< Psalms 62 >
1 For the chief musician; after the manner of Jeduthun. A psalm of David. I wait in silence for God alone; my salvation comes from him.
Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; wokovu wangu watoka kwake.
2 He alone is my rock and my salvation; he is my high tower; I will not be greatly moved.
Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa kamwe.
3 How long, all of you, will you attack a man, that you may tip him over like a leaning wall or a shaky fence?
Mpaka lini, ninyi nyote, mtamshambulia mtu, ili kwamba mumpindue yeye kama ukuta ulio inama au kama fensi isiyo imara?
4 They consult with him only to bring him down from his honorable position; they love to tell lies; they bless him with their mouths, but in their hearts they curse him. (Selah)
Wanashauliana naye ili tu kumshusha chini kutoka kwenye nafasi yake heshimiwa; wao wanapenda kuongea uongo; wanambariki yeye kwa midomo yao, lakini mioyoni mwao wana mlaani yeye. (Selah)
5 I wait in silence for God alone; for my hope is set on him.
Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; kwa maana matumaini yangu yako kwake.
6 He alone is my rock and my salvation; he is my high tower; I will not be moved.
Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa.
7 With God is my salvation and my glory; the rock of my strength and my refuge are in God.
Na Mungu ni wokovu wangu na utukufu wangu; mwamba wa nguvu yangu na kimbilio langu salama liko katika Mungu.
8 Trust in him at all times, you people; pour out your heart before him; God is a refuge for us. (Selah)
Mwaminini Mungu wakati wote, ninyi watu; mimina moyo wako mbele zake; Mungu ni kimbilio salama kwa ajili yetu. (Selah)
9 Surely men of low standing are vanity, and men of high standing are a lie; they will weigh lightly in the scales; weighed together, they are lighter than nothing.
Hakika watu wenye msimamo mdogo ni ubatili, na watu wenye msimamo mkubwa ni waongo; wao watakuwa wepesi kwenye mzani; uzito wao pamoja ni wepesi kuliko kitu chochote.
10 Do not trust in oppression or robbery; and do not hope uselessly in riches, for they will bear no fruit; do not fix your heart on them.
Usiamini katika ukandamizaji au wizi; usitumainie utajiri, maana hawatazaa matunda; usiuweke moyo wako kwenye hivyo.
11 God has spoken once, twice have I heard this: power belongs to God.
Mungu ameongea mara moja, mara mbili nimesikia hili: nguvu ni za Mungu.
12 Also to you, Lord, belongs covenant faithfulness, for you pay back every person for what he has done.
Pia kwako, Bwana, ni uaminifu wa agano, maana humlipa kila mtu kwa kile alichokifanya.