< Psalms 100 >

1 Everyone in the world should shout joyfully to Yahweh!
Zaburi ya shukrani. Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
2 We should worship Yahweh gladly! We should come before him singing joyful songs.
Mwabuduni Bwana kwa furaha; njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.
3 We should acknowledge/recognize that Yahweh is God; it is he who made us, [so] we belong to him. We are the people that he takes care of [MET]; we are [like] sheep that are cared for by their shepherd.
Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu. Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake; sisi tu watu wake, kondoo wa malisho yake.
4 Enter the gates [of his temple] thanking him; enter the courtyard [of the temple] singing songs to praise him! Thank him and praise him,
Ingieni malangoni mwake kwa shukrani na katika nyua zake kwa kusifu, mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.
5 because Yahweh always [does] good [things for us]. He faithfully loves us, and (is faithful/is loyal to us forever/will never forsake us).
Kwa maana Bwana ni mwema na upendo wake wadumu milele; uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.

< Psalms 100 >