< Mark 2 >
1 [Jesus and his disciples] returned to Capernaum [town]. A few days later, because it was {people} heard that Jesus was in [his] house,
Baada ya siku kadhaa Yesu alirudi Kapernaumu, watu wakasikia kwamba amerudi nyumbani.
2 many people gathered there. As a result, [after the people filled the house], there was no longer space to stand [in the house or outside] around the doorway. Jesus preached [God’s] message to them.
Hivyo watu wengi wakakusanyika kiasi kwamba hapakubaki nafasi yoyote hata mlangoni! Naye akawahubiria Neno.
3 Some people came to the house bringing to Jesus a man who was paralyzed. He was carried by four men {Four men carried [him]} [on a sleeping pad].
Ndipo baadhi ya watu wakaja wakamletea Yesu mtu aliyepooza, akiwa amebebwa na watu wanne.
4 They were not able to bring the man to Jesus because there was a crowd there. So they [went up the steps to the flat roof and] removed [some of] the tiles [above] where Jesus was. Then, after they made a [big] hole in the roof, they lowered [by ropes] the sleeping pad on which the paralyzed man lay. They lowered [it through the hole, down in front of Jesus].
Kwa kuwa walikuwa hawawezi kumfikisha kwa Yesu kwa ajili ya umati wa watu, walitoboa tundu kwenye paa mahali pale alipokuwa Yesu, wakamshusha yule aliyepooza kwa kitanda alichokuwa amelalia.
5 After Jesus perceived that the men believed [that he could heal this man], he said to the paralyzed man, “My friend, [I] forgive your sins!”
Yesu alipoiona imani yao, alimwambia yule mtu aliyepooza, “Mwanangu, dhambi zako zimesamehewa.”
6 There were some men who taught [the Jewish] laws sitting there. They started thinking like this:
Basi baadhi ya walimu wa sheria waliokuwa wameketi huko wakawaza mioyoni mwao,
7 “(Who does this man think he is, talking like that/This man shouldn’t talk like that!) [RHQ]? (He is insulting God!/Does he think he is God?) [RHQ] (No person can forgive sins!/Who can forgive sins?) [RHQ] Only God can forgive sins!”
“Kwa nini mtu huyu anasema hivi? Huyu anakufuru! Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake?”
8 Jesus sensed that they were deliberating like that within themselves. So he said to them, “(You should not question within yourselves [whether I have the right to forgive this man’s sins]!/Why do you question [whether I have the right to forgive this man’s sins]?) [RHQ]
Mara moja Yesu akatambua rohoni mwake kile walichokuwa wanawaza mioyoni mwao, naye akawaambia, “Kwa nini mnawaza hivyo mioyoni mwenu?
9 It is [not risky] [RHQ] for someone to tell the man who is paralyzed, ‘Your sins are forgiven {[I] forgive your sins},’ [because no one can prove that it has happened]. But no one would say to him, ‘Get up, pick up your stretcher, and then walk away’, [unless he really had the power to heal him, because people can easily see whether it happens or not].
Je, ni lipi lililo rahisi zaidi: kumwambia huyu aliyepooza, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Inuka, uchukue mkeka wako, uende’?
10 So I [will do something] in order that you may know that [God] has authorized me, the one who came from heaven, to forgive sins on earth [as well as to heal people].” Then he said to the paralyzed man,
Lakini ili mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo mamlaka duniani kusamehe dhambi…” Yesu akamwambia yule aliyepooza,
11 “To you I say, ‘Get up! Pick up your sleeping pad! And then go home!’”
“Nakuambia, inuka, chukua mkeka wako, uende nyumbani kwako.”
12 The man stood up immediately! He picked up the sleeping pad, and then he went away, while all the people [there] were watching. They were all amazed, and they praised God and said, “We have never before seen anything like [what happened] just now!”
Yule mtu aliyekuwa amepooza akasimama, akachukua mkeka wake, akatembea machoni pao wote! Jambo hili likawashangaza wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, “Hatujapata kuona jambo kama hili kamwe!”
13 Jesus left [Capernaum town again and walked with his disciples] alongside [Galilee] lake. A large crowd came to him. Then he taught them.
Yesu akaenda tena kandokando ya Bahari ya Galilaya. Umati mkubwa wa watu ukamfuata, naye akaanza kuwafundisha.
14 As he walked on further, he saw a man named Levi, whose other name was Matthew, and whose father’s name was Alpheus. He was sitting in his office where he collected taxes [for the Roman government]. Jesus said to him, “Come with me [and become my disciple]!” So he got up and went with Jesus.
Alipokuwa akitembea, akamwona Lawi mwana wa Alfayo ameketi forodhani mahali pa kutoza ushuru, akamwambia, “Nifuate.” Lawi akaondoka, akamfuata Yesu.
15 [Later], Jesus was eating a meal in Levi’s house. Many men who collected taxes and [other] people who were [considered to be] sinning regularly were eating with Jesus and his disciples. [This was not surprising], for there were many people like this who were going [everywhere] with Jesus.
Yesu alipokuwa akila chakula nyumbani mwa Lawi, watoza ushuru wengi pamoja na “wenye dhambi” walikuwa wakila pamoja naye na wanafunzi wake, kwa maana kulikuwa na watu wengi waliokuwa wakimfuata.
16 The [men who taught the Jewish] laws [who were there] and who were members of the Pharisee [sect] saw that Jesus was eating with men who collected taxes and [others who were considered] {[whom they considered]} [to be] sinners. So they said to his disciples, “(It is disgusting that he eats with [such disgusting] men as those who collect taxes, and with [other] sinners!/Why is it that he eats with [such disgusting] men as those who collect taxes, and with [other] sinners?)” [RHQ]
Baadhi ya walimu wa sheria waliokuwa Mafarisayo walipomwona akila pamoja na watoza ushuru na “wenye dhambi,” wakawauliza wanafunzi wake: “Mbona Yesu anakula pamoja na watoza ushuru na ‘wenye dhambi’?”
17 After Jesus heard [what they were saying], he said to the men who taught the [Jewish] laws, “People who [consider that they] are well do not seek a doctor. On the contrary, it is those who are sick [who seek a doctor] [MET]!” [This he said to indicate that it was those who knew that they had sinned who were coming to him in order that he might help them spiritually]. And he said, “I did not come to invite people [who think that] [IRO] they are righteous [to come to me and turn from their sinful behavior]. On the contrary, I came [from heaven to invite] people who [know that they] are sinners, [in order that they might turn from their sins and come to me].”
Yesu aliposikia haya akawaambia, “Watu wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio wagonjwa. Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi.”
18 The disciples of John [the Baptizer] and some men who belonged to the Pharisee [sect] used to abstain from food [to show that they wanted to please God]. One day, some people came [to Jesus] and asked him [critically], “The disciples of John and the Pharisees (fast/abstain from food) [from time to time], but your disciples do not. [We think they should abstain from food also. What do you say about that] [RHQ]?”
Basi wanafunzi wa Yohana pamoja na Mafarisayo walikuwa wakifunga. Baadhi ya watu wakamjia Yesu na kumuuliza, “Mbona wanafunzi wa Yohana na wa Mafarisayo hufunga lakini wanafunzi wako hawafungi?”
19 [Jesus wanted them to understand that it was not appropriate for his disciples to show sorrow by abstaining from food while he was still with them]. So he said to them, “When a man is marrying a woman, his friends will certainly not abstain from food while he is still with them, will they [RHQ]? No. During the time that he is with them, they will not abstain from food [because they are happy together].
Yesu akawajibu, “Wageni wa bwana arusi wawezaje kufunga wakati angali pamoja nao? Wakati bwana arusi bado yuko pamoja nao, hawawezi kufunga.
20 But some day, he will be taken away {his [enemies] will take him away} from them. Then, in those days, they will abstain from food, [because they will be sad].”
Lakini wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kwao. Siku hiyo ndipo watakapofunga.
21 [Jesus wanted to show that those who desire to live in accordance with his new message should not try to continue to obey the old religious traditions like fasting. So he also said to them], “People do not sew a patch of unshrunken cloth on an old garment [in order to mend a hole]. If they did that, [when they washed the garment, the patch would shrink] and the new [piece of cloth] would tear off more of the old cloth. As a result, the hole would become bigger!
“Hakuna mtu ashoneaye kiraka cha nguo mpya kwenye nguo iliyochakaa. Akifanya hivyo, kile kiraka kipya kitachanika kutoka ile nguo iliyochakaa, nayo itachanika zaidi.
22 [Similarly], people do not put newly [squeezed] grape juice into old skin bags [to store it]. If they did that, that juice will burst the skin bags [because they would not stretch when the wine ferments and expands]. As a result both the wine and the skin bags would be ruined! On the contrary, people must put new wine into new skin bags!” [MET]
Wala hakuna mtu awekaye divai mpya kwenye viriba vikuukuu. Akifanya hivyo, ile divai mpya itavipasua hivyo viriba, nayo hiyo divai itamwagika na viriba vitaharibika. Lakini divai mpya huwekwa kwenye viriba vipya.”
23 On one (Sabbath/Jewish day of rest) Jesus was walking through some grain fields with his disciples. As they were walking along [through the grain fields], the disciples were plucking some of the heads of grain. [They rubbed them in their hands to remove the chaff, and were eating the grain. The laws of Moses permitted people to do that if they were hungry].
Siku moja ya Sabato, Yesu pamoja na wanafunzi wake walikuwa wakipita katikati ya mashamba ya nafaka. Walipokuwa wakitembea, wanafunzi wake wakaanza kuvunja masuke.
24 [Some of] the Pharisees [saw them doing what they considered to be work. So they] said to him, “Look! (They should not be doing on our (Sabbath day/day of rest) [work] that our laws forbid!/Why are they doing on our (Sabbath day/day of rest) [work] that our laws forbid?) [RHQ]”
Mafarisayo wakamwambia, “Tazama, mbona wanafanya jambo lisilo halali kufanywa siku ya Sabato?”
25 [Jesus wanted to show them that the record in the Scriptures indicated that God permitted people to disobey certain religious laws when they needed food]. So he said to them, “[It is written in the Scriptures] what [our revered ancestor, King] David, did when he needed food, and both he and the men with him were hungry. You have read about that, but ([you do not think about what it implies./why do you not think about what it implies]?) [RHQ]
Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma kamwe alivyofanya Daudi wakati yeye na wenzake walikuwa na njaa, wakahitaji chakula?
26 During the time Abiathar was high priest, David entered the big tent [where people worshipped] God [and asked for some bread. The high priest gave him some] of the loaves of bread. That bread was the bread he had presented to God. It was permitted in one of Moses’ laws that only the priests could eat that bread! But David ate some of it. Then he also gave some of it to the men who were with him. [But God did not consider that was wrong!]”
Daudi aliingia katika nyumba ya Mungu, wakati Abiathari alikuwa kuhani mkuu, akaila ile mikate iliyowekwa wakfu, ambayo ni halali kuliwa na makuhani peke yao. Naye pia akawapa wenzake.”
27 Jesus said to them further, “[God] established (the day of rest/the Sabbath day) [to help] people! He did not create people to [obey rules about] (the Sabbath/the day of rest)!
Kisha Yesu akawaambia, “Sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, lakini si mwanadamu kwa ajili ya Sabato.
28 And [think about this]: I am the one who came from heaven. So I have the authority [to determine what is right for my disciples to do] (on the Sabbath/on the Jewish rest day)!”
Hivyo, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”