< Psalms 88 >
1 A Song [or] Psalm for the sons of Korah, to the chief Musician upon Mahalath Leannoth, Maschil of Heman the Ezrahite. O LORD God of my salvation, I have cried day [and] night before thee:
Yahwe, Mungu wa wokovu wangu, ninalia mchana na usiku mbele zako.
2 Let my prayer come before thee: incline thy ear to my cry;
Sikiliza maombi yangu; utazame kulia kwangu.
3 For my soul is full of troubles: and my life draweth nigh to the grave. (Sheol )
Maana nimejawa taabu, na uhai wangu umefika kuzimuni. (Sheol )
4 I am counted with them that go down into the pit: I am as a man [that hath] no strength:
Watu hunichukulia kama wale waendao chini shimoni; mimi ni mtu asiye na nguvu.
5 Free among the dead, like the slain that lie in the grave, whom thou rememberest no more: and they are cut off from thy hand.
Nimetelekezwa miongoni mwa wafu; niko kama mfu alalaye katika kaburi, wao ambao wewe huwajari tena kwa sababu wametengwa mbali na nguvu zako.
6 Thou hast laid me in the lowest pit, in darkness, in the deeps.
Wewe umeniweka katika sehemu ya chini kabisa ya shimo, sehemu yenye giza na kilindini.
7 Thy wrath lieth hard upon me, and thou hast afflicted [me] with all thy waves. (Selah)
Gadhabu yako yanielemea, na mawimbi yako yote yanatua juu yangu. (Selah)
8 Thou hast put away my acquaintance far from me; thou hast made me an abomination to them: [I am] shut up, and I cannot come forth.
Kwa sababu yako, wale wanijuao wote hunikwepa. Umenifanya wakutisha machoni pao. Nimefungwa na siwezi kutoroka.
9 My eye mourneth by reason of affliction: LORD, I have called daily upon thee, I have stretched out my hands to thee.
Macho yangu yamefifia kutokana na shida; kila siku nakuita wewe, Yahwe; ninakunyoshea wewe mikono yangu.
10 Wilt thou show wonders to the dead? shall the dead arise [and] praise thee? (Selah)
Je! utafanya miujiza kwa ajili ya wafu? Wale waliokufa watafufuka na kukusifu wewe? (Selah)
11 Shall thy loving-kindness be declared in the grave? [or] thy faithfulness in destruction?
Uaminifu wa agano lako utatangazwa kaburini? au uaminifu wako mahali pa wafu?
12 Shall thy wonders be known in the dark? and thy righteousness in the land of forgetfulness?
Matendo yako ya ajabu yatajulikana gizani? au haki yako katika mahali pa usahaulifu?
13 But to thee have I cried, O LORD; and in the morning shall my prayer come before thee.
Lakini ninakulilia wewe, Yahwe; wakati wa asubuhi maombi yangu huja kwako.
14 LORD, why castest thou off my soul? [why] hidest thou thy face from me?
Yahwe, kwa nini unanikataa? Kwa nini unauficha uso wako mbali nami?
15 I [am] afflicted and ready to die from [my] youth up: [while] I suffer thy terrors I am distracted.
Nimekuwa nikiteswa kila siku na hatihati ya kifo tangu ujana wangu. Nimeteseka dhidi ya hofu yako kuu; ninakata tamaa.
16 Thy fierce wrath goeth over me; thy terrors have cut me off.
Matendo yako ya hasira yamepita juu yangu, na matendo yako ya kutisha yameniangamiza.
17 They came around me daily like water; they encompassed me together.
Siku zote yananizingira mimi kama maji; yote yamenizunguka mimi.
18 Lover and friend hast thou put far from me, [and] my acquaintance into darkness.
Wewe umemuondoa kwangu kila rafiki na anijuaye. Na sasa anijuaye pekee ni giza.