< Psalms 124 >

1 A song of ascents; of David. “If Yahweh had not been on our side,” let Israel say now,
“Kama Yahwe asingekuwa upande wetu,” Israeli na aseme sasa,
2 “if it had not been Yahweh who was on our side when men rose up against us,
“Kama asingekuwa Yahwe ambaye alikuwa upande wetu wakati watu walipoinuka dhidi yetu,
3 then they would have swallowed us up alive when their anger raged against us.
basi wangekuwa wametumeza tungali hai hasira yao lipozidi dhidi yetu.
4 The water would have swept us away; the torrent would have overwhelmed us.
Maji yangetugharikisha; mto ungetuzidia.
5 Then the raging waters would have drowned us.”
Kisha maji yafurikayo yangetuzamisha.”
6 Blessed be Yahweh, who has not allowed us to be torn by their teeth.
Atukuzwe Yahwe, ambaye hajaruhusu tuwe mawindo kwa meno yao.
7 We have escaped like a bird out of the snare of the fowlers; the snare has been broken, and we have escaped.
Tumetoroka kama ndege mtegoni mwa wawindaji; mtego umevunjika, nasi tumetoroka.
8 Our help is in Yahweh, who made heaven and earth.
Msaada wetu uko katika Yahwe, aliyeziumba mbingu na nchi.

< Psalms 124 >