< Psalms 43 >

1 Vindicate me, God, and plead my cause against an ungodly nation. Oh, deliver me from deceitful and wicked men.
Mungu, uniletee haki, na unitetee dhidi ya taifa lisilo la kimungu.
2 For you are the God of my strength. Why have you rejected me? Why do I go mourning because of the oppression of the enemy?
Kwa kuwa wewe ni Mungu wa nguvu zangu. Kwa nini umenikataa? Kwa nini ninaenenda katika maombolezo kwa sababu ya ukandamizaji wa adui yangu?
3 Oh, send out your light and your truth. Let them lead me. Let them bring me to your holy hill, to your tents.
Oh, tuma nuru yako na kweli yako ziniongoze. Ziniletee mlima wako mtakatifu na makao yako.
4 Then I will go to the altar of God, to God, my exceeding joy. I will praise you on the harp, God, my God.
Kisha nitakwenda madhabahuni mwa Mungu, kwa Mungu wangu aliye furaha yangu kuu. Nami nitakusifu wewe kwa kinubi, Ee Mungu, Mungu wangu.
5 Why are you in despair, my soul? Why are you disturbed within me? Hope in God! For I shall still praise him: my Savior, my helper, and my God.
Roho yangu, kwa nini umeinama? Kwa nini unahuzuni ndani yangu? Kwa kuwa nitamsifu tena yeye ambaye ni wokovu wangu na Mungu wangu.

< Psalms 43 >