< 1 Chronicles 3 >
1 Forsothe Dauid hadde these sones, that weren borun to hym in Ebron; the firste gendrid sone, Amon, of Achynoem of Jezrael; the secounde sone, Danyel, of Abigail of Carmele;
Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli; wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;
2 the thridde, Absolon, the sone of Maacha, douyter of Tolomei, kyng of Gessuri; the fourthe, Adonye, sone of Agith;
wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;
3 the fyuethe, Saphacie, of Abithal; the sixte, Jethraan, of Egla his wijf.
wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali; wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.
4 Therfor sixe sones weren borun to hym in Ebron, where he regnede seuene yeer and sixe monethis; sotheli he regnyde thre and thritti yeer in Jerusalem.
Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita. Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu,
5 Forsothe foure sones, Sama, and Sobab, and Nathan, and Salomon, weren borun of Bersabee, the douyter of Amyhel, to hym in Jerusalem;
nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Solomoni.
6 also Jabaar, and Elisama, and Eliphalech,
Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,
7 and Noge, and Napheth, and Japhie,
Noga, Nefegi, Yafia,
8 also and Elisama, and Eliade, and Eliphalech, nyne.
Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.
9 Alle these weren the sones of David, with out the sones of secoundarie wyues; and thei hadden a sistir, Thamar.
Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.
10 Sotheli the sone of Salomon was Roboam, whos sone Abia gendride Asa;
Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu, mwanawe huyo alikuwa Abiya, mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati, mwanawe huyo alikuwa Asa,
11 and Josephat, the fadir of Joram, was borun of this Asa; which Joram gendride Ocozie, of whom Joas was borun.
mwanawe huyo alikuwa Yehoramu, mwanawe huyo alikuwa Ahazia, mwanawe huyo alikuwa Yoashi,
12 And Amasie, the sone of this Joas, gendride Azarie; sotheli Azarie, the sone of Joathan,
mwanawe huyo alikuwa Amazia, mwanawe huyo alikuwa Azaria, mwanawe huyo alikuwa Yothamu,
13 gendride Achaz, the fadir of Ezechie; of whom Manasses was borun.
mwanawe huyo alikuwa Ahazi, mwanawe huyo alikuwa Hezekia, mwanawe huyo alikuwa Manase,
14 But also Manasses gendride Amon, the fadir of Josias.
mwanawe huyo alikuwa Amoni na mwanawe huyo alikuwa Yosia.
15 Forsothe the sones of Josias weren, the firste gendrid sone, Johannan; the secounde, Joachym; the thridde, Sedechie; the fourthe, Sellum.
Wana wa Yosia walikuwa: Yohanani mzaliwa wake wa kwanza, Yehoyakimu mwanawe wa pili, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.
16 Of Joachym was borun Jechonye, and Sedechie.
Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.
17 The sones of Jechonye weren Asir,
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka: Shealtieli mwanawe,
18 Salatiel, Melchiram, Phadaie, Sennaser, and Jech, Semma, Sama, and Nadabia.
Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.
19 Of Phadaie weren borun Zorobabel, and Semey. Zorobabel gendryde Mosolla, Ananye, and Salomyth, the sister of hem; and Asaba,
Wana wa Pedaya walikuwa: Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa: Meshulamu na Hanania. Shelomithi alikuwa dada yao.
20 and Ochol, and Barachie, and Asadaie, and Josabesed, fyue.
Pia walikuwepo wengine watano: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.
21 Forsothe the sone of Ananye was Falcias, the fadir of Jeseie, whose sone was Raphaie. And the sone of him was Arnan, of whom was borun Abdia, whos sone was Sechema.
Wazao wa Hanania walikuwa: Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.
22 The sone of Sechema was Semeia, whose sones weren Archus, and Gegal, and Baaria, and Naaria, and Saphat, and Sela; sixe in noumbre.
Wazao wa Shekania: Shemaya na wanawe: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.
23 The sones of Naaria weren thre, Helionai, and Ezechie, and Zichram.
Wana wa Nearia walikuwa: Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.
24 The sones of Helionai weren seuene, Odyna, and Eliasub, and Pheleia, and Accub, and Johannan, and Dalaia, and Anani.
Wana wa Elioenai walikuwa: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.