< Nehemiah 7 >

1 Now when the wall was built and I had set up the doors, and the gatekeepers and the singers and the Levites were appointed,
Wakati ukuta ulipomalizika na milango nimekwisha kuisimamisha, na walinzi wa malango na waimbaji na Walawi walikuwa wamechaguliwa,
2 I put my brother Hanani, and Hananiah the governor of the fortress, in charge of Jerusalem; for he was a faithful man and feared God above many.
nikampa ndugu yangu Hanani kuwa na amri juu ya Yerusalemu, pamoja na Hanania ambaye alikuwa msimamizi wa kijiji, kwa kuwa alikuwa mwaminifu na alimuogopa Mungu zaidi kuliko wengi.
3 I said to them, “Don’t let the gates of Jerusalem be opened until the sun is hot; and while they stand guard, let them shut the doors, and you bar them; and appoint watches of the inhabitants of Jerusalem, everyone in his watch, with everyone near his house.”
Nami nikawaambia, Msifungue malango ya Yerusalemu mpaka jua litakapokuwa kali. Wakati walinzi wa mlango wanalinda, unaweza kufunga milango na kuikaza. Chagua walinzi kutoka kwa wale wanaoishi Yerusalemu, wengine mahali pa kituo chao cha ulinzi, na wengine mbele ya nyumba zao wenyewe.
4 Now the city was wide and large; but the people were few therein, and the houses were not built.
Sasa jiji lilikuwa pana na kubwa, lakini kulikuwa na watu wachache ndani yake, na hakuna nyumba zilizojengwa tena.
5 My God put into my heart to gather together the nobles, and the rulers, and the people, that they might be listed by genealogy. I found the book of the genealogy of those who came up at the first, and I found this written in it:
Mungu wangu aliweka moyoni mwangu, kuwakusanya pamoja wakuu, maafisa, na watu kuwaandikisha katika familia zao. Nilipata Kitabu cha kizazi cha wale ambao walirudi kwanza na nikaona kwamba imeandikwa humo.
6 These are the children of the province who went up out of the captivity of those who had been carried away, whom Nebuchadnezzar the king of Babylon had carried away, and who returned to Jerusalem and to Judah, everyone to his city,
Hawa ndio watu wa jimbo ambao walikwenda kutoka kwenye uhamisho wa wale waliohamishwa ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwachukua mateka. Wakarudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenda kwenye mji wake.
7 who came with Zerubbabel, Yeshua, Nehemiah, Azariah, Raamiah, Nahamani, Mordecai, Bilshan, Mispereth, Bigvai, Nehum, and Baanah. The number of the men of the people of Israel:
Walikuja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana. Idadi ya wana wa Israeli ilikuwa.
8 The children of Parosh: two thousand and one hundred and seventy-two.
Wana wa Paroshi, 2, 172.
9 The children of Shephatiah: three hundred and seventy-two.
Wana wa Shefatia, 372.
10 The children of Arah: six hundred and fifty-two.
Wana wa Ara, 652.
11 The children of Pahathmoab, of the children of Yeshua and Joab: two thousand and eight hundred and eighteen.
Wana wa Pahath Moabu,
12 The children of Elam: one thousand and two hundred and fifty-four.
kwa wana wa Yeshua na Yoabu, 2, 818.
13 The children of Zattu: eight hundred and forty-five.
Wana wa Elamu, 1, 254.
14 The children of Zaccai: seven hundred and sixty.
Wana wa Zatu, 845. Wana wa Zakai, 760.
15 The children of Binnui: six hundred and forty-eight.
Wana wa Binnui, 648.
16 The children of Bebai: six hundred and twenty-eight.
Wana wa Bebai, 628.
17 The children of Azgad: two thousand and three hundred and twenty-two.
Wana wa Azgadi, 2, 322.
18 The children of Adonikam: six hundred and sixty-seven.
Wana wa Adonikamu, 667.
19 The children of Bigvai: two thousand and sixty-seven.
Wana wa Bigwai, 2, 067.
20 The children of Adin: six hundred and fifty-five.
Wana wa Adini, 655.
21 The children of Ater: of Hezekiah, ninety-eight.
Wana wa Ateri, wa Hezekia, 98.
22 The children of Hashum: three hundred and twenty-eight.
Wana wa Hashumu, 328.
23 The children of Bezai: three hundred and twenty-four.
Wana wa Besai, 324.
24 The children of Hariph: one hundred and twelve.
Wana wa Harifu, 112.
25 The children of Gibeon: ninety-five.
Wana wa Gibeoni, 95.
26 The men of Bethlehem and Netophah: one hundred and eighty-eight.
Watu kutoka Bethlehemu na Netofa, 188.
27 The men of Anathoth: one hundred and twenty-eight.
Watu wa Anathothi, 128.
28 The men of Beth Azmaveth: forty-two.
Watu wa Beth Azmaweth, 42.
29 The men of Kiriath Jearim, Chephirah, and Beeroth: seven hundred and forty-three.
Watu wa Kiriath Yearimu, Kefira, na Beerothi, 743.
30 The men of Ramah and Geba: six hundred and twenty-one.
Watu wa Rama na Geba, 621.
31 The men of Michmas: one hundred and twenty-two.
Watu wa Mikmasi, 122.
32 The men of Bethel and Ai: one hundred and twenty-three.
Watu wa Betheli na Ai, 123.
33 The men of the other Nebo: fifty-two.
Watu wa Nebo, 52.
34 The children of the other Elam: one thousand and two hundred and fifty-four.
Watu wa Elamu wa pili, 1, 254.
35 The children of Harim: three hundred and twenty.
Watu wa Harimu, 320.
36 The children of Jericho: three hundred and forty-five.
Watu wa Yeriko, 345.
37 The children of Lod, Hadid, and Ono: seven hundred and twenty-one.
Watu wa Lodi, Hadidi, na Ono, 721.
38 The children of Senaah: three thousand and nine hundred and thirty.
Watu wa Senaa, 3, 930.
39 The priests: The children of Jedaiah, of the house of Yeshua: nine hundred and seventy-three.
makuhani Wana wa Yedaya (wa nyumba ya Yeshua), 973.
40 The children of Immer: one thousand and fifty-two.
Wana wa Imeri, 1, 052.
41 The children of Pashhur: one thousand and two hundred and forty-seven.
Wana wa Pashuri, 1, 247.
42 The children of Harim: one thousand and seventeen.
Wana wa Harimu, 1, 017.
43 The Levites: the children of Yeshua, of Kadmiel, of the children of Hodevah: seventy-four.
Walawi, wana wa Yeshua, wa Kadmieli, wa Binui, wa Hodavia, 74.
44 The singers: the children of Asaph: one hundred and forty-eight.
Waimbaji wana wa Asafu; 148.
45 The gatekeepers: the children of Shallum, the children of Ater, the children of Talmon, the children of Akkub, the children of Hatita, the children of Shobai: one hundred and thirty-eight.
Waliofungua mlango wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni; wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, 138.
46 The temple servants: the children of Ziha, the children of Hasupha, the children of Tabbaoth,
Watumishi wa Hekalu wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi,
47 the children of Keros, the children of Sia, the children of Padon,
wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni,
48 the children of Lebana, the children of Hagaba, the children of Salmai,
wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai,
49 the children of Hanan, the children of Giddel, the children of Gahar,
wana wa wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari.
50 the children of Reaiah, the children of Rezin, the children of Nekoda,
Wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda,
51 the children of Gazzam, the children of Uzza, the children of Paseah,
wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea,
52 the children of Besai, the children of Meunim, the children of Nephushesim,
wana wa Besai, wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu.
53 the children of Bakbuk, the children of Hakupha, the children of Harhur,
Wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri,
54 the children of Bazlith, the children of Mehida, the children of Harsha,
wana wa Baslith, wana wa Mehida, wana wa Harsha,
55 the children of Barkos, the children of Sisera, the children of Temah,
wana wa Barkosi, wana wa Sisera, wana wa Tema,
56 the children of Neziah, and the children of Hatipha.
wana wa Nesia, wana wa Hatifa.
57 The children of Solomon’s servants: the children of Sotai, the children of Sophereth, the children of Perida,
Wana wa Sulemani, wana wa Sotai, wana wa Sofeereth, wana wa Peruda,
58 the children of Jaala, the children of Darkon, the children of Giddel,
wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli,
59 the children of Shephatiah, the children of Hattil, the children of Pochereth Hazzebaim, and the children of Amon.
wana wa Shefatia, wana wa Hatili, wana wa Pokerethi Sebaimu, wana wa Amoni.
60 All the temple servants and the children of Solomon’s servants were three hundred and ninety-two.
Watumishi wote wa hekalu, na wana wa watumishi wa Sulemani, walikuwa 392.
61 These were those who went up from Tel Melah, Tel Harsha, Cherub, Addon, and Immer; but they could not show their fathers’ houses, nor their offspring, whether they were of Israel:
Hawa ndio watu waliokwenda kutoka Tel Mela, Tel harsha, Kerub, Addon, na Imeri. Lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba wao au jamaa za baba zao walikuwa wana wa Israeli,
62 The children of Delaiah, the children of Tobiah, the children of Nekoda: six hundred and forty-two.
wana wa Delaya, wana wa Tobia, na wana wa Nekoda, 642.
63 Of the priests: the children of Hobaiah, the children of Hakkoz, the children of Barzillai, who took a wife of the daughters of Barzillai the Gileadite, and was called after their name.
Na kutoka kwa makuhani Wana wa Habaya, Hakosi, na Barzilai ( akamchukua mkewe kutoka kwa binti za Barzilai wa Gileadi na akaitwa kwa jina lao).
64 These searched for their genealogical records, but couldn’t find them. Therefore they were deemed disqualified and removed from the priesthood.
Hawa walitafuta rekodi zao kati ya waliojiunga na kizazi chao, lakini hawakuweza kupatikana, kwa hivyo waliondolewa katika ukuhani kama walio najisi.
65 The governor told them not to eat of the most holy things until a priest stood up to minister with Urim and Thummim.
Naye mkuu wa gavana akawaambia wasiruhusiwe kula chakula cha makuhani kutoka kwenye dhabihu mpaka atakapoinuka kuhani mwenye Urimu na Thumimu.
66 The whole assembly together was forty-two thousand and three hundred and sixty,
Kusanyiko lote lilikuwa 42, 360,
67 in addition to their male servants and their female servants, of whom there were seven thousand and three hundred and thirty-seven. They had two hundred and forty-five singing men and singing women.
isipokuwa watumishi wao wa kiume na watumishi wao wa kike, ambao walikuwa 7, 337. Walikuwa na wanaume na wanawake wa kuimba 245.
68 Their horses were seven hundred and thirty-six; their mules, two hundred and forty-five;
Farasi zao zilikuwa 736 kwa idadi, nyumbu zao, 245,
69 their camels, four hundred and thirty-five; their donkeys, six thousand and seven hundred and twenty.
ngamia zao, 435, na punda zao, 6, 720.
70 Some from amongst the heads of fathers’ households gave to the work. The governor gave to the treasury one thousand darics of gold, fifty basins, and five hundred and thirty priests’ garments.
Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao walitoa zawadi kwa ajili ya kazi. Gavana alitoa sadaka ya darkoni elfu ya dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 ya makuhani.
71 Some of the heads of fathers’ households gave into the treasury of the work twenty thousand darics of gold, and two thousand and two hundred minas of silver.
Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao waliwapa katika hazina kwa kazi darkroni elfu ishirini za dhahabu na mane 2, 200 za fedha.
72 That which the rest of the people gave was twenty thousand darics of gold, plus two thousand minas of silver, and sixty-seven priests’ garments.
Watu wengine waliwapa darkoni za dhahabu ishirini elfu, na dhahabu elfu mbili za fedha, na mavazi sitini na saba kwa makuhani.
73 So the priests, the Levites, the gatekeepers, the singers, some of the people, the temple servants, and all Israel lived in their cities. When the seventh month had come, the children of Israel were in their cities.
Basi makuhani, Walawi, walinzi wa malango, waimbaji, watu wengine, watumishi wa hekalu, na Israeli wote waliishi katika miji yao. Hata mwezi wa saba watu wa Israeli walikuwa wakiishi katika miji yao.”

< Nehemiah 7 >