< Isaiah 3 >
1 See, the Lord Yahweh of hosts is about to take away from Jerusalem and from Judah support and staff: the whole supply of bread and the whole supply of water,
Ona, Bwana, Yahwe wa majeshi, anakaribia kuwachukua kutoka Yerusalema na Yudawasaidizi na wafanyakazi: wasambazaji wote wa mikate, wasambazaji wote wa maji;
2 the mighty man and the warrior, the judge and the prophet, the one who practices divination and the elder,
mtu mwenye nguvu, shuja, hakimu, nabii, dalili za msomaji, na mzee;
3 the captain of fifty and the respected citizen, the counselor, the expert craftsman and the skillful enchanter.
naodha wa hamsini, raia husika, mshauri, fundi mtarajiwa, na mchawi stadi.
4 “I will place mere youths as their leaders, and the young will rule over them.
Nitamuweka kijana tu kama kiongozi wenu, kijana atawaongoza wao.
5 The people will be oppressed, every one by another, and every one by his neighbor; the child will insult the elderly, and the degraded will challenge the honorable.
Watu watanyanyasika, kila mmoja mmoja na kila mmoja na jirani yake; watoto watawatusi wazee, na mivutano itawapa changamoto waheshimiwa.
6 A man will even take hold of his brother in his father's house and say, 'You have a coat; be our ruler, and let this ruin be in your hands.'
Mwanaume atamshikilia ndugu yake katika nyumba ya baba yake na kusema, 'Unayo kanzu; uwe kiongozi wetu, na uharibifu huu uwe mikononi mwako.
7 On that day he will shout and say, 'I will not be a healer; I have no bread or clothing. You will not make me ruler of the people.'”
'Siku hiyo atapaza sauti na kusema, 'hautakuwa mganga; sina mkate wala mavazi. Hatanifanya kuwa kiongozi wa watu.
8 For Jerusalem has stumbled, and Judah has fallen, because their speech and their actions are against Yahweh, defying the eyes of his glory.
Kwa maana Yerusalemu kuna mashaka, na Yuda imeanguka, kwa sababu mazungumzo yao na matendo yao yako kinyume na Yahwe, wanayapinga macho ya utukufu wake.
9 The look on their faces witnesses against them; and they tell of their sin like Sodom; they do not hide it. Woe to them! For they have completed a catastrophe for themselves.
Angalia nyuso zao zinashudia kinyume nao; na watasema dhambi zao kama Sodoma; hawatazificha, Ole wao! Maana wanakamilisha janga lao wenyewe.
10 Tell the righteous person that it will be well, for they will eat the fruit of their deeds.
Mwambie mtu mwenye haki kwamba itakuwa vizuri, maana watakula matunda ya matendo yao.
11 Woe to the wicked! It will go badly for him, for the recompense of his hands will be done to him.
Ole kwa wakosaji! itakuwa vibaya kwa yeye, maana malipo ya mikono yake yatafanyika kwake pia.
12 My people—children are their oppressors, and women rule over them. My people, those who guide you lead you astray and confuse the direction of your path.
Watu wangu-watoto wangu wanawakandamiza, na wanawake wanawaongoza wao. Watu wangu, wale wanaowaongoza wanawaongoza vibaya na kuchanganya muelekeo wa nja yenu.
13 Yahweh stands up for an accusation; he is standing to accuse the people.
Yahwe simama juu ya mashitaka; yeye amesimama kuwashaki watu.
14 Yahweh will come with judgment against the elders of his people and their leaders: “You have ruined the vineyard; the plunder from the poor is in your houses.
Yahwe atakuja na hukumu juu ya wazee na watu wao na viongozi wao: ''Umeharibu shamba; nyara kutoka kwa masikni ziko kwenye nyumba zako.
15 Why do you crush my people and grind the faces of the poor?” This is the declaration of the Lord Yahweh of hosts.
Kwa nini unaponda watu wangu na kusaga nyuso za masikini?'' Hili ni tamko Bwana, Yahwe wa majeshi.
16 Yahweh says that because the daughters of Zion are proud, they walk with their necks extended, with flirting eyes, walking with tiny steps as they go, making tinkling sounds from bracelets on their ankles.
Yahwe anasema hivyo kwa sababu mabinti wa Sayuni wanajigamba, wanatembea pekee yao vichwa vyao vikiwa juu, na kutaniana kwa macho yao, na kutakata kokote waendako na kuamua upatu kwa miguu yao,
17 Therefore the Lord will form scabs on the heads of the daughters of Zion, and Yahweh will make them bald.
Kwa hiyo Bwana atafanya magonjwa ya mapele kwenye kishwa cha mabinti wa Sayuni, na Yahwe atawafanya upaa.
18 On that day the Lord will remove their beautiful ankle jewelry, head bands, the crescent ornaments,
Siku hiyo Bwana ataondoa mapambo mazuri yaliyoko kwenye kifundo cha miguu, bendi za kichwa chao, kaya zao; bangili za masikio,
19 the ear pendants, the bracelets, and the veils;
bangili za miguu na taji zao;
20 the headscarves, the ankle chains, the sashes, and the perfume boxes, and the lucky charms.
kitambaa cha kichwa, chaini za miguu, mafurungu na maboksi ya marashi na na haiba ya bahati.
21 He will remove the rings and the nose jewels;
Atatoa bangili na kipini kwenye pua;
22 the festive robes, the mantles, the veils, and the handbags;
sherehe za mavazi, mapazia na mabegi ya mkononi;
23 the hand mirrors, the fine linen, the head pieces, and the wraps.
vioo vya mkononi, sanda nzuri, vilemba vya kichwa na taji.
24 Instead of sweet perfume there will be stench; and instead of a sash, a rope; instead of well-arranged hair, baldness; and instead of a robe, a covering of sackcloth; and branding instead of beauty.
Badala ya manukato mazuri kutakuwa na arufu mbaya; na badala ya ukunda, kamba, kufunika kwa vazi la gunia; kitia alama mwilini kwa moto badala ya uzuri. wanaume wao wataanguka kwa upanga,
25 Your men will fall by the sword, and your strong men will fall in war.
na wanaume wenye nguvu wataanguka kwenye vita.
26 Jerusalem's gates will lament and mourn; and she will be alone and sit upon the ground.
Lango la Yerusalemu litaomboleza na kuomboleza; na atakuwa peke yake amekaa chini ya ardhi.