< Micah 5 >
1 “But now, [you people of Jerusalem, gather your troops together, ] [because even though] you have a wall [around your city to protect it], [enemy soldiers] are surrounding the city. And [soon] they will strike your leader on his face, with a rod.”
Sasa njoni pamoja katika safu ya kupigana, binti wa maaskari; maaskari wameuzingira mji, kwa ufito watampiga mwamuzi wa Israeli kwenye shavu.
2 But you [people of] [APO] Bethlehem in Ephrathah [district need to know that] even though your [town] is a very small one among all the towns in Judah, someone who will rule Israel will be born in your town. [He will be] someone whose family has existed a very long time ago [DOU].
Lakini wewe, Bethlehemu Efrata, hata kama uko mdogo miongoni mwa koo za Yuda, kutoka kweko mmoja atakuja kwangu kutawala Israeli, ambaye mwanzo wake ni kutoka nyakati za kale, toka milele.
3 [But now] you people of Israel will be conquered by your enemies; [but it will be for only a short time], like [MET] [the short time that] women have great pain while their babies are being born. After that, your fellow-countrymen who were (exiled/forced to go to other countries) will return to their own country.
Kwa hiyo Mungu atawapa, hata mda wa yeye aliye katika uchungu kuzaa mtoto, na mabaki ya ndugu zake yatawarudia wana wa Israeli.
4 And that man who will be ruling [there in Jerusalem] will stand and lead his people well, because Yahweh, his God, will cause him to be strong and greatly honored. Then the people whom he rules will live [in Jerusalem] safely; he will be greatly honored by people all over the earth, [so no one will dare to attack Jerusalem].
Atasimama na kuchunga kundi lake kwa nguvu za Yahwe, kwa ukuu wa enzi ya jina la Yahwe Mungu wake. Watabaki, kwa kuwa atakuwa mashuhuri hata mwisho wa dunia.
5 And he will cause things to go well [for his people]. When [the army of] Assyria attacks our country and breaks though our fortresses, we will appoint (seven or eight/several) leaders [to lead our army] to fight against them.
Atakuwa amani yetu. Wakati Waashuru watakapokuja kwenye nchi yetu, wakati wakitembea dhidi ya boma yetu, kisha kisha tutainuka juu yao wachungaji saba na viongozi nane juu ya watu.
6 With their swords [our army] will defeat the [army of] Assyria, [whose capital was founded by] Nimrod [long ago]. So our army will rescue us from the Assyrian [army] when they invade our country [DOU].
Watachunga nchi ya Ashuru kwa upanga, na nchi ya Nimrodi katika malango yake. Atatuokoa kutoka kwa Waashuru, watakapokuja kwenye nchi yetu, watakapoingia kwenye mipaka yetu.
7 The (descendants of Jacob/Israelis) who survive will be [a blessing] to the people of other nations, like [SIM] dew and rain sent by Yahweh do good to the grass. The Israelis will not trust in humans [to help them]; instead, they will rely on Yahweh.
Mabaki ya Yakobo yatakuwa katika kabila za watu wengi, kama umande utokao kwa Yahwe, kama manyunyu kwenye majani, ambayo hayamsubiri mtu, na hayawasubiri watoto wa mwanadamu.
8 In the midst of [their enemies in] many people-groups [DOU], the descendants of Jacob who remain alive will be like [SIM] a lion among the [other] wild beasts of the forest, like [SIM] a young lion who goes among a flock of sheep and pounces [on one] and (mauls it/tears it to pieces), and no one will be able to rescue [that sheep].
Mabaki ya Yakobo yatakuwa miongoni mwa mataifa, miongoni mwa watu wengi, kama simba katikati ya kundi la kondoo. wakati akipita katikati yao, atawakanyaga juu yao na kuwachachana kuwa vipande vipande, na hakutakuwa na mtu wa kuwaokoa.
9 You Israelis will defeat [MTY] all your enemies and completely destroy them.
Mkono wako utainuliwa dhidi ya maadui zako, na utawaharibu.
10 Yahweh says, “At that time, I will destroy [you Israeli people’s] horses [that your soldiers use in war] and your chariots.
“Itatokea siku hiyo,” asema Yahwe, “kwamba nitawaharibu farasi wako kutoka miongoni mwenu na nitayavunja magari yako ya farasi.
11 I will tear down your city [walls] and destroy all your fortified cities.
Nitaiharibu miji katika nchi yako na kuzingusha ngome zako zote.
12 I will get rid of all those among you who practice magic and the (fortune-tellers/those who say that they can predict what will happen in the future).
Nitauharibu uchawi kwenye mkono wako, na hakutakuwa na waaguzi tena.
13 I will destroy [all] your idols and [sacred stone] pillars, and then you will no longer bow down [and worship] things that you yourselves [SYN] have made.
Nitaziaharibu sanamu zako za pango na nguzo za mawe kutoka miongoni mwako. Hautaabudu tena ustadi wa mikono yako.
14 I will get rid of your poles [that represent the goddess] Asherah, and [I will also] destroy all your idols.
Nitazin'goa nguzo zako za Ashera kutoka miongoni mwenu, na nitaiharibu miji yenu.
15 And because I will be very angry, I will [also] punish [the people of] all the nations who have not obeyed [me].”
Nitalipiza kisasi kwa hasira na ghadhabu juu ya mataifa ambayo hayakusikiliza.”