< Job 18 >
1 Then Bildad the Shuhite answered and said,
Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
2 “When will you stop your talk? Consider, and afterwards we will speak.
Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
3 Why are we regarded as beasts, stupid in your sight?
Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
4 You who tear at yourself in your anger, should the earth be forsaken for you or should the rocks be removed out of their places?
Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
5 Indeed, the light of the wicked person will be put out; the spark of his fire will not shine.
Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
6 The light will be dark in his tent; his lamp above him will be put out.
Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
7 The steps of his strength will be made short; his own plans will cast him down.
Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
8 For he will be thrown into a net by his own feet; he will walk into a pitfall.
Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
9 A trap will take him by the heel; a snare will lay hold on him.
Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
10 A noose is hidden for him on the ground; and a trap for him in the way.
Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
11 Terrors will make him afraid on every side; they will chase him at his heels.
Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
12 His wealth will turn into hunger, and calamity will be ready at his side.
Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
13 The parts of his body will be devoured; indeed, the firstborn of death will devour his parts.
Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
14 He is torn from the safety of his tent and marched off to the king of terrors.
Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
15 People not his own will live in his tent after they see that sulfur is scattered within his home.
Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
16 His roots will be dried up beneath; above will his branch be cut off.
Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
17 His memory will perish from the earth; he will have no name in the street.
Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
18 He will be driven from light into darkness and be chased out of this world.
Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
19 He will have no son or son's son among his people, nor any remaining kinfolk where he had stayed.
Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
20 Those who live in the west will be horrified at what happens to him one day; those who live in the east will be frightened by it.
Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
21 Surely such are the homes of unrighteous people, the places of those who do not know God.”
Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”