< Psalms 28 >

1 Yahweh, I call out to you; [you are like an overhanging] rock [under which I can hide]. Do not refuse to answer me, because if you are silent, I will soon be with those who are in their graves.
Zaburi ya Daudi. Ninakuita wewe, Ee Bwana, Mwamba wangu; usiwe kwangu kama kiziwi. Kwa sababu ukinyamaza nitafanana na walioshuka shimoni.
2 Listen to me when I call out for you [to help me], when I pray, lifting up my hands as I face your sacred temple.
Sikia kilio changu unihurumie ninapokuita kwa ajili ya msaada, niinuapo mikono yangu kuelekea Patakatifu pa Patakatifu pako.
3 Do not drag me away with wicked people, with those who do wicked deeds, with those who pretend [to act] peacefully toward others while in their inner beings, they hate them.
Usiniburute pamoja na waovu, pamoja na hao watendao mabaya, ambao huzungumza na jirani zao maneno mazuri, lakini mioyoni mwao wameficha chuki.
4 Punish those people in the way that they deserve for what they have done; punish them for their evil deeds [DOU].
Walipe sawasawa na matendo yao, sawasawa na matendo yao maovu; walipe sawasawa na kazi za mikono yao, uwalipe wanavyostahili.
5 Yahweh, they do not pay attention to the [wonderful] things that you have done and that you have created; so get rid of them permanently and do not let them appear again!
Kwa kuwa hawaheshimu kazi za Bwana, na yale ambayo mikono yake imetenda, atawabomoa na kamwe hatawajenga tena.
6 Praise Yahweh because he has heard me when I called out for him to help me!
Bwana asifiwe, kwa maana amesikia kilio changu nikimwomba anihurumie.
7 Yahweh makes me strong and [protects] me [like a shield] [MET]; I trusted in him, and he helped me. I was glad, and from my inner being I praised him as I sang to him.
Bwana ni nguvu zangu na ngao yangu, moyo wangu umemtumaini yeye, nami nimesaidiwa. Moyo wangu unarukaruka kwa furaha nami nitamshukuru kwa wimbo.
8 Yahweh causes us to be strong and protects us; and he saves me, the one he appointed [MTY] to be king.
Bwana ni nguvu ya watu wake, ngome ya wokovu kwa mpakwa mafuta wake.
9 Yahweh, save/rescue your people; bless those who belong to you. [Take care of them like] a shepherd [takes care of his sheep] [MET]; take care of them forever.
Waokoe watu wako na uubariki urithi wako; uwe mchungaji wao na uwabebe milele.

< Psalms 28 >