< Psalms 114 >
1 When the Israeli [people] left Egypt, when they who were descendants of Jacob left people who spoke a foreign/different language,
Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
2 [the land of] Judah became the place where people worshiped God; and Israel became the land (OR, the [Israeli people] became the people) that he ruled over.
Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
3 [When they came to] the [Red] Sea, [it was as though the water] saw [them] and ran away! When they came to the Jordan [River], that [water in the] river stopped flowing [so that the Israelis could cross it].
Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
4 [When they came to Sinai Mountain and there was a big earthquake], [it was as though] the mountains skipped/jumped like goats do and the hills jumped around like lambs do.
Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
5 [If someone asks], “What happened at the [Red] Sea that caused the water to run away? What happened that caused [the water in] the Jordan [River] to stop flowing?
Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
6 What happened that caused the mountains to skip like goats and caused the hills to jump around like lambs?”
Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
7 [I would reply that] it was the presence of the Lord that caused those things to happen! [Everyone/Everything on] the earth should tremble in the presence of God, whom (Jacob [worshiped]/the Israeli people [worship])!
Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
8 He is the one who caused pools of water [for the Israeli people to drink to flow] from a rock; he caused a spring [to flow] from a solid rock cliff!
Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.