< Nahum 2 >

1 [You people of] [APO] Nineveh, your enemies are coming to attack you. [So] place guards on the tops of the walls around the city! Guard the roads [into the city]! Get ready to fight! Gather your troops/soldiers [MTY] together!
Yule ambaye atakuharibu vipande vipande anakuja dhidi yako. Linda kuta za mji, linda barabara, jitieni nguvu ninyi wenyewe, yakusanyeni majeshi yenu.
2 Even though enemy soldiers have destroyed the descendants of [MTY] Jacob, Yahweh will cause them to be honored again. Israel is like a grapevine that has been ruined, but Israel will prosper again.
Maana Yehova anarejesha fahari ya Yakobo, kama fahari ya Israeli, ingawa wateka nyara waliwaharibu na kuharibu matawi ya zabibu zao.
3 The shields of the enemy soldiers [who are coming to attack you] will shine red [as the sun shines on them], and they will wear bright red uniforms. The metal of their chariot [wheels] will flash when they line up [before the battle], and their soldiers will lift up their cypress/pine spears and wave them.
Ngao za mashujaa wake ni nyekundu, na watu hodari wamevaa nguo nyekundu; magari ya vita yameandaliwa yanang'ara kwenye vyuma vyake wakati wa mchana, na mikuki ya mivinje inarushwa hewani.
4 Their chariots will dash through the streets [of Nineveh] and rush furiously through the plazas. Going as quick as lightning, they will resemble flaming torches.
Magari ya vita yapo kasi kwenye mitaa; yanakimbia mbele na nyuma katika mitaa. Yapo kama kurunzi, na yanakimbia kama radi.
5 [Meanwhile], your king will summon his officers who will stumble as they [try to] come [quickly]. They will dash to the [city] wall, holding their shields to protect themselves.
Yule ambaye atakuvunja vipande vipande anawaita maafisa wake; wanajikwaa kila mmoja kwa mwingine katika kutembea kwao; wanaharakisha kuushambulia ukuta wa mji. Ngao kubwa imetayarishwa kujikinga na hawa washambuliaji.
6 But, the gates [of the dams] on the rivers will be thrown open [by enemy soldiers], and [the flood will cause] the palace to collapse.
Malango kwenye mito yamelazishwa kufunguka, na jumba la mfalme linaanguka kwenye uharibifu.
7 The queen will have her clothes stripped off her [by enemy soldiers], and her slave girls will moan like doves and beat their breasts [to show that they are very sad].
Husabu amevuliwa mavazi yake na amachukuliwa; watumishi wake wa kike wanaomboleza kama njiwa, wanavipiga vifua vyao.
8 [The people will rush from] Nineveh like [SIM] water rushes from a broken dam. [The officials] will shout, “Stop! Stop!” but the people will not even look back [as they run away].
Ninawi ni kama bwawa la maji linalovuja, watu wake kwa pamoja wanakimbia kama maji yanayotiririka. Wengine wanasema, “Simama, simama,” lakini hakuna anayegeuka nyuma.
9 [The enemy attackers say to each other, ] “Seize the silver! Grab the gold! There is a huge amount of very valuable things in this city, more valuable things than anyone can count!”
Chukua nyara ya fedha, kuchua nyara ya dhahabu, maana hakuna mwisho wake, kwa fahari ya vitu vyote vizuri vya Ninawi.
10 [Soon everything valuable in the city] will be seized or ruined. People will be trembling, with the result that they will not be able to fight. Their faces will all become pale.
Ninawi ipo tupu na imeharibiwa. Moyo wa kila mtu unayeyuka, magoti ya kila mmoja yanagongana pamoja, na uchungu upo kwa kila mmoja; sura zao wote zimepauka.
11 [After that happens, people will say, ] “What happened to [RHQ] that [great city of Nineveh]? [It was like] [MET] a den [full] of young lions, where the male and female lions lived and fed the young ones.
Sasa liko wapi pango la simba, sehemu ambapo simba wadogo hula chakula, sehemu ambapo simba dume na simba jike walitembea, pamoja wana-simba, ambapo hawakuogopa kitu chochote?
12 [The soldiers in Nineveh were like] [MET] lions that killed or strangled [other animals] [and brought the meat] to their dens.”
Simba alirarua mawindo yake vipande vipande kwa ajili ya watoto wake; aliwanyonga mawindo wake kwa ajili ya wake zake, na kulijaza pango lake mawindo, makao yake kwa mizoga iliyoraruliwa.
13 The Commander of the armies of angels says [to the people of Nineveh], “I am opposed to you; I will cause your chariots to [be burned in fires and] go up in smoke. Your young men will be killed with swords. [Your soldiers] will never again conquer [other nations] and seize their valuable possessions. Your messengers will never again take messages [to other nations, demanding that their armies surrender to them].”
“Tazama, mimi nipo kinyume na wewe- hili ni neno la Yehova wa majeshi. Nitayachoma magari yenu ya vita katika moshi, na upanga utateketeza simba wenu vijana. Nitazuia nyara zenu kutoka kwenye nchi yangu, na sauti za wajumbe wenu hazitasikika tena.”

< Nahum 2 >