< Ezekiel 15 >

1 Then the word of Yahweh came to me, saying,
Kisha neno la Yahwe likanijia, liksema,
2 “Son of man, how is a vine better than any tree with branches that is among the trees in a forest?
“Mwanadamu, je ni jisni gani mzabibu ulivo bora kuliko mti na matawi yaliyomo kwenye miti katika msitu?
3 Do people take wood from a vine to make anything? Or do they make a peg from it to hang anything on it?
Je watu huwa wanachukua mbao kutoka kwenye mzabbibu kufanyia chochote? au huwa wanatengenezea vitu kutokana na huo kuning'iniza chochote juu ya huo?
4 See! If it is thrown into a fire as fuel, and if the fire has burned both of its ends and also the middle, is it good for anything?
Tazama! Kama umetupwa kwenye moto kama kuni, na kama moto umezichoma ncha zake zote na katikati pia, je unafaa kwa chochote?
5 See! When it was complete, it could not make anything; surely then, when the fire has burned, then it still will not make anything useful.
Tazama! Wakati ulipokuwa umekamilika, haukuweza kufanya chochote; kisha hakika, wakati moto ulipouchoma, lakini bado haukuweza kutengeneza kitu chochote kwa ajili ya matumizi yoyote.
6 Therefore the Lord Yahweh says this: Unlike the trees in the forests, I have given the vine as fuel for fires; I will act in the same way toward the inhabitants of Jerusalem.
Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: haufanani na miti katika misitu, niliyoitoa mzabibu kama kuni kwa moto; nitatenda vivyo hivyo mbele ya wakaao Yerusalemu.
7 For I will set my face against them. Though they come out from the fire, yet the fire will consume them; so you will know that I am Yahweh, when I set my face against them.
Kwa kuwa nitauweka uso wangu juu yao. Ingawa watatoka kutoka kwenye moto, bado moto utawala; hivyo mtajua kwamba mimi ni Yahwe, wakati nitakapoona uso wangu juu yenu.
8 Then I will make the land into an abandoned wasteland because they have committed sin—this is the Lord Yahweh's declaration.”
Kisha nitaifanya nchi kuwa ukiwa kwa sababu wamefanya dhambi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”

< Ezekiel 15 >