< Ezra 2 >
1 These are the people in the province who went up from the captivity of King Nebuchadnezzar, who had exiled them in Babylon, the people who returned to each of their cities of Jerusalem and in Judea.
Hawa ndio watu katika jimbo waliochukuliwa mateka na kwenda na mfalme Nebukadneza, yeye aliwachukua utumwani Babeli, watu wakarudi katika miji yao ya Yerusalem na Yuda.
2 They came with Zerubbabel, Joshua, Nehemiah, Seraiah, Reelaiah, Mordecai, Bilshan, Mispar, Bigvai, Rehum, and Baanah. This is the record of the men of the people of Israel.
Walikuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari., Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndio idadi ya wanaume ya watu wa Israeli.
3 The descendants of Parosh: 2,172.
Waporoshi: 2, 172
4 The descendants of Shephatiah: 372.
Wana wa Shefatia: 372
5 The descendants of Arah: 775.
Wana wa Ara: 775.
6 The descendants of Pahath-Moab, through Jeshua and Joab: 2,812.
Wana wa Path-Moabu, kupitia Yeshua na Yoabu: 2, 812.
7 The descendants of Elam: 1,254.
Wana wa Eliamu: 1, 254.
8 The descendants of Zattu: 945.
Wana wa Zatu: 945.
9 The descendants of Zakkai: 760.
Wana wa Zakai: 760.
10 The descendants of Bani: 642.
Wana wa Binui: 642.
11 The descendants of Bebai: 623.
Wana wa Bebai: 623.
12 The descendants of Azgad: 1,222.
Wana wa Azgadi: 1, 222.
13 The descendants of Adonikam: 666.
Wana wa Adonikamu: 666.
14 The descendants of Bigvai: 2,056.
Wana wa Bigwai: 2, 056.
15 The descendants of Adin: 454.
Wana wa Adini: 454.
16 The men of Ater, through Hezekiah: ninety-eight.
Wana wa Ateri kupitia Hezekiah: tisini na nane.
17 The descendants of Bezai: 323.
Wana wa Besai: 323.
18 The descendants of Jorah: 112.
Wana wa Harifu: 112.
19 The men of Hashum: 223.
Wanaume wa Hashimu: 223.
20 The men of Gibbar: ninety-five.
Wanaume wa Gibeoni: Tisini na tano.
21 The men of Bethlehem: 123.
Wanaume wa Bethlehemu: 123.
22 The men of Netophah: fifty-six.
Wanaume wa Netofa: Hamsini na sita.
23 The men of Anathoth: 128.
Wanaume wa Anathothi: 128.
24 The men of Azmaveth: forty-two.
Wanaume wa Beth-Azmawethi: Arobaini na mbili.
25 The men of Kiriath Arim, Kephirah, and Beeroth: 743.
Wanaume wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi: Mia saba arobaini na tatu.
26 The men of Ramah and Geba: 621.
Wanaume wa Rama na Geba: 621.
27 The men of Michmas: 122.
Wanaume wa Mikmashi: 122.
28 The men of Bethel and Ai: 223.
Wanaume wa Betheli, na Ai: 223.
29 The men of Nebo: fifty-two.
Wanaume wa Nebo: Hamsini na mbili.
30 The men of Magbish: 156.
Wanaume wa Magbishi: 156.
31 The men of the other Elam: 1,254.
Wanaume wengine wa Elamu: 1, 254.
32 The men of Harim: 320.
nne. Wanaume wa Harimu: 320.
33 The men of Lod, Hadid, and Ono: 725.
Wanaume wa Lodi, na Hadidi, na Ono: 725.
34 The men of Jericho: 345.
Wanaume wa Yeriko: 345.
35 The men of Senaah: 3,630.
Wanaume wa Senaa: 3, 630.
36 The priests: descendants of Jedaiah of the house of Jeshua: 973.
Wana wa Yedaya kuhani wa nyumba ya Yoshua: 973.
37 Immer's descendants: 1,052.
Wana wa Imeri: 1, 052.
38 Pashhur's descendants: 1,247.
Wana wa Pashuri: 1, 247.
39 Harim's descendants: 1,017.
Wana wa Harimu: 1, 017.
40 The Levites: descendants of Jeshua and Kadmiel, descendants of Hodaviah: seventy-four.
Walawi: Wana wa Yeshua, na Kadmieli, wana wa Hodavia: Sabini na
41 The temple singers, descendants of Asaph: 128.
nne. Waimbaji hekaluni wana wa Asafu: 128.
42 The descendants of the gatekeepers: descendants of Shallum, Ater, Talmon, Akkub, Hatita, and Shobai: 139 total.
Walinzi: wana wa Shalumu, Ateri na, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai: 139 jumla.
43 Those who were assigned to serve in the temple: descendants of Ziha, Hasupha, Tabbaoth,
Wale walichaguliwa kuhudumu ndani ya Hekalu: wana wa Siha, Hasufa, Tabaothi:
45 Lebanah, Hagabah, Akkub,
Lebana, Hagaba, Akubu,
46 Hagab, Shalmai, and Hanan.
Hagabu, Salmai, Hanani
47 The descendants of Giddel: Gahar, Reaiah,
Wana wa Gideli, Gahari, Reaya,
48 Rezin, Nekoda, Gazzam,
Resini, Nekoda, Gazamu,
50 Asnah, Meunim, and Nephusim.
Asna, Meunimu, Nefusimu:
51 The descendants of Bakbuk: Hakupha, Harhur,
Wana wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri:
52 Bazluth, Mehida, Harsha,
Basluthi, Mehida, Barsha:
53 Barkos, Sisera, Temah,
Barkosi, Sisera, Tema:
55 The descendants of Solomon's servants: descendants of Sotai, Hassophereth, Peruda,
Wana wa watumishi wa Selemani: Wana wa Sotai, Soferethi, Peruda,
56 Jaalah, Darkon, Giddel,
Yaala, Darkoni, Gideli,
57 Shephatiah, Hattil, Pochereth Hazzebaim, and Ami.
Shefatia, Hatili, Pokereth-Sebaimu, Amoni,
58 There were 392 total descendants of those assigned to serve in the temple and descendants of Solomon's servants.
Walikuwa jumla ya watumishi mia tatu tisini na mbili waliochaguliwa kutumika katika Hekalu pamoja na wana wa watumishi wa Selemani.
59 Those who left Tel Melah, Tel Harsha, Kerub, Addon, and Immer—but were not able to prove their ancestry from Israel
Wale ambao walitoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubu, Adani, na Imeri, Lakini hawakuweza kuthibitisha kizazi chao kilitoka Israeli-
60 —included 652 descendants of Delaiah, Tobiah, and Nekoda.
pamoja na mia sita hamsini na mbili wana wa Delaya, Tobia na Nekoda.
61 Also, from the priest's descendants: the descendants of Habaiah, Hakkoz, and Barzillai (who took his wife from the daughters of Barzillai of Gilead and was called by their name).
Vilevile, kutoka kwa wana wa kuhani: Wana wa Habaya, Hakosi, Barzilai (ambaye alipata mke kutoka kwa binti ya Barzilai, Mgileadi na akaitwa kwa jina lao)
62 They searched for their genealogical records, but could not find them, so they were excluded from the priesthood as unclean.
Walitafuta kumbukumbu ya kizazi chao, lakini haikupatikana, hivyo wakaondolewa kwenye ukuhani kama wasiosafi.
63 So the governor told them they must not eat any of the holy sacrifices until a priest with Urim and Thummim approved.
Hivyo kiongozi akawakataza wasile kitu chochote kitakatifu kilichotakaswa mpaka kuhani mwenye Urimu na Thumimu athibitishe.
64 The whole group totaled 42,360,
Jumla ya kundi 42, 360,
65 not including their servants and their maidservants (these were 7,337) and their male and female temple singers (two hundred).
ukiondoa watumishi na wasaidizi (wao walikuwa 7, 337) waimbaji Hekaluni wanaume na wanawake (mia mbili)
66 Their horses: 736. Their mules: 245.
Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245.
67 Their camels: 435. Their donkeys: 6,720.
Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720.
68 When they went to Yahweh's house in Jerusalem, the chief patriarchs offered freewill gifts to build the house.
Walipokwenda kwenye nyumba ya Yahwe Yerusalem, wakuu wa mababa walijitoa kwa hiari kujenga nyumba.
69 They gave according to their ability to the work fund: sixty-one thousand gold darics, five thousand silver minas, and one hundred priestly tunics.
Walitoa kadiri ya uwezo wao katika kufadhili kazi: Dhahabu za darkoni sitini na moja elfu, mane za fedha elfi tano na mavazi mia moja ya makuhani.
70 So the priests and Levites, the people, the temple singers and gatekeepers, and those assigned to serve in the temple inhabited their cities. All the people in Israel were in their cities.
Basi makuhani na walawi, watu, waimbaji hekaluni, na walinzi wa getini, na wale waliochaguliwa kutumika katika Hekalu walikaa katika miji yao. Watu wote katika Israel walikuwa katika miji yao.