< Luke 20 >

1 On one of those days while He was teaching the people in the Temple and proclaiming the Good News, the High Priests came upon Him, and the Scribes,
Ikawa siku moja, Yesu alipokuwa akiwafundisha watu Hekaluni na kuhubiri injili, makuhani wakuu na walimu wa Sheria walimwendea pamoja na wazee.
2 together with the Elders, and they asked Him, "Tell us, By what authority are you doing these things? And who is it that gave you this authority?"
Walizungumza, wakimwambia, 'Tuambie ni kwa mamlaka gani unafanya mambo haya? Au ni nani huyo ambaye amekupa mamlaka haya? “
3 "I also will put a question to you, "He said;
Naye akajibu, akawaambia, 'Nami pia nitawauliza swali. Niambieni
4 "was John's baptism of Heavenly or of human origin?"
ubatizo wa Yohana. Je, ulitoka mbinguni ama kwa watu? '
5 So they debated the matter with one another. "If we say 'Heavenly,'" they argued, "he will say, 'Why did you not believe him?'
Lakini wakajadiliana wao kwa wao, wakisema, 'Tukisema, `litoka mbinguni, atatuuliza, ` Basi, mbona hamkumwamini?'
6 And if we say, 'human,' the people will all stone us; for they are thoroughly convinced that John was a Prophet."
Na tukisema; ilitoka kwa wanadamu; watu wote hapa watatupiga mawe, maana wote wanaamini kwamba Yohana alikuwa nabii. '
7 And they answered that they did not know the origin of it.
Basi, wakamjibu ya kwamba hawakujua ilikotoka.
8 "Nor will I tell you," said Jesus, "by what authority I do these things."
Yesu akawaambia, '“Wala mimi siwaambii ninyi ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.”
9 Then He proceeded to speak a parable to the people. "There was a man," He said, "who planted a vineyard, let it out to vine-dressers, and went abroad for a considerable time.
Aliwaambia watu mfano huu, “Mtu mmoja alipanda shamba la mizabibu, akalikodisha kwa wakulima wa mizabibu, na akaenda nchi nyingine kwa muda mrefu.
10 At vintage-time he sent a servant to the vine-dressers, for them to give him a share of the crop; but the vine-dressers beat him cruelly and sent him away empty-handed.
Kwa muda uliopangwa, alimtuma mtumishi kwa wakulima mizabibu, kwamba wampe sehemu ya matunda ya shamba la mizabibu. Lakini wakulima wa mzabibu wakampiga, wakamrudisha mikono- mitupu.
11 Then he sent a second servant; and him too they beat and ill treated and sent away empty-handed.
Kisha akamtuma tena mtumishi mwingine na nao wakampiga, kumtendea vibaya, na wakamrudisha mikono- mitupu.
12 Then again he sent a third; and this one also they wounded and drove away.
Alimtuma tena wa tatu na nao wakamjeruhi na kumtupa nje.
13 Then the owner of the vineyard said, "'What am I to do? I will send my son--my dearly-loved son: they will probably respect him.'
Hivyo bwana wa shamba akasema, 'Nitafanya nini? Nitamtuma mwanangu mpendwa. Labda watamheshimu. '
14 "But when the vine-dressers saw him, they discussed the matter with one another, and said, "'This is the heir: let us kill him, that the inheritance may be ours.'
Lakini wakulima wa mzabibu walipomwona, walijadili wao kwa wao wakisema, `Huyu ndiye mrithi. Tumuue, ili urithi wake uwe wetu. '
15 "So they turned him out of the vineyard and murdered him. What then will the owner of the vineyard do to them?
Wakamtoa nje ya shamba la mizabibu na kumuua. Je bwana shamba atawafanya nini?
16 He will come and put these vine-dressers to death, and give the vineyard to others." "God forbid!" exclaimed the hearers.
Atakuja kuwaangamiza wakulima wa mzabibu, na atawapa shamba hilo wengine”. 'Nao waliposikia hayo, wakasema, 'Mungu amekataa'
17 He looked at them and said, "What then does that mean which is written, "'The Stone which the builders rejected has been made the cornerstone'?
Lakini Yesu akawatazama, akasema, “Je andiko hili lina maana gani? 'Jiwe walilolikataa wajenzi, limekuwa jiwe la pembeni'?
18 Every one who falls on that stone will be severely hurt, but on whomsoever it falls, he will be utterly crushed."
Kila mtu aangukaye juu ya jiwe hilo, atavunjika vipande vipande. Lakini yule ambaye litamwangukia, litamponda. '
19 At this the Scribes and the High Priests wanted to lay hands on Him, then and there; only they were afraid of the people. For they saw that in this parable He had referred to them.
Hivyo waandishi na wakuu wa makuhani walitafuta njia ya kumkamata wakati huohuo, walijua kwamba alikuwa amesema mfano huu dhidi yao. Lakini waliwaogopa watu.
20 So, after impatiently watching their opportunity, they sent spies who were to act the part of good and honest men, that they might fasten on some expression of His, so as to hand Him over to the ruling power and the Governor's authority.
Walimuangalia kwa makini, wakatuma wapelelezi waliojifanya kuwa watu wa haki, ili wapate kupata kosa kwa hotuba yake, ili kumpelekakwa watawala na wenye mamlaka.
21 So they put a question to Him. "Rabbi," they said, "we know that you say and teach what is right and that you make no distinctions between one man and another, but teach God's way truly.
Nao wakamwuliza, wakisema, “Mwalimu, tunajua kwamba unasema na kufundisha mambo ya kweli na si kushawishiwa na mtu yeyote, lakini wewe hufundisha ukweli kuhusu njia ya Mungu.
22 Is it allowable to pay a tax to Caesar, or not?"
Je, ni halali kwetu kulipa kodi kwa Kaisari, au la?”
23 But He saw through their knavery and replied,
Lakini Yesu alitambua mtego wao, akawaambia,
24 "Show me a shilling; whose likeness and inscription does it bear?" "Caesar's," they said.
“Nionyesheni dinari. Sura na chapa ya nani ipo juu yake?” Walisema, '“Ya Kaisari.”
25 "Pay therefore," He replied, "what is Caesar's to Caesar--and what is God's to God."
Naye akawaambia, 'Basi, mpeni Kaisari yaliyo yake Kaisari, na Mungu yaliyo yake Mungu.'
26 There was nothing here that they could lay hold of before the people, and marvelling at His answer they said no more.
Waandishi na wakuu wa makuhani hawakuwa na uwezo wa kukosoa kile alichosema mbele ya watu. Wakastaajabia majibu yake na hawakusema chochote.
27 Next some of the Sadducees came forward (who deny that there is a Resurrection), and they asked Him,
Baadhi ya Masadukayo wakamwendea, wale ambao wanasema kwamba hakuna ufufuo,
28 "Rabbi, Moses made it a law for us that if a man's brother should die, leaving a wife but no children, the man shall marry the widow and raise up a family for his brother.
wakamwuliza, wakisema, “Mwalimu, Musa alituandikia kwamba kama mtu akifiwa na ndugu mwenye mke ambaye hana mtoto basi anapaswa kumchukuna mke wa ndugu yake na kuzaa nae kwa ajili ya kaka yake.
29 Now there were seven brothers. The first of them took a wife and died childless.
Kulikuwa na ndugu saba Wa kwanza alioa, akafa bila kuacha mtoto,
30 The second and the third also took her;
na wa pili pia.
31 and all seven, having done the same, left no children when they died.
Wa tatu akamchukua vilevile, vivyo hivyo wa saba hakuacha watoto na akafa.
32 Finally the woman also died.
Baadaye yule mwanamke pia akafa.
33 The woman, then--at the Resurrection--whose wife shall she be? for they all seven married her."
Katika ufufuo atakuwa mke wa nani? Maana wote saba walikuwa wamemwoa. '
34 "The men of this age," replied Jesus, "marry, and the women are given in marriage. (aiōn g165)
Yesu akawaambia, “Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa. (aiōn g165)
35 But as for those who shall have been deemed worthy to find a place in that other age and in the Resurrection from among the dead, the men do not marry and the women are not given in marriage. (aiōn g165)
Lakini wale wanastaohili kupokea ufufuo wa wafu na kuingia uzima wa milele hawaoi wala hawaolewi. (aiōn g165)
36 For indeed they cannot die again; they are like angels, and are sons of God through being sons of the Resurrection.
Wala hawawezi kufa tena, kwa sababu huwa sawasawa na malaika na ni watoto wa Mungu, wana wa ufufuo.
37 But that the dead rise to life even Moses clearly implies in the passage about the Bush, where he calls the Lord 'The God of Abraham, the God of Isaac, and the God of Jacob.'
Lakini hiyo wafu wanafufuliwa, hata Musa alionyesha mahali katika habari za kichaka, pale alimwita Bwana kama Mungu wa Ibrahimu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.
38 He is not a God of dead, but of living men, for to Him are all living."
Sasa, yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai, kwa sababu wote huishi kwake. “
39 Then some of the Scribes replied, "Rabbi, you have spoken well."
Baadhi ya walimu wa Sheria wakamjibu, 'Mwalimu, umejibu vema. '
40 From that time, however, no one ventured to challenge Him with a single question.
Hawakuthubutu kumwuliza maswali mengine zaidi.
41 But He asked them, "How is it they say that the Christ is a son of David?
Yesu akawaambia, “Ki vipi watu wanasema kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?
42 Why, David himself says in the Book of Psalms, "'The Lord said to my Lord, Sit at My right hand
Maana Daudi mwenyewe anasema katika Zaburi: Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti mkono wa kulia,
43 Until I have made thy foes a footstool under they feet.'
mpaka niwaweke adui zako chini ya miguu yako. '
44 "David himself therefore calls Him Lord, and how can He be his son?"
Daudi anamwita Kristo 'Bwana', basi atakuwaje mwana wa Daudi?”
45 Then, in the hearing of all the people, He said to the disciples,
Watu wote walipokuwa wakimsikiliza akawaambia wanafunzi wake,
46 "Beware of the Scribes, who like to walk about in long robes, and love to be bowed to in places of public resort and to occupy the best seats in the synagogues or at a dinner party;
'Jihadharini na waandishi, wapendao kutembea wamevaa mavazi marefu, na wapenda salamu maalum sokoni na viti vya heshima katika masinagogi, na maeneo ya heshima karamuni.
47 who swallow up the property of widows and mask their wickedness by making long prayers. They will be punished far more severely than others."
Wao pia hula nyumba za wajane, na wanajifanya wanasali sala ndefu. Hawa watapokea hukumu kubwa zaidi. '

< Luke 20 >