< Psalms 100 >
1 A psalm of thanksgiving. Shout joyfully to Yahweh, all the earth.
Zaburi ya shukrani. Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
2 Serve Yahweh with gladness; come before his presence with joyful singing.
Mwabuduni Bwana kwa furaha; njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.
3 Know that Yahweh is God; he made us, and we are his. We are his people and the sheep of his pasture.
Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu. Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake; sisi tu watu wake, kondoo wa malisho yake.
4 Enter into his gates with thanksgiving and into his courts with praise. Give thanks to him and bless his name.
Ingieni malangoni mwake kwa shukrani na katika nyua zake kwa kusifu, mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.
5 For Yahweh is good; his covenant faithfulness endures forever and his truthfulness through all generations.
Kwa maana Bwana ni mwema na upendo wake wadumu milele; uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.