< 1 Chronicles 3 >
1 Now these were the sons of David, who were born to him in Hebron; the first-born Amnon, of Ahinoam the Jezreelitess; the second Daniel, of Abigail the Carmelitess:
Sasa hawa ndio wana wa Daudi waliozaliwa kwake huko Hebroni: mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni, kwa Ahinoamu kutoka Yezreeli; wa pili alikuwa Danieli, kwa Abigaili kutoka Karmeli;
2 The third, Absalom the son of Maachah the daughter of Talmai king of Geshur: the fourth, Adonijah the son of Haggith:
watatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa ni Maaka, binti wa Talmai mfalme wa Geshuri. Wanne alikuwa ni Adoniya mwana wa Hagithi;
3 The fifth, Shephatiah of Abital: the sixth, Ithream by Eglah his wife.
watano alikuwa ni Shefatia kwa Abitali, wasita alikuwa ni Ithraeamu kwa Egla mkewe.
4 [These] six were born to him in Hebron; and there he reigned seven years and six months: and in Jerusalem he reigned thirty and three years.
Hawa sita walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni, alipo tawala miaka saba na miezi sita. Kisha akatawala miaka thelathini na mitatu huko Yerusalemu.
5 And these were born to him in Jerusalem; Shimea, and Shobab, and Nathan, and Solomon, four, of Bath-shua the daughter of Ammiel:
Hawa wana wa nne, kwa Bathshua binti wa Amieli, walizaliwa kwake huko Yerusalemu: Shamua, Nathani, na Sulemani.
6 Ibhar also, and Elishama, and Eliphelet,
Wana tisa wengine wa Daudi walikuwa ni: Ibhari, Elishua, Elipeleti,
7 And Nogah, and Nepheg, and Japhia,
Noga, Nefegi, Yafia,
8 And Elishama, and Eliada, and Eliphelet, nine.
Elishama, na Elifeleti.
9 [These were] all the sons of David, besides the sons of the concubines, and Tamar their sister.
Hawa walikuwa wana wa Daudi, pasipo kuwehesababu wana wa masuria wake. Tamari alikuwa dada yao.
10 And Solomon's son [was] Rehoboam, Abia his son, Asa his son, Jehoshaphat his son,
Mwana wa Sulemani alikuwa ni Rehoboamu. Mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya. Mwana wa Abiya alikuwa Asa. Mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati.
11 Joram his son, Ahaziah his son, Joash his son,
Mwana wa Yehoshafati alikuwa Yoramu. Mwana wa Yoramu alikuwa Ahazia. Mwana wa Ahazia alikuwa Yoashi.
12 Amaziah his son, Azariah his son, Jotham his son,
Mwana wa Yoashi alikuwa Amazia. Mwana wa Amazia alikuwa Azaria. Mwana wa Azaria alikuwa Yothamu.
13 Ahaz his son, Hezekiah his son, Manasseh his son,
Mwana wa Yothamu alikuwa Ahazi. Mwana wa Ahazi alikuwa Hezekia. Mwana wa Hezekia alikuwa Manase.
14 Amon his son, Josiah his son.
Mwana wa Manase alikuwa Amoni. Mwana wa Amoni alikuwa Yosia.
15 And the sons of Josiah [were], the first-born Johanan, the second Jehoiakim, the third Zedekiah, the fourth Shallum.
Wana wa Yosia aliyekuwa mzaliwa wake wa kwanza ni Yohana, wapili Yehoyakimu, mwanae watatu Sedekia, na mwanae wanne Shalumu.
16 And the sons of Jehoiakim; Jeconiah his son, Zedekiah his son.
Wana wa Yehoyakimu walikuwa Yehoyakini na Sedekia.
17 And the sons of Jeconiah; Assir, Salathiel his son.
Wana wa YehoYakini, mateka, walikuwa Shealtieli,
18 Malchiram also, and Pedaiah, and Shenazar, Jecamiah, Hoshama, and Nedabiah.
Malkiramu, Pedaya, Shenezari, Yekamia, Hoshama, na Nedabia.
19 And the sons of Pedaiah [were], Zerubbabel, and Shimei: and the sons of Zerubbabel; Meshullam, and Hananiah, and Shelomith their sister:
Wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa Meshulamu na Hanania; Shelomithi alikuwa dada yao.
20 And Hashubah, and Ohel, and Berechiah, and Hasadiah, and Jushab-hesed, five.
Wanae watano walikuwa Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia, na Yushabu Hesedi.
21 And the sons of Hananiah; Pelatiah, and Jesaiah: the sons of Rephaiah, the sons of Arnan, the sons of Obadiah, the sons of Shechaniah.
Wana wa Hanania walikuwa Pelatia na Yeshaya. Mwanawe alikuwa Refaya, na uzao wake zaidi walikuwa ni Arnani, Obadia, na Shekania.
22 And the sons of Shechaniah; Shemaiah; and the sons of Shemaiah; Hattush, and Igeal, and Bariah, and Neariah, and Shaphat, six.
Mwana wa Shekania alikuwa Shemaya. Wana wa Shemaya walikuwa Hatushi, Igali, Baria, Nearia, na Shafati.
23 And the sons of Neariah; Elioenai, and Hezekiah, and Azrikam, three.
Wana watatu wa Nearia walikuwa Elioenai, Hizekia, na Azrikamu.
24 And the sons of Elioenai [were], Hodaiah, and Eliashib, and Pelaiah, and Akkub, and Johanan, and Delaiah, and Anani, seven.
Wana saba wa Elioenai walikuwa Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohana, Delaya, na Anani.