< Ecclesiastes 11 >

1 Send out your bread on the waters, for you will find it again after many days.
Peleka mkate wako juu ya maji, kwa kuwa utaupata tena baada ya siku nyingi.
2 Share it with seven, even eight people, for you do not know what disasters are coming on the earth.
Shiriki mkate na watu saba, hata wanane kwa kuwa haujui ni majanga gani yanayo kuja juu ya nchi.
3 If the clouds are full of rain, they empty themselves on the earth, and if a tree falls toward the south or toward the north, wherever the tree falls, there it will remain.
Kama mawingu yamejaa mvua, yanajivua yenyewe chini ya nchi. Na kama mti ukianguka kuelekea kusini au kuelekea kaskazini, popote mti unapoangukia papo hapo utabakia.
4 Anyone who watches the wind might not plant, and anyone who watches the clouds might not harvest.
Yeyote autazamaye upepo yawezekana asipande, na yeyote atazamaye mawingu yawezekana asivune.
5 As you do not know the path of the wind, nor how a baby's bones grow in the pregnant womb, so also you cannot comprehend the work of God, who created everything.
Kama usivyo jua njia ya upepo, wala vile ambavyo mtoto akuavyo tumboni, vivyo hivyo huwezi kuielewa kazi ya Mungu, aliye umba kila kitu.
6 In the morning plant your seed; until the evening, work with your hands as needed, for you know not which will prosper, whether morning or evening, or this or that, or whether they will both alike be good.
Asubuhi panda mbegu yako; hadi jioni, fanya kazi kwa mikono yako kama inavyo hitajika kwa kuwa haujui ni ipi itafanikiwa, jioni au asubuhi, au hii au ile au zote zitakuwa nzuri.
7 Truly the light is sweet, and it is a pleasant thing for the eyes to see the sun.
Kweli nuru ni tamu, na ni kitu cha kufurahisha kwa ajili ya macho kuona jua.
8 If someone lives many years, let him be happy in all of them, but let him think about the coming days of darkness, for they will be many. Everything to come is vanishing vapor.
Kama mtu akiishi miaka mingi, na aifurahie yote, lakina na afikiri juu ya siku zijazo za giza, kwa kuwa zitakuwa nyingi. Kila kitu kijacho ni mvuke unaoteketea.
9 Take joy, young man, in your youth, and let your heart be joyful in the days of your youth. Pursue the good desires of your heart, and whatever is within the sight of your eyes. However, know that God will bring you into judgment for all these things.
Furahia kijana, katika ujana wako, na moyo wako ufurahie siku za ujana wako. fuatilia yale mema ya moyo wako, chochote kilicho mbele ya macho yako. Ingawa, fahamu kwamba MUngu atakuleta hukumuni kwa ajili ya vitu hivi vyote.
10 Drive anger away from your heart, and ignore any pain in your body, because youth and its strength are vapor.
Ondoa hasira kutoka moyoni mwako, na usijali maumivu yoyote katika mwili wako, kwa sababu ujana na nguvu zake ni mvuke.

< Ecclesiastes 11 >