifunika ndani ya hekalu kwa dhahabu safi na akaweka mikufu ya dhahabu iliyopita mbele ya chumba cha ndani, na kulifunika eneo la mbele kwa dhabahu.
22 No thing was in the temple, `which thing was not hilid with gold; but also he hilid with gold al the auter of Goddis answeryng place.
Akalisakafia kwa dhahabu eneo lote la ndani mpaka akamaliza hekalu lote. Pia akalisakafia kwa dhahabu madhahabu yote ya chumba cha ndani.
23 And he made in `Goddis answeryng place twey cherubyns of the trees of olyues, of ten cubits of heiyte;
Sulemani akatengeneza makerubi mawili kwa mbao za mizeituni, kila moja lilikuwa na kimo cha mita 4. 5 kwa ajili ya chumba cha ndani.
24 o wynge of cherub was of fyue cubitis, and the tother wynge of cherub was of fyue cubitis, that is, hauynge ten cubitis, fro the heiynesse of `the o wynge `til to the hiynesse of the tother wynge.
Bawa moja la kerubi wa kwanza lilikuwa na urefu wa mita 2. 3. Kwa hiyo kutoka ncha ya bawa moja hadi ncha ya bawa lingine kulikuwa na umbali wa mita 4. 5. Yule
25 And the secunde cherub was of ten cubitis in euene mesure; and o werk was in the twey cherubyns,
kerubi mwingine naye alikuwa na bawa lenye kipimo cha mita 4. 5 Makerubi hawa walikuwa wanafanana kwa umbo na kwa vipimo.
26 that is, o cherub hadde the hiythe of ten cubitis, and in lijk maner the tother cherub.
Kimo cha kerubi mmoja kilikuwa mita 4. 5 na yule wa pili alikuwa hivyo hivyo.
27 And he settide cherubyns in the myddis of the ynnere temple; forsothe the cherubyns helden forth her wyngis, and o wenge touchide the wal, and the wynge of the secunde cherub touchide the tother wal; forsothe the othere wyngis in the middil part of the temple touchiden hem silf togidere.
Sulemani aliwaweka hao kerubi kwenye chumba cha patakatifu sana. Bawa moja la kerubi lilikuwa limeenea kiasi kwamba bawa moja liligusa ukuta huu na bawa la yule wa pili nalo liligusa ukuta wa upande mwingine. Hayo mabawa yalikuwa yanakutana katikati ya chumba cha patakatifu sana.
28 And he hilide the cherubyns with gold,
Sulemani aliwafunika hao kerubi kwa dhahabu.
29 and alle the wallis of the temple `bi cumpas; and grauyde with dyuerse grauyngis and smethenesse; and he made in tho wallys cherubyns, and palmes, and dyuerse peynturis, as stondinge forth and goynge out of the wal.
Akazinakshi kuta zote kwa sura za makerubi, miti ya mitende, na maua yaliyochanua, kwa vyumba vya nje na vya ndani.
30 But also he hilide with gold the pawment of the hows, withynne and with outforthe.
Sulemani akalisakafia hekalu kwa dhahabu, kwa vyumba vyote vya ndani na vya nje.
31 And in the entryng of `Goddis answering place he made twei litil doris of the trees of olyues; and he made postis of fyue corneris,
Sulemani akatengeneza milango ya mbao za mizeituni kwenye lango la kuingia ndani. Aliweka vizingiti na miimo kwenye pande tano.
32 and twei doris of the trees of olyues; and grauyde in tho the peynture of cherubyns, and the licnessis of palmes, and grauyngis aboue stondynge forth gretli; and he hilide tho with gold; and he hilide as wel the cherubyns, as palmes, and othere thingis with gold.
Kwa hiyo akatengeneza na milango miwili ya mizeituni, na akainakshi kwa makerubi, na mitende, na maua yaliyochanua. Akasakafia kwa dhahabu na akatandaza dhahabu kwenye makerubi na kwenye mitende.
33 And in the entring of the temple he made postis foure cornerid of the trees of olyues;
Kwa njia hii, akalitengenezea hekalu miimo miwili ya mbao za mizeituni yenye pande nne
34 and he made twei doris of the trees of beech, ech ayens other; and euer either dore was double, and it was openyd holdynge it silf togidere.
na milango miwili ya mbao za mierezi. Zile mbao mbili za mlango mmoja zilikuwa zikijikunja na mbao mbili za mlango wa pili nazo zilikuwa zikijikunja pia.
35 And he grauyde cherubyns, and palmes, and grauyngis apperynge greetli; and he hilide alle thingis with goldun platis, bi square werk at reule.
Akazinakshi kwa makerubi, mitende, na maua yaliyochanua, na pia akazisakafia kwa dhahabu juu ya zile nakshi.
36 And he bildide a large street with ynne, bi thre ordris of stoonys maad fair, and bi oon ordre of trees of cedre.
Akalijengs Korido la ndani kwa safu tatu za mawe ya kuchongwa na safu moja ya mhimili wa mierezi.
37 The hows of the Lord was foundid in the fourthe yeer, in the monethe Zio;
Msingi wa hekalu ulijengwa katika mwaka wa nne, wa mwezi wa Ziv.
38 and the hows was maad perfit in al his werk, and in alle vessels, ether `purtenauncis, in the eleuenthe yeer, in the monethe Zebul; thilke is the eiythe monethe; and he bildide that hows in seuene yeer.
Mwaka wa kumi na moja mwezi wa Buli, ambao ndio mwezi wa nane, sehemu zote za hekalu zilimalizika na sharti zake zote. Sulemani alilijenga hekalu kwa miaka saba.