< Romans 16 >

1 [By means of this letter] I am introducing and recommending to you our fellow believer Phoebe, [who will be taking this letter to you]. She is a deacon in the congregation in Cenchrea [city].
Namkabidhi kwenu Fibi dada yetu, ambaye ni mtumishi wa kanisa ambalo liko Kenkrea,
2 [I request that] you receive her because of her relationship with the Lord. [You should do that because] those who are God’s people ought to receive [their fellow believers]. [I am also requesting] that you help her [by giving her] [EUP] whatever she needs, because she has helped many people, including me.
ili kwamba mnaweza kumpokea katika Bwana. Fanyeni hivi katika kicho cha thamani cha waumini, na msimame pamoja naye katika jambo lolote atakalokuwa na uhitaji nalo. Maana yeye mwenyewe amekuwa mhudumu wa wengi, na kwa ajili yangu mwenyewe.
3 Tell Priscilla and [her husband] Aquila that I (send greetings to/am thinking fondly of) them. They worked with me for Christ Jesus,
Msalimu Priska na Akila, watenda kazi pamoja nami katika Kristo Yesu,
4 and they were even willing to die [IDM] in order [to save] my life. It is not only I who thank them [for helping me], but the people in all [HYP] the non-Jewish congregations also [thank them for saving my life].
ambao kwa maisha yangu waliyahatarisha maisha yao wenyewe. Ninatoa shukrani kwao, na siyo tu mimi, bali pia kwa makanisa yote ya mataifa.
5 Also tell the congregation [that meets] in their house that I (send my greetings to/am thinking fondly of) them. Tell my dear friend Epaenetus the same thing. He is the first man in Asia [province] who [believed] in Christ.
Lisalimie kanisa ambalo liko nyumbani kwao. Msalimie Epanieto mpendwa wangu, ambaye ni mzaliwa wa kwanza wa Kristo katika Asia.
6 Tell Mary, who has worked hard [for Christ] in order to [help] you, that I (send my greetings to/am thinking fondly of) her.
Msalimie Mariamu ambaye ametenda kazi kwa bidii kwa ajili yenu.
7 Tell the same thing to Andronicus and [his wife] Junia (OR, and [his sister] Junia) who are my fellow Jews and who were also [previously] in prison with me. They are well-known/respected (OR, respected by the) apostles, and they became Christians before I did.
Msalimie Androniko na Yunia, jamaa zangu, na wafungwa pamoja nami. Ni wa muhimu miongoni mwa mitume, ambao pia walitangulia kumjua Kristo kabla yangu.
8 I also send my greetings to Ampliatus, who is a dear friend because of his relationship with the Lord.
Msalimie Ampliato, mpendwa wangu katika Bwana.
9 I also send my greetings to Urbanus, who works for Christ with us, and to my dear friend Stachys.
Msalimie Urbano, mtenda kazi pamoja nami katika Kristo, na Stakisi mpendwa wangu.
10 I also send my greetings to Apelles, whom Christ has approved [because Apelles successfully endured trials]. Tell the [believers] who [live in the house] of Aristobulus that I send my greetings to them.
Msalimie Apele, mwenye kukubaliwa katika Kristo. Wasalimie wote ambao walio katika nyumba ya Aristobulo.
11 Also tell Herodion, who is my fellow Jew, that I send my greetings to him. Tell the same thing to those who [live in the house] of Narcissus who belong to the Lord.
Nisalimie Herodioni, jamaa yangu. Nisalimie wote walio katika nyumba ya Narkiso, ambao wako katika Bwana.
12 Tell the same thing to Tryphaena and [her sister] Tryphosa, who work hard for the Lord. I also send my greetings to Persis. [We all] love her and she has worked very hard for the Lord.
Nisalimie Trifaina na Trifosa, wanaotenda kazi kwa bidii katika Bwana. msalimie Persisi mpendwa, ambaye ametenda kazi zaidi kwa Bwana,
13 Tell Rufus, who is an outstanding Christian, that I send my greetings to him. [Tell the same thing to] his mother, [who has treated me as though] I [were her son] [MET].
Nisalimie Rufo, aliyechaguliwa katika Bwana na mama yake na wangu.
14 Tell Asyncritus and Phlegon and Hermes and Patrobas and Hermas and the fellow believers who [meet] with them that I am sending my greetings to them.
Msalimie Asinkrito, Flegon, Herme, Patroba, Herma, na ndugu wote walio pamoja nao.
15 I also send my greetings to Philologus, to [his wife] Julia (OR, [his sister] Julia), to Nereus and his sister, and to Olympas, and to all God’s people who [meet] with them.
Nisalimie Filologo naYulia, Nerea na dada yake, na Olimpa, na waumini wote walio pamoja nao.
16 Greet one another affectionately, but in a pure way, [when you gather together]. The [believers in] all the Christian congregations [HYP] [in this area (send their] greetings to/say they are thinking fondly of) you.
Nisalimie kila mmoja kwa busu takatifu. Makanisa yote katika Kristo yawasalimu.
17 My fellow believers, I exhort you that you beware of those people who are causing divisions among you and who cause people to turn away [from God] [MTY] [because they teach things that] are contrary to the message [about Christ] that you have learned (OR, that others taught you). Keep away from such people!
Sasa nawasihi, ndugu, kutafakari juu ya hao ambao wanasababisha mgawanyiko na vipingamizi. Wanakwenda kinyume na mafundisho ambayo mmekwisha kujifunza. Geukeni mtoke kwao.
18 They do not serve our Lord Christ! On the contrary, they only want to satisfy their own desires [MTY]! Also, by all the eloquent things that they say [DOU] they deceive those people who do not realize [that their teaching is false].
Kwa maana watu kama hawa hawamtumikii Kristo Bwana, bali matumbo yao wenyewe. Kwa maneno yao laini na pongezi za uongo wanadanganya mioyo ya wasio na hatia.
19 [Believers] everywhere know that you have paid attention to [the good message about Christ], with the result that I rejoice about you. But I also want you to be wise, [with the result that you do] what is good. I also want you to avoid doing what is evil.
Kwa mfano wa utii wenu mwamfikia kila mmoja. Kwa hiyo, nafurahi juu yenu, lakini nawataka ninyi mwe na busara katika hali ya wema, na kutokuwa na hatia mbele ya uovu.
20 [If you avoid people who teach what is false], what will [soon happen] [MET] [will be as though] God, who causes us to be peaceful, will be crushing Satan under your feet! [I pray that] our Lord Jesus will continue to act kindly towards you.
Mungu wa amani hatakawia kumwangamiza shetani chini ya nyayo zenu. Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja nanyi.
21 Timothy, who works with me, and Lucius and Jason and Sosipater, who are my fellow Jews, [want you to know that they are] (sending their greetings to/thinking fondly of) you.
Timotheo, mtendakazi pamoja nami, awasalimu, na Lukio, Yasoni na Sospeter, jamaa zangu.
22 I, Tertius, [one who belongs to] the Lord, [also want you to know] that I am (sending my greetings to/thinking fondly of) you. [I am writing this letter as Paul tells me what to write for him].
Mimi, Tertio, niliyeuandika waraka huu, nawasalimu katika jina la Bwana.
23 I, [Paul], am staying in the house of Gaius, and the whole congregation [here meets] in his house. He [also wants you to know] that he is (sending his greetings to/thinking fondly of) you. Erastus, the treasurer of [this] city, also [wants you to know that] he is (sending his greetings to/thinking fondly of) you. Our fellow believer Quartus also (sends his greetings to you./says he is thinking fondly of you.)
Gayo, aliyenitunza na kwa kanisa lote, lawasalimu. Erasto, mtunza hazina wa mji, awasalimu, pamoja na Kwarto aliye ndugu.
(Zingatia: Katika nakala halisi za kwanza, mstari huu haupo. Tazama Warumi 16: 20. “Neema ya Bwana Yesu Kristo ikae nanyi nyote. Amina.”)
25 As [I] proclaim [the good message about] Jesus Christ, [I tell about God], the one who is able to strengthen you [spiritually]. I also proclaim the [truth] that was not revealed {which [God] did not reveal} in all previous ages/times (aiōnios g166)
Sasa kwake yeye aliye na uwezo kufanya msimame kulingana na injili na mafundisho ya Yesu Kristo, kulingana na ufunuo wa siri iliyofichwa kwa muda mrefu, (aiōnios g166)
26 but which has now been {which [he] has now} revealed. [I, along with others, have proclaimed] what the prophets wrote [about Christ]. We are doing what the eternal God commanded [us(exc)/me to do]. We want [people in] all ethnic groups to know [Christ] so that they can believe [in him] and obey [him]. (aiōnios g166)
lakini sasa imekwisha funuliwa na kufanywa kujulikana na maandiko ya unabii kulingana na amri ya Mungu wa milele, kwa utii wa imani miongoni mwa mataifa yote? (aiōnios g166)
27 [I desire that by] Jesus Christ [enabling us, we] will forever praise the one who alone is God, who alone is [truly] wise. (May it be so!/Amen!) (aiōn g165)
Kwa Mungu pekee mwenye hekima, kupitia Yesu Kristo, kuwe na utukufu milele yote. Amina (aiōn g165)

< Romans 16 >