< Psalms 120 >

1 A Song of Ascents. In my distress, I cried to the LORD. He answered me.
Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
2 Deliver my soul, LORD, from lying lips, from a deceitful tongue.
Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
3 What will be given to you, and what will be done more to you, you deceitful tongue?
Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
4 Sharp arrows of the mighty, with coals of juniper.
Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
5 Woe is me, that I live in Meshech, that I dwell amongst the tents of Kedar!
Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
6 My soul has had her dwelling too long with him who hates peace.
Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
7 I am for peace, but when I speak, they are for war.
Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.

< Psalms 120 >