< Luke 18 >

1 [Jesus] told [his disciples] a parable to teach them that they always ought to pray confidently and not be discouraged [if God does not immediately answer their prayers].
Kisha akawaambia mfano wa namna wanavyopaswa kuomba daima, na wasikate tamaa.
2 He said, “In a certain city there was a judge who did not revere God, and did not care about people, either.
akaisema, 'Kulikuwa na hakimu katika mji fulani, ambaye hakuwa anamwogopa Mungu na hakuwaheshimu watu.
3 There was a widow in that city who kept coming to him, saying, ‘Please decide what is just [in the dispute between me and] the man who is opposing me [in court!’]
Kulikuwa na mjane katika jiji hilo, naye alimwendea mara nyingi, akisema, 'Nisaidie kupata haki dhidi ya mpinzani wangu.'
4 For a long time the judge refused [to help her]. But later he thought to himself, ‘I do not revere God and I do not care about people,
Kwa muda mrefu hakuwa tayari kumsaidia, lakini baada ya muda akasema moyoni mwake, `Ingawa mimi simwogopi Mungu au kuheshimu mtu,
5 but this widow keeps bothering me! So I will make sure that she is treated justly. [If I do not do that], she will exhaust me by continually coming to me!’”
lakini kwa vile huyu mjane ananisumbua nitamsaidia kupata haki yake, ili asije akanichosha kwa kunijia mara kwa mara. ''
6 Then the Lord [Jesus] said, “[Even though] the judge was not a righteous man, think carefully about what he said!
Kisha Bwana akasema, 'Sikiliza alivyosema huyo hakimu dhalimu.
7 [Similarly], (God will certainly show that [what you] have done has been right!/will God not show that [what you] have done has been right?) [RHQ] He will do this for you whom he has chosen. [He will do this for you] who pray earnestly to him night and day, asking him to [help you]. He may delay [helping you].
Je Mungu pia hataleta haki kwa wateule wake ambao wanamlilia mchana na usiku? Je, yeye hatakuwa mvumilivu kwao?
8 But I tell you, [some day] he will show that what you did was right, and he will do it quickly. But when [I], the one who came from heaven, return to earth, (there may not be [many people who will still] be trusting [that I will vindicate them] (OR, who will still be trusting in me)./will there be [many people who will still] be trusting [that I will vindicate them] (OR, who will still be trusting in me)?) [RHQ]”
Nawaambia kwamba ataleta haki kwao upesi. Lakini wakati Mwana wa Adamu atakapokuja, je, atakuta imani duniani? '
9 [Jesus] also told a parable [to warn] people who mistakenly thought that they were doing things that made them acceptable to God. Besides, they also despised other people.
Ndipo akawaambia mfano huu kwa baadhi ya watu ambao wanajiona wenyewe kuwa wenye haki na kuwadharau watu wengine,
10 [He said this]: “Two men went up to the Temple [in Jerusalem] to pray. One was a Pharisee. The other was a tax collector.
'Watu wawili walipanda kwenda hekaluni kusali: mmoja Mfarisayo mwingine mtoza ushuru.
11 The Pharisee stood and prayed silently, ‘God, I thank you that I am not like other men. [Some] extort money [from others]; some treat others unjustly; some commit adultery. [I do not do such things. And I am certainly not] like this tax collector [who cheats people]!
Farisayo akasimama akaomba mambo haya juu yake mwenyewe, 'Mungu, nakushukuru kwa vile mimi si kama watu wengine ambao ni wanyang'anyi, watu wasio waadilifu, wazinzi, au kama huyu mtoza ushuru.
12 [Our law says that we(exc) should] (fast/abstain from food) [once a week], [but I do more than that. I] fast twice a week! I give [you] ten percent of all that I earn!’
Nafunga mara mbili kila wiki. Natoa zaka katika mapato yote ninayopata. '
13 But the tax collector stood far [from the other people in the Temple courtyard because he felt very unworthy]. He would not even look up toward heaven. Instead, he beat on his chest [to show that he was sorry for his sin]. He said, ‘God, I am a sinner; be merciful to me [and forgive me]!’”
Lakini yule mtoza ushuru, alisimama mbali, bila hakuweza hata kuinua macho yake mbinguni, akagonga kifua chake akisema, 'Mungu, nirehemu mimi mwenye dhambi.'
14 [Then Jesus said], “I tell you [(pl)] that as the tax collector went home, the record of his sins was erased {[God] erased the record of his sins}, not that of the Pharisee. [Remember this]: Those who exalt themselves will be humbled {[God] will humble all those who exalt themselves}, but those who humble themselves will be exalted {[he] will exalt those who humble themselves}.”
Nawaambia, mtu huyu alirudi nyumbani akiwa amehesabiwa haki kuliko yule mwingine, kwa sababu kila ajikwezaye atashushwa, lakini kila mtu anayejinyenyekeza atainuliwa. '
15 [One day when many people were coming to Jesus], they were also bringing small children. They wanted him to put his hands on [the children and bless them]. When the disciples saw that, they rebuked [those who were bringing those children].
Watu walimletea watoto wao wachanga, ili aweze kuwagusa, lakini wanafunzi wake walipoona hayo, wakawazuia.
16 But Jesus called the children [to come to him]. He said to his disciples, “Let the children come to me! Do not stop them! It is people who are [humble and trusting] like they are who can experience God ruling [their lives].
Lakini Yesu akawaita kwake akisema, 'Waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie. Maana ufalme wa Mungu ni wa watu kama hao.
17 Note this: Those who do not [trust God and] allow him to direct [their lives], as children [do], will not enter the [MET] place where God rules.”
Amin, nawaambia, mtu yeyote asiyeupokea ufalme wa Mungu kama mtoto ni dhahiri hatauingia. '
18 A [Jewish] leader asked [Jesus], “Good teacher, what shall I do in order to have eternal life?” (aiōnios g166)
Mtawala mmoja akamwuliza, akisema, 'Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?' (aiōnios g166)
19 Jesus said to him, “Only God is good! No one [else] is good! (So you(sg) should consider carefully what [you are implying by] calling me good!/[Do you realize that you are implying that I am God by] calling me good?) [RHQ]
Yesu akamwambia, 'Kwa nini unaniita mwema? Hakuna mtu aliye mwema, ila Mungu peke yake.
20 [But to answer your question], you [(sg)] know the commandments that [God gave Moses. He commanded such things as] ‘do not commit adultery, do not commit murder, do not steal, do not testify falsely [about what you have seen or heard], honor your father and mother.’”
Unazijua amri- usizini, usiue, Usiibe, usishuhudie uongo, waheshimu baba yako na mama yako.
21 The man said, “I have obeyed all those [commandments] ever since I was young. [So] ([there must be something else I have not done./is that enough]?)”
Yule mtawala akasema, 'Mambo haya yote nimeyashika tangu nilipokuwa kijana.'
22 When Jesus heard [him say] that, he replied to him, “There is one thing that you [(sg)] have not [done] yet. Sell all that you own. Then give [the money] to poor people. [The result will be that] you will have [spiritual] riches in heaven. Then come and be my disciple!”
Yesu alipoyasikia hayo akamwambia, '“Umepungukiwa jambo moja. Lazima uuze vyote ulivyonavyo na uwagawie maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni -kisha njoo, unifuate. '
23 The man became sad when he heard that, because he was very rich [and he did not want to give everything away].
Lakini tajiri aliposikia hayo, alihuzunika sana, kwa sababu alikuwa tajiri sana.
24 Jesus looked at the man [as he left], and said, “It is very difficult for those who are wealthy [to decide] to let God rule [MET] their [lives].
Kisha Yesu, akamwona alivyohuzunika sana akasema, 'Jinsi gani itakavyokuwa vigumu kwa matajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu!
25 [You would say] that it is impossible for a camel to go through the eye of a needle. It is [almost] as difficult [HYP] for rich people [to decide] to let God rule their [lives].”
Maana ni rahisi sana kwa ngamia kupita katika tundu la sindano, kuliko kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu. '
26 [The Jews thought that God favored rich people, so they thought that if God did not save rich people, he would not save others, either]. So [one of the disciples] who heard him say that replied, “If that is so, it seems that no one will be saved {[that God] will not save anyone} [RHQ]!”
Wale waliosikia hayo, wakasema, 'Nani basi, atakayeweza kuokolewa?'
27 But Jesus said, “It is impossible for people [to save themselves]. But [God can save them, because] God can do anything!”
Yesu akajibu, 'Mambo yasiyowezekana kwa mwanadamu kwa Mungu yanawezekana.”
28 Then Peter said, “[You know that we(exc) have left] everything we had and have become your disciples [RHQ]. [So what about us?] (OR, [So will God accept/save us?]”)
Petro akasema, 'Naam, sisi tumeacha kila kitu na tumekufuata wewe. '
29 He said to them, “Keep this in mind: Those who have left [their] homes, [their] wives, [their] brothers, [their] parents, [their] children, [or any other family members], [to tell others] about how God wants to rule [MET] [people’s lives],
Kisha Yesu akawaambia, Amin, nawaambia kwamba hakuna mtu aliyeacha nyumba, au mke, au ndugu, au wazazi au watoto, kwa ajili ya Ufalme wa Mungu,
30 will receive in this life many times as much [as they left]. And in the future age they will (live eternally [with God]/ have eternal life).” (aiōn g165, aiōnios g166)
ambaye hatapokea mengi zaidi katika ulimwengu huu, na katika ulimwengu ujao, uzima wa milele. ' (aiōn g165, aiōnios g166)
31 [Jesus] took the twelve [disciples] to a place by themselves and said to them, “Listen carefully! We [(inc)] are [now] going up to Jerusalem. [While we are there], everything that has been written by the prophets {that the prophets have written} about [me], the one who came from heaven, will be fulfilled {will occur}.
Baada ya kuwakusanya wale kumi na wawibili, akawaambia, 'Tazama, tunapanda kwenda Yerusalemu, na mambo yote ambayo yameandikwa na manabii kuhusu Mwana wa Adamu yatakamilishwa.
32 I will be put into the hands of {[My enemies] will hand me over to} non-Jews. [The non-Jews] will make fun of me and mistreat me and spit on me.
Kwa maana atatiwa mikononi mwa watu wa Mataifa na atatendewa dhihaka na jeuri, na kutemewa mate.
33 They will whip me, and [then] they will kill me. But on the third day [after that] I will become alive again.”
Baada ya kumchapa viboko watamwua na siku ya tatu atafufuka. '
34 But [the disciples] did not understand any of those things that [he said]. They were prevented {[Something] prevented them} from understanding the meaning of what [he] was telling [them].
Hawakuelewa mambo haya, na neno hili lilikuwa limefichwa kwao, na hawakuelewa mambo yaliyosemwa.
35 As [Jesus and his disciples] came near to Jericho [city], a blind man was sitting beside the road. [He was] begging [for money].
Ikawa Yesu ulipokaribia Yeriko, mtu mmoja kipofu alikuwa ameketi kando ya barabara akiomba msaada,
36 When he heard the crowd [of people] passing by, he asked someone, “What is happening?”
aliposikia umati wa watu ukipita aliuliza nini kinatokea.
37 They told him, “Jesus, [the man] from Nazareth [town], is passing by.”
Wakamwambia kwamba Yesu wa Nazareti anapita.
38 He shouted, “Jesus, [you who are] descended from [King] David, [the Messiah], pity me!”
Hivyo yule kipofu akalia kwa sauti, akisema, 'Yesu, Mwana wa Daudi, unirehemu.'
39 Those who were [walking] at the front [of the crowd] scolded the man [and] told him to be quiet. But he shouted more loudly, “You who are descended from [King] David, [the Messiah], pity me!”
wale waliokuwa wakitembea walimkemea huyo kipofu, wakamwambia anyamaze. Lakini yeye akazidi kulia kwa sauti, 'Mwana wa Daudi, unirehemu.
40 Jesus stopped and told [people] to bring the man to him. When [the blind man] came near, Jesus asked him,
Yesu akasimama akaamuru mtu yule aletwe kwake. Kisha yule kipofu alipomkaribia, Yesu akamwuliza,
41 “What do you [(sg)] want me to do for you?” He replied, “Lord, enable me to see [again]!”
'Unataka nikufanyie nini?' Akasema, 'Bwana, nataka kuona.'
42 Jesus said to him, “[Then] see! Because you have trusted [PRS] [in me], [I] have healed you!”
Yesu akamwambia, 'Upate kuona. Imani yako imekuponya. '
43 Immediately he was able to see! And he went with [Jesus], praising God. And when all the people who were [going with Jesus] saw it, they also praised God.
Mara hiyo akapata kuona, akamfuata Yesu akimtukuza Mungu. Walipoona hili, watu wote wakamsifu Mungu.

< Luke 18 >