< Jeremiah 31 >

1 “At that time—this is Yahweh's declaration—I will be the God of all the clans of Israel, and they will be my people.”
“Katika wakati huo—hili ni tangazo la Yahwe—Nitakuwa Mungu wa familia zote za Israel, na watakuwa watu wangu.”
2 Yahweh says this, “The people who have survived the sword have found favor in the wilderness; I will go out to give rest to Israel.”
Yahwe anasema hivi, “Watu ambao wamenusurika na upanga wamepata kibali katika nyika; nitatoka nje kuwapa pumziko Israeli.”
3 Yahweh appeared to me in the past and said, “I have loved you, Israel, with everlasting love. So I have drawn you toward myself with covenant faithfulness.
Yahwe alionitokea zamani na kusema, “Nimekupenda wewe, Israeli, kwa upendo wa milele. Kwa hiyo nimekuvuta kwang kwa agano la uaminifu.
4 I will build you up again so you will be built, virgin Israel. You will again pick up your tambourines and go out with happy dances.
Nitakujenga tena kwa hiyo utakuwa umejengwa, bikra wa Israeli..... na kwenda nje michezo ya furaha.
5 You will plant vineyards again on the mountains of Samaria; the farmers will plant and put the fruit to good use.
Utapanda mizabibu tena juu ya milima Samaria; wakulima watatapanda na kuweka matunda kwa ajili ya matumizi mazuri.
6 For a day will come when the watchmen in the mountains of Ephraim will proclaim, 'Arise, let us go up to Zion to Yahweh our God.'
Kwa maana siku itakuja wakati walizi watakapotangaza katika milima ya Efraimu, 'Inuka, twndeni juu kwenye mlimaa wa Yahwe Mungu wetu.'
7 For Yahweh says this, “Shout for joy over Jacob! Shout in gladness for the chief people of the nations! Let praise be heard. Say, 'Yahweh has rescued his people, the remnant of Israel.'
Kwa maana Yahwe anasema hivi, Piga kelele za shangwe juu ya Yakobo! Pigeni za furaha kwa ajili ya watu wakuu wa mataifa! Sifa zisikike. Sema, ''Yahwe amewaokoa watu wake, masalia wa Israeli.'
8 See, I am about to bring them from the northern lands. I will gather them from the farthest parts of the earth. The blind and lame will be among them; pregnant women and those who are about to give birth will be with them. A great assembly will return here.
Ona, niko karibu kuwaletaa kutoka nchi za kusini. Nitawakusanya kutoka sehemu zaa mbali za dunia. Vipofu na wenye ulemavu watakuwa kati kati yao; wanawake wajawazito na wale waliokaribu kujifungua wataakuwa pamoja nao. Kusanyiko kubwa litarudi hapa.
9 They will come weeping; I will lead them as they make their pleas. I will have them journey to streams of water on a straight road. They will not stumble on it, for I will be a father to Israel, and Ephraim will be my firstborn.”
Watakuja kwa kuomboleza; nitawaongoza huku wakifanya maoambi yao. Nitawafanya wasafiri kataika mikondo ya maji katika bara bara ilinyoka. Hawatajikwaa juu yake, kwa maana nitakuwa baba kwa Israeli, na Afraimu atakuwa mzaliwa wanagau wwa kwanza
10 “Hear the word of Yahweh, nations. Report along the coasts in the distance. You nations must say, 'The one who scattered Israel is gathering her up and keeping her as a shepherd keeps his sheep.'
Sikia neno la Yahwe, mataifa. Litangazeni pembezoni mwa visiwa mbali. Enyi mataifa lazima museme, 'Yule aliyemtawanya Israeli anamkusanya tena na kuwalinda kama mchungaji alindavyo kondoo.'
11 For Yahweh has ransomed Jacob and has redeemed him from the hand that was too strong for him.
Kwa maana Yahwe amemfidia Yakobo na kumkomboa kutoka mkono ambao ulikuwa na nguvu sana kwake.
12 Then they will come and rejoice on the heights of Zion. Their faces will shine because of Yahweh's goodness, over the corn and the new wine, over the oil and the offspring of the flocks and herds. For their lives will become like a watered garden, and they will never again feel any more sorrow.
Kisha watakuja na kufurahia katika vilele vya Sayuni. Nyuso zao zitamelemeta kwa sababu ya wema wa Yahwe, juu ya nafaka na divai mpya, juu ya mafuta na malimbuko ya kwanza ya makundi na ng'ombe. Kwa maana maisha yao yatakuwa kama busitani iliyomwagiliwa, na hatatajisikia huzuni tena.
13 Then virgins will rejoice with dancing, and young and old men will be together. For I will change their mourning into celebration. I will have compassion on them and cause them to rejoice instead of sorrowing.
Kisha wanawali watafurahia kwa kucheza, na vijana na wanaume wazee watakuwa pamaoja. Kwa maana nitayageuza maombolezo yao kuwa sherehe. Nitakuwa na huruma juu yao na kuwafanya kufurahi badala ya kuhuzunika.
14 Then I will saturate the lives of the priests in abundance. My people will fill themselves with my goodness—this is Yahweh's declaration.”
Kisha nitayaloanaisha sana maisha ya makuhani. Watu wangu watajijaza wenyewe kwa wema—hili ni tangazo la Yahwe.”
15 Yahweh says this: “A voice is heard in Ramah, wailing and bitter weeping. It is Rachel weeping for her children. She refuses to be comforted over them, for they live no longer.”
Yahwe anasema hivi: “Sauti imesikika katika Rama, kilio na maombolezo mengi. Ni Raheli akiomboleza kwa ajili watoto wake. Hataki kufarijiwa tena juu yao, kwa maana hawako hai tena.”
16 Yahweh says this, “Hold your voice back from weeping and your eyes from tears; there is a reward for your work—this is Yahweh's declaration—your children will return from the land of the enemy.
Yahwe anasema hivi, Zuia sauti yako usilie na macho yako yasitoe machizi; kwa maana kuna fidia kwa ajili ya mateso yako—hili ni tangazo la Yahwe—watoto wako watarudi kutoka nchi ya adui.
17 There is hope for your future—this is Yahweh's declaration—your descendants will return inside their borders.”
Kuna matumaini kwa ajili ya siku zenu za baadaye—hili ni tangazo la Yahwe—uzao wako watarudi ndani ya mipaka yao.”
18 “I have certainly heard Ephraim sorrowing, 'You punished me, and I have been punished like an untrained calf. Bring me back and I will be brought back, for you are Yahweh my God.
Kwa hakika nimemsikia Efraimu akilia, 'Uliniadhibu, nami nieadhibika kama ndama assiye na mafunzo. Nirudisha na nitarudishwa, kwa maana wewe ni Yahwe Mungu wangu.
19 For after I turned back to you, I was sorry; after I was trained, I slapped my thigh. I was ashamed and humiliated, for I have borne the guilt of my youth.'
Kwa maana baada ya kurudi kwako, nilikuwa na huzuni; baada ya kufundiswa, nilijipiga kofi sshavu langu. Niliaibika ana dharirika, kwa maana nilizaliwa na hataia ya ujana wangu.'
20 Is not Ephraim my precious child? Is he not my dear, delightful son? For whenever I speak against him, I certainly still call him to my loving mind. In this way my heart longs for him. I will certainly have compassion on him—this is Yahweh's declaration.”
Efraimu siyo mtoto wangu wa thamani? Yeye si mpendwa wangu, mwanangu anipendezaye? Kwa maana kila ninaponena juu yake, bado nina mwita kipenzi cha akili yangu. Kwa namna hii moyo wangu unamtamani. Kwa hakika nitaakuwa na huruma ajuu yake—hili ni tangazo la Yahwe.”
21 Place road signs for yourself. Set up guideposts for yourself. Set your mind on the right path, the way you should take. Come back, virgin Israel! Come back to these cities of yours.
Jiwekee alama za bara bara kwa ajili yako mwenyewe. Weka matangaazo ya maelekezo kwa ajili yako mwenyewe. Iweke akili yako juu ya njia sahihi, njia unayopaswa kufuata. Rudii, bikra Israeli! Rudi kwenye hii miji yako.
22 How long will you waver, faithless daughter? For Yahweh has created something new on earth—a woman surrounds a strong man.
Utatanga tanga hadi lini, binti usiye mwaminifu? Kwa maana Yahwe ameumba kitu fulani kipya juu ya dunia—mwanamke anamzunguka mwanaume.
23 Yahweh of hosts, the God of Israel, says this, “When I bring back the people to their land, they will say this in the land of Judah and its cities, 'May Yahweh bless you, you righteous place where he lives, you holy mountain.'
Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi, '“Nitakapowarudisha watu katika nchi yao, watasema hivi katika anchi ya Yuda na miji yake, “Yahwe akubariki, wewe sehemu takatifu ambapo anaishi, ewe mlima mtakatifu.'
24 For Judah and all its cities will live together there, as will farmers and those who set out with flocks.
Kwa maana Yuda na miji yake yote wataishi pamoja humo, kama vile watakavyoishi wakulima na wachungaji pamaoja na makundi yao.
25 For I will cause those who are weary to drink, and I fill up those who are faint.”
Kwa maana nitawapa majai ya kunywa waliochoaka, na nitamjaza kila anayeteseka na kiu.”
26 After this I awoke, and I realized that my sleep had been refreshing.
Baada ya haya niliamka, na nikagundua kwamba usingizi wangu ulikuwa unaburudisha.
27 “Look, the days are coming—this is Yahweh's declaration—when I will sow the houses of Israel and Judah with the descendants of man and beast.
Angalia, siku zinakuja—hili ni tangazo la Yaahwe—nitakapoipanda nyumba ua Israeli na Yuda pamoja na wazawa wa wanadamaau na wanyama.
28 In the past, I kept them under surveillance in order to uproot them and to tear them down, to overthrow, destroy, and bring them harm. But in the coming days, I will watch over them, in order to build them up and to plant them—this is Yahweh's declaration.
Zamani, niliwaweka katika uangalizi ili kuwang'oa na kuwabomoa, kuwaangusha, kuwaharibu, na kuwaletea madhara. Lakini katika siku zijazo, nitawaangalia, ili niwajenge na kuwapanda—hili ji tangazo la Yahwe.
29 In those days no one will say any longer, 'Fathers have eaten sour grapes, but the children's teeth are dulled.'
Katika siku hizo hakuna atakayesema tena, “Baba za watu wamekula zabibu kali, bali meno ya watoto ni butu.'
30 For each man will die in his own iniquity; everyone who eats sour grapes, his teeth will be dulled.
Kwa maana kila mtu atakuwa katika uovu wake mwenyewe; kila alaye zabibu kalai, meno yake yataakuwa butu.
31 Look, the days are coming —this is Yahweh's declaration— when I will establish a new covenant with the house of Israel and the house of Judah.
Angalia, siku zinakuja—hili ni tangazo la Yahwe—nitakapoanzisha aganao jipya pamaoja na nyumba aya Israeli na nyumba ya Yuda.
32 It will not be like the covenant that I established with their fathers in the days when I took them by their hand to bring them out from the land of Egypt, because they broke my covenant, although I was a husband for them. —this is Yahweh's declaration.
Halitakuwa kama agano ambalo nilianzisha na baba zao nilipowatoa kwa mkono wao nje ya nchi ya Missiri. Hizo zzilikuwa siku ambapo walilivunja aaganao lanaahu, ingawa nilikuwa mme kwao—hili ni tangazo la Yahwe.
33 This is the covenant that I will establish with the house of Israel after these days —this is Yahweh's declaration. I will place my law within them and will write it on their heart, for I will be their God, and they will be my people.
Lakaini hili ni agano nitakaloanzisha na nyumba ya Israeli baada ya siku hizi—hili ni tangazo la Yahwe: Nitaiweka sheria yangu ndani yao na nitaiandika juu ya mioyo yao, kwa maana nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watau wangu.
34 Then each man will no longer teach his neighbor, or a man teach his brother and say, 'Know Yahweh!' For all of them will know me, from the smallest of them to the greatest —this is Yahweh's declaration— for I will forgive their iniquity and will no longer call their sins to mind.”
Kisha kila mtu hatamfundisha jiranai yake, wala mtu hatamfundisha ngugu yake akisema, 'Mjue Yahwe!' Kwa maana wao wote, kuanzia mdogo wao hata mkubwa, watanijua—hili ni tangazo la Yahwe—kwa maana nitawasamehe uovu wao na sitazikumbuka tena dhambi zao.”'
35 Yahweh says this, it is he who makes the sun to shine by day and fixes the moon and stars to shine by night. He is the one who sets the sea in motion so that its waves roar— Yahweh of hosts is his name.
Yahwe anasema hivi—Yahwe, yeye afanyaye jua kuangaza mchana na kuzipanga mwezi na nyota kuangaza usiku. Yeye ndiye aiwekaye bahari katika mwendo ili mawimbi yake yaungurume. Yahwe wa majeshi katika ajina lake.
36 “Only if these permanent things vanish from my sight—this is Yahweh's declaration— will Israel's descendants ever stop from forever being a nation before me.”
Anasema hivi, ikiwa tu mambo haya ya akudumu yakitoweka machoni panaagu—hili ni agizo la Yahwe—uzao wa Israeli hawatasimama mbaalai nami wasiwe taiafa.”
37 Yahweh says this, “Only if the highest heavens can be measured, and only if the earth's foundation below can be discovered, will I reject all of Israel's descendants because of all that they have done—this is Yahweh's declaration.”
Yahwe anasema hivi, “Kama tu urefu wa mbingu unaweza kupimwa, na kama tu misingi ya dunia chini inaweza kugunduliwa, nitawakataa uzao wote wa Israeli kwa sababu ya yote waliyofanya—hili ni tangazo la Yahwe.”
38 “Look, the days are coming—this is Yahweh's declaration—when the city will be rebuilt for me, from the Tower of Hananel to the Corner Gate.
“Angalia, siku zinakuja—hili ni tanagazo la Yahwe—ambapo mji utajengwa tena kwa ajili yanagu, kutoka Mnara wa Hananeli hadi kwenye Lango la Pembeni.
39 Then the measuring line will go out again farther, to the hill of Gareb and around Goah.
Kisha mistari ya kupimia itaenda nje hadi mbali, hadi kwenye kilima cha Garebu na kuzunguka Goa.
40 The whole valley of the dead bodies and the ashes, and all the terraced fields going out to the Kidron Valley as far as the corner of the Horse Gate on the east, will be set apart for Yahweh. The city will not be pulled up or overthrown again, forever.”
Bonde lote la miili iliyokufa na majivu, na shamaba lenye matuta linalofika hadi Bonde la Kidroni mbali hadi kwenye kona ya Lango la Farasi upande wa mashariki, litateuliwa kwa ajili ya Yahwe. Mji hautang'olewa wala kupinduliwa tena, milele.”

< Jeremiah 31 >