< 1 Chronicles 8 >

1 Forsothe Beniamyn gendride Bale his firste gendrid sone, Asbaal the secounde, Othora the thridde,
Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
2 Naua the fourthe, and Rapha the fyuethe.
Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
3 And the sones of Bale weren Addoar, and Jera, and Abyud, and Abisue,
Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
4 and Noemany, and Acte,
Abishua, Naamani, Ahoa,
5 but also Gera, and Sophupham, and Vram.
Gera, Shefufani na Huramu.
6 These ben the sones of Haoth, princes of kynredis dwellynge in Gabaa, that weren translatid in to Manath.
Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
7 Forsothe Noaman, and Achia, and Jera, `he translatide hem, and gendride Oza and Abyud;
Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
8 forsothe `Saarym gendride in the cuntrey of Moab, aftir that he lefte Vrym and Bara, hise wyues;
Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
9 sotheli he gendride of Edes, his wijf, Jodab, and Sebia, and Mosa, and Molchon, also Jebus, and Sechia, and Maryna;
Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
10 tho ben the sones of hym, prynces in her meynees.
Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
11 Forsothe Musyn gendride Achitob, and Elphaal.
Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
12 Sotheli the sones of Elphaal weren Heber, and Musaam, and Samaath; he bildide Ono, and Lod, and hise villagis;
Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
13 forsothe Bara and Sama weren princes of kynredis dwellynge in Hailon; these dryueden awei the dwelleris of Geth;
na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
14 and Haio, and Sesath, and Jerymoth,
Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
15 and Zadabia, and Arod, and Heder,
Zebadia, Aradi, Ederi,
16 and Mychael, and Jespha helpiden hem `ayens men of Geth; the sones of Abaria,
Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
17 and Zadabia, and Mosollam, and Ezethi,
Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
18 and Heber, and Jesamary, and Jezlia, and Jobab helpiden `in this iurney ayens men of Geth. The sones of Elphaal weren Jachym,
Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
19 and Jechri,
Yakimu, Zikri, Zabdi,
20 and Zabdi, and Helioenay, and Selettay,
Elienai, Silethai, Elieli,
21 and Henelech, and Adaia, and Barasa, and Samarath; the sones of Semey weren Jesphan,
Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
22 and Heber, and Esiel, and Abdon,
Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
23 and Zechry, and Canaan, and Anany, and Jalam,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 and Anathotia, and Jephdaia, and Phanuel;
Hanania, Elamu, Anthothiya,
25 the sones of Sesac weren Sampsaray,
Ifdeya na Penueli.
26 and Scoria, and Otholia, and Jersia,
Shamsherai, Sheharia, Athalia,
27 and Helia, and Zechri, the sones of Jeream.
Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
28 These weren patriarkis and princes of kynredis, that dwelliden in Jerusalem.
Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
29 Forsothe in Gabaon dwelliden Abigabaon, and Maacha the name of his wijf;
Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
30 and his firste gendrid sone Abdon, and Sur, and Cys, and Baal, and Ner, and Nadab,
Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
31 and Geddo, and Haio, and Zacher, and Macelloth.
Gedori, Ahio, Zekeri,
32 Forsothe Marcelloth gendride Samaa; and thei dwelliden euene ayens her britheren in Jerusalem with her britheren.
na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
33 Forsothe Ner gendride Cys, and Cys gendride Saul; forsothe Saul gendride Jonathan, and Melchisue, and Abynadab, and Isbaal.
Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
34 Sotheli the sone of Jonathan was Myphibaal; and Myphibaal gendride Micha.
Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
35 The sones of Micha weren Phiton, and Melech, and Thara, and Ahaz.
Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
36 And Ahaz gendride Joiada; and Joiada gendride Almoth, and Azimoth, and Zamry.
Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
37 Forsothe Zamri gendride Moosa, and Moosa gendride Banaa, whos sone was Raphaia, of whom was gendrid Elesa, that gendride Asel.
Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
38 Sotheli Asel hadde sixe sones bi these names, Esricham, Bochru, Ismael, Saria, Abadia, Aman; alle these weren the sones of Asel.
Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
39 Forsothe the sones of Asa, his brothir, weren Vlam, the firste gendride sone, and Hus, the secounde, and Eliphales, the thridde.
Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
40 And the sones of Vlam weren strongeste men, and beendynge a bouwe with greet strength, and hauynge many sones, and sones of sones, til to an hundrid and fifti. Alle these weren the sones of Beniamyn.
Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.

< 1 Chronicles 8 >