< 1 Chronicles 20 >

1 Forsothe it was doon after the ende of a yeer, in that tyme wherinne kyngis ben wont to go forth to batels, Joab gederide the oost, and the strengthe of chyualrie, and he wastide the lond of the sones of Amon, and yede, and bisegide Rabath; forsothe Dauid dwellide in Jerusalem, whanne Joab smoot Rabath, and distriede it.
Mwanzoni mwa mwaka mpya, wakati ambapo wafalme huenda vitani, Yoabu aliliongoza jeshi. Aliangamiza nchi ya Waamoni, na akaenda Raba na kuuzingira, lakini Daudi alibaki Yerusalemu. Yoabu akashambulia Raba na kuuacha ukiwa magofu.
2 Forsothe Dauid took the coroun of Melchon fro his heed, and foond therynne the weiyt of gold a talent, and moost precious iemmes, and he made therof a diademe to hym silf; also he took ful many spuylis of the citee.
Daudi akachukua taji kutoka kwa kichwa cha mfalme wao, lililokuwa na uzito wa talanta moja ya dhahabu, nayo ilizungushiwa vito vya thamani. Ikawekwa juu ya kichwa cha Daudi. Alichukua nyara nyingi kutoka mjini huo.
3 Sotheli he ledde out the puple that was therynne, and made breris, `ethir instrumentis bi whiche cornes ben brokun, and sleddis, and irone charis, to passe on hem, so that alle men weren kit in to dyuerse partis, and weren al to-brokun; Dauid dide thus to alle the `cytees of the sones of Amon, and turnede ayen with al his puple in to Jerusalem.
Akawatoa watu waliokuwa humo, akawaweka wafanye kazi kwa misumeno, sululu za chuma na mashoka. Daudi akafanya hivi kwa miji yote ya Waamoni. Kisha Daudi na jeshi lake lote wakarudi Yerusalemu.
4 Aftir these thingis a batel was maad in Gazer ayens Filisteis, wherynne Sobochai Vsachites slow Saphai of the kyn of Raphym, and mekide hem.
Baada ya muda, kulitokea vita dhidi ya Wafilisti, huko Gezeri. Wakati huo Sibekai, Mhushathi, akamuua Sipai, aliyekuwa mmoja wa wazao wa Warefai, nao Wafilisti wakashindwa.
5 Also another batel was don ayens Filisteis, in which a man youun of God, the sone of forest, a man of Bethleem, killide Goliath of Geth, the brother of giauntis, of whos schaft the tre was as the beem of webbis.
Katika vita vingine na Wafilisti, Elhanani mwana wa Yairi alimuua Lahmi nduguye Goliathi, Mgiti, ambaye mkuki wake ulikuwa na mpini kama mti wa mfumaji.
6 But also another batel bifelde in Geth, in which a ful long man was, hauynge sixe fyngris, that is, togidere foure and twenti, and he was gendrid of the generacioun of Raphaym;
Katika vita vingine tena, vilivyopiganwa huko Gathi, kulikuwako na mtu mmoja mkubwa mwenye vidole sita katika kila mkono na vidole sita katika kila mguu: jumla vidole ishirini na vinne. Yeye alikuwa pia mzao wa Mrefai.
7 he blasfemyde Israel, and Jonathan, the sone of Samaa, brother of Dauid, killide hym.
Alipowadhihaki Israeli, Yonathani, mwana wa Shimea, nduguye Daudi, akamuua.
8 These ben the sones of Raphaym in Geth, that felden doun in the hond of Dauid and of hise seruauntis.
Hawa walikuwa ndio wazao wa Warefai huko Gathi, nao walianguka kwa mikono ya Daudi na watu wake.

< 1 Chronicles 20 >