< Leviticus 7 >
1 “These are the regulations concerning the offerings to be made by people who are guilty of not giving to me the things that are required to be given to me. Those are very sacred offerings.
Hii ndiyo sheria ya sadaka ya hatia. Kwa sababu hiyo ni sadaka takatifu sana.
2 Each animal that is to be offered by such people must be slaughtered in the same place where the animals that will be completely burned [on the altar] are slaughtered, and their blood must be sprinkled against all sides of the altar.
Ni lazima waichinje sadaka ya hatia mahali panapostali kuchinjwa, na ni lazima watainyunyiza damu yake pande zote za madhabahu.
3 All their fat, the fat tails that are cut close to the backbone, and all the fat that covers the inner parts of the animals or which is attached to them, must be burned [on the altar].
Mafuta yote yaliyomo ndani yake yataondolewa: mafuta ya mkiani, mafuta yaliyo sehamu za ndani,
4 That includes the kidneys with their fat near the lower back muscle, and the protruding lobe that is attached to the liver.
zile figo mbili pamoja na mafuta yaliyo juu yake, yaliyo karibu na kiuno, na yanayofunika ini—nyama hii yote lazima iondolewe pamoja na hizo figo.
5 The priest must burn them on the altar to be offerings to me, Yahweh. They are an offering for the people to be forgiven for not doing what they were required to do.
Kuhani ataviteketeza vipande hivi juu ya madhabahu viwe dhabihu iliyofanywa kwa Yahweh kwa moto. Hii ni sadaka ya hatia
6 All the males in the priest’s family are permitted to eat its meat, but it must be eaten in a sacred place, because it is very sacred.
Kila mwanaume miongoni mwa familia ya kuhani anaweza kula sehemu ya sadaka hii. Lakini ni lazima iliwe ndani ya mahali patakatifu kwa sababu ni takatifu sana.
7 “The regulation is the same for the offerings [to enable people to be forgiven for the sins they have committed] and the offerings for when they are guilty of not giving to me the things that are required to be given to me. The meat of those offerings belongs to the priest who offers them in order that the people will be forgiven.
Nayo sadaka ya dhambi ni kama ilivyo sadaka ya hatia. Ni sheria ileile hutumika kwa zote mbili. Zote ni mali ya kuhani azitumiaye kufanya upatanisho.
8 The priest who slaughters an animal that will be completely burned on the altar is permitted to keep the animal’s hide for himself.
Kuhani atoaye sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya mtu yeyote anaweza kuchuku ngozi ya sadaka hiyo kwa ajili yake mwenyewe.
9 Offerings of things made from grain that are baked in an oven or cooked in a pan or (in a shallow pan/on a griddle) belong to the priest who makes those offerings [for another person].
Kila sadaka ya nafaka inayookwa mekoni, na kila sadaka kama hiyo ipikwayo kaangoni au kwenye sufuria itakuwa ya kuhani aitoaye.
10 And offerings of things made from grain, whether they were mixed with olive oil or not, also belong to the sons of Aaron.”
Kila sadaka ya nafaka, ama iwe unga mkavu au uliochanganywa na mafuta ya zeitu itakuwa ya ukoo wa Aroni kwa usawa.
11 These are the regulations concerning the offerings that people make to maintain fellowship [with Yahweh]:
Hii ndiyo sheria ya dhabihu ya sadaka za amani, ambazo watu watazitoa kwa Yahweh.
12 “If you bring an offering to thank [Yahweh], along with [the animal that you slaughter] you must offer loaves of bread made with olive oil mixed [with the flour] but without yeast, and wafers that are made without yeast but with olive oil smeared on them, and loaves made from fine flour with olive oil well mixed with the flour.
Iwapo mtu yeyote anaitoa ili kuonyesha shukrani kwa Yahweh, basi ataitoa pamoja na dhabih uya mikate iliyotengenezwa bila hamira, bali kwa mafuta ya zeituni yaliyochanganywa na unga lakini bila hamira, na maandazi yaliyotengenezwa bila hamira, bali yaliyopakwa mafuta juu yake, na mikate miembamba iliyofanywa kwa unga laini uliochanganywa na mafuta.
13 Along with that offering to thank Yahweh, you must bring an offering of loaves made with yeast.
Kwa kusudi la kutoa shukrani, pia anapaswa kutoa pamoja na sadaka yake ya amani, vipande vya mikate iliyotiwa hamira.
14 You must bring one of each kind for an offering to Yahweh, but they belong to the priest who sprinkles against the altar the blood of the animal that is [slaughtered as an offering] to maintain fellowship with Yahweh.
Ni lazima atatoa moja kila aina ya sadaka hizi kama sadaka iliyoletwa kwa Yahweh. Nayo itakuwa ya makuhani wanaonyunyizia damu ya sadaka ya amani kwenye madhabahu.
15 The meat of that offering must be eaten on the day that it is offered; none of it should be left to [be eaten on] the next day.
Mtu anayeleta sadaka ya amani kwa kusudi la kutoa shukrani ni lazima ataila nyama ya sadaka yake siku ya kutoa dhabihu. Hatakiwi kusaza chochote kilicho cha sadaka hiyo hata asubuhi ya pili.
16 “However, if your offering is the result of a solemn promise that you made to Yahweh, or if it is an offering that you make (voluntarily/without being required to), you are permitted to eat some of the meat on the day it is offered, but anything that is left may be eaten on the next day.
Lakini iwapo dhabihu ya matoleo yake kusudi lake ni nadhiri, au kwa kusudi la sadaka ya hiari, nyama yake italiwa siku iyo hiyo aitoapo dhabihu yake, lakini chochote kinachosalia cha sadaka hiyo kinaweza kuliwa siku inayofuata.
17 But any meat that is left until the third day must be completely burned.
Hata hivyo, nyama yoyote ya dhabihu inayobaki siku ya tatu ni lazima ichomwe moto.
18 If any meat from the offering to maintain fellowship with Yahweh is eaten on the third day, Yahweh will not accept that offering; it will be useless to offer it, because Yahweh will consider that it is worthless. Anyone who eats some of it will have to pay a penalty [to Yahweh].
Iwapo kipande chochote cha nyama hiyo ya dhabihu kinachobaki kinaliwa katika siku ya tatu, hakitakubalika, wala hakitatolewa kwa aliyeitoa. Kitakuwa ni kitu cha kuchukiza, na mtu akilaye atabeba hatia ya dhambi mwenyewe yake.
19 “Meat that touches something [that God considers to be] impure must not be eaten; it must be completely burned. Anyone who has performed the rituals to become acceptable to God is allowed to eat other meat [which has been offered as a sacrifice].
Nyama yoyote inayogusa kitu kilicho najisi haitaliwa. Ni lazima ichomwe moto. Na kwa ajili ya nyama inayobaki, yeyote aliye safi anaweza kuila.
20 But if anyone who has not performed those rituals eats some of the meat of the offering to maintain fellowship with Yahweh, meat that belongs to Yahweh, he must no longer be allowed to associate with God’s people.
Hata hivyo, mtu najisi anayekula nyama kutoka kwenye dhabihu ya matoleo ya amani ambayo ni ya Yahweh yapasa mtu huyu akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.
21 If anyone touches something that God considers to be impure and very displeasing to him, whether it is from a human or from an animal, and then he eats any of the meat of the offering to maintain fellowship with Yahweh, meat that belongs to Yahweh, he must no longer be allowed to associate with God’s people.”
Iwapo mtu yeyote anagusa kitu chochote kilichonajisi—iwe ni unajisi wa binadamu, au wa mnyama aliyenajisi, au wa kitu fulani kilichonajisi na chenye kuchukiza, na kisha akala baadhi ya nyama ya dhabihu ya sadaka ya amani iliyotolewa kwa Yahweh, lazima mtu huyo akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.
22 Yahweh also said to Moses/me:
Kisha Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
23 “Say this to the Israeli people: ‘Do not eat any of the fat of cattle or sheep or goats.
“Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'hamruhusiwi kula mafuta ya fahali au kondoo au mbuzi.
24 The fat of an animal that is found dead or that has been killed by a wild animal may be used for other purposes, but you must not eat it.
Mafuta ya mnyama yoyote afaye peke yake bila ya kuwa dhabihu, au mafuta ya mnyama yeyote aliyeraruliwa na wanyama pori, yanaweza kutumika kwa makusudi mengine, lakini hakika hamtayala.
25 Anyone who eats the fat of an animal from which an offering has been made to Yahweh must no longer be allowed to associate with God’s people.
Yeyote atakayekula mafuta ya mnyama ambayo watu wanaweza kuyatoa kuwa dhabihu ya iliyofanywa kwa Yahweh kwa moto, mtu huyo lazima atakatiliwa mbali kutoka kwa watu wake.
26 And wherever you live, you must not eat the blood of any bird or animal.
Hamtakula damu yoyote katika mojawapo ya nyumba zenu, ama iwe kutoka kwa ndege au mnyama.
27 If anyone eats blood, he must no longer be allowed to associate with God’s people.’”
Yeyote alaye damu yoyote, mtu huyo lazima akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.'”
28 Yahweh also said to Moses/me,
Kwa hiyo Yahweh akazungumza na Musa na akasema,
29 “Tell the Israeli people this: ‘Anyone who brings an offering to maintain fellowship with Yahweh must bring part of it to be a sacrifice to Yahweh.
“Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'Yeye atoaye dhabidhu ya sadaka ya amani kwa Yahweh lazima alete sehemu ya dhabihu yake kwa Yahweh.
30 He himself must bring the offering that will be burned in the fire. He must bring the fat along with the breast of the animal and lift it up in front of Yahweh to indicate that it is an offering to him.
Mikono yake mwenyewe lazima iilete hiyo sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto. Naye atayaleta hayo mafuta pamoja na kidari, ili kwamba kidari kiweze kutikiswa kuwa sadaka ya kutikiswa mbele za Yahweh.
31 The Supreme Priest must burn the fat on the altar, but the breast belongs to Aaron and all his sons.
Kuhani atayachoma mafuta hayo juu ya madhabahu, lakini kile kidari kitakuwa mali ya Aroni na uzao wake.
32 You must give to the Supreme Priest the right thigh of the animal that is sacrificed to maintain fellowship with Yahweh.
Ni lazima utatoa paja la kulia kwa kuhani kama sadaka iliyotokana na dhabihu ya sadaka yako ya amani.
33 The son of Aaron who offers the blood and the fat of that sacrifice must be given the right thigh of the animal as his share.
Yule kuhani, mmoja wa wazao wa Aroni, atoaye damu na mafuta ya sadaka ya amani—ni lazima atapata paja la kulia kama mgao wake wa sadaka.
34 From the offerings that the Israeli people give to maintain fellowship with Yahweh, he has declared that he has given to Aaron and his sons the breast that is lifted up and the right thigh that is offered; those portions must always be their regular share from the Israeli people.’”
Kwa kuwa nimetwaa kidari, na paja la sadaka ya kutikiswa kutoka kwa watu wa Israeli uwe mchango wao, na amepewa Aroni kuhani na wanawe kuwa mgao wao wa kawaida.
35 Those are the portions of the offerings brought/given to Yahweh and burned in fire that are allotted to Aaron and his sons on the day that they are set apart to serve Yahweh as priests.
Huu ndiyo mgao wa Aroni na uzao wake utokanao na matoleo yaliyofanywa kwa Yahweh kwa moto, siku ile Musa alipowaweka wakfu ili kumtumikia Yahweh katika kazi ya kuhani.
36 Yahweh commands that on the day that the priests are appointed [MTY], the Israeli people must always give those portions to the priests.
Huu ndio mgao ambao Yahweh aliamru waweze kupewa kutoka kwa watu wa Israeli, katika siku hiyo aliyowatia mafuta ya upako wawe makuhani. Nao utakuwa mgao wao wa kila siku katika vizazi vyote.
37 Those are the regulations for the offerings that are to be completely burned on the altar, the offerings made from grain, the offerings to enable people to become acceptable to God again, the offerings for when people are guilty of not giving to Yahweh the things that are required to be given to him, the offerings given when the priests are appointed, and the offerings to maintain fellowship with Yahweh.
Hii ndiyo sheria ya sadaka ya kuteketezwa, ya sadaka ya nafaka, ya sadaka ya dhambi, ya sadaka ya hatia, ya sadaka ya kuweka wakfu, na ya dhabihu, ya sadaka za amani,
38 They are regulations that Yahweh gave to Moses/me on Sinai Mountain in the Sinai Desert, on the day that he commanded the Israeli people to start bringing their offerings to him.
ni sheria ambazo Yahweh alizitoa kwa Musa kwenye Mlima Sinai siku aliyowaamru watu wa Israeli kutoa dhabihu zao kwa Yahweh katika jangwa la Sinai.'”