< Psalms 135 >

1 Praise Yahweh! You who (do work for/serve) Yahweh, praise him!
Msifuni Yahwe. Lisifuni jina la Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe,
2 You who stand in the temple of Yahweh our God and in the surrounding courtyard, praise him [MTY]!
ninyi msimamao katika nyumba ya Yahwe, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3 Praise Yahweh, because he does good things [for us]; sing to him [MTY], because he is kind [to us].
Msifuni Yahwe, kwa kuwa ni mwema; liimbieni sifa jina lake, maana ni vizuri kufanya hivyo.
4 He has chosen [us, the descendants of] Jacob; he has chosen [us] Israelis to belong to him [DOU].
Kwa kuwa Yahwe amemchagua Yakobo kwa ajili yake mwenyewe, Israeli kama urithi wake.
5 I know that Yahweh is great; he is greater than all the gods.
Najua ya kuwa Yahwe ni mkuu, na kwamba Bwana wetu yuko juu ya miungu yote.
6 Yahweh does whatever he desires to do, in heaven and on the earth and in the seas/oceans, [down] to the bottom of the seas.
Chochote Yahwe apendacho, hufanya mbinguni, duniani, katika bahari na katika vilindi vyote.
7 He is the one who causes clouds to appear from very distant places on the earth; he sends lightning with the rain, and he brings the winds from the places where he stores them.
Hushusha mawingu kutoka mbali, akifanya mianga ya radi kuongozana na mvua na kuleta upepo toka katika ghala yake.
8 He is the one who killed [all] the firstborn [males] in Egypt, the firstborn of people and of animals.
Aliua mzaliwa wa kwanza wa Misri, wote wanadamu na wanyama.
9 There he performed many kinds of miracles [DOU] to punish the king and all his officials.
Alituma ishara na maajabu kati yako Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10 He destroyed many nations and the powerful kings [who ruled them]:
Aliwashambulia mataifa mengi na aliua wafalme wenye nguvu,
11 Sihon, the king of the Amor people-group, and Og, the king of Bashan [region], and all the other kings in Canaan [land].
Sihoni mfalme wa Waamori na Ogu mfalme wa Bashani na falme zote za Kanaani.
12 Then he gave their land to [us] Israeli people to belong to us [forever].
Alitupatia sisi nchi yao kama urithi, urithi wa Israeli watu wake.
13 Yahweh your name will endure forever, and people who are not yet born will remember the great things [that you have done].
Jina lako, Yahwe, inadumu milele; Yahwe, kumbukumbu lako vizazi hata vizazi.
14 Yahweh, [you] declare that we your people (are innocent/have not done things that are wrong), and you are merciful to us.
Kwa kuwa Bwana huwatetea watu wake na anahuruma juu ya watumishi wake.
15 But the idols that the [other] people-groups [worship] are only [statues made of] silver and gold, things that humans have made.
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
16 Their idols have mouths, but they cannot say [anything]; they have eyes, but they cannot see [anything].
Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
17 They have ears, but they cannot hear [anything], and they are not [even able to] breathe.
zina masikio, lakini hazisikii, wala vinywani mwao hamna pumzi.
18 The people who make those idols are as [powerless as] those idols, and those who trust in those idols [can accomplish no more than] their idols can!
Wale wazitengenezao wanafanana nazo, vilevile kila anaye zitumainia.
19 [My fellow] Israelis, praise Yahweh! You [priests] who are descended from Aaron, praise Yahweh!
Enyi kizazi cha Israeli, mtukuzeni Yahwe; kizazi cha Haruni, mtukuzeni Yahwe.
20 You [men] who are descended from Levi, [you who assist the priests], praise Yahweh! [All] you who revere Yahweh, praise him!
Kizazi cha Lawi, mtukuzeni Yahwe.
21 Praise Yahweh in [the temple on] Zion [Hill] in Jerusalem, where he lives! Praise Yahweh!
Atukuzwe Yahwe katika Sayuni, yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Yahwe.

< Psalms 135 >