< Leviticus 11 >

1 Yahweh said to Aaron and Moses/me,
Yahweh akazungumza na Musa na Aroni, akasema,
2 “Tell the Israeli people that [this is what Yahweh says]: From all the animals that live on the land, these are the ones that you are permitted to eat:
“Sungumzeni na watu wa Israeli muwaambie, 'Hivi ndivyo viumbe vyenye uhai ambavyo mwaweza kula miongoni mwa wanyama walioko juu ya nchi.
3 The ones that have hooves that are completely split and that (chew their cuds/bring their food up from their stomachs to chew it again).
Mnaweza kula mnyama yeyote aliye na kwato zenye kugawanyika na ambaye pia hucheua.
4 There are some animals that chew their cuds but do not have split hooves, and some animals that have split hooves but do not chew their cuds. You must not eat any of those animals. [For example], camels chew their cuds but do not have split hooves, so they are unacceptable for you to eat.
Hata hivyo, kuna baadhi ya wanyama ambao ama hawacheui au hana kwato zilizogawanyika, nanyi msiwale hao, wanyama kama ngamia, kwa sababu yeye hucheua lakini hana kwato zilizogawanyika. Kwa hiyo ngamia ni najisi kwenu.
5 Rock badgers chew their cuds but do not have split hooves, so they are unacceptable for you to eat.
Pimbi pia: kwa sababu yeye hucheua lakini hana kwato zilizogawanyika mara mbili, huyo pia ni najisi kwenu.
6 Rabbits chew their cuds but do not have split hooves, so they are unacceptable for you to eat.
Na sungura pia: kwa sababu yeye hucheua lakini hana kwato zilizogawanyika mara mbili, huyu naye ni najisi kwenu.
7 Pigs have completely split hooves but they do not chew their cuds, so they are unacceptable for you to eat.
Na nguruwe pia: ingawaje yeye anazo kwato zilizogawanyika lakini hacheui, kwa hiyo yeye ni najisi kwenu.
8 All of those animals are unacceptable for you, so you must not eat their meat or even touch their carcasses.
Msile aina yoyote ya nyama yao, wala msiiguse mizoga yao. Hao ni najisi kwenu.
9 From all the creatures that live in the oceans and the streams, you are permitted to eat any that have fins and scales.
Nao wanyama waishio majini mnaoweza kuwala ni wale wote walio na mapezi na magamba, iwe waliomo baharini au mitoni.
10 But you must detest [and not eat] those that do not have fins and scales. That includes ones that are very small.
Lakini viumbe wote hai wasio na mapezi na magamba waliomo baharini au mitoni, pamoja na wale waendao majini na viumbe hai waliomo majini —watakuwa chukizo kwenu.
11 You must despise them, and you must not eat their meat, and you must detest their carcasses.
Kwa kuwa watakuwa chukizo, msile nyama yao, pia mizoga yao sharti itakuwa chukizo.
12 You must detest everything that lives in the water that does not have fins and scales.
Chochote kisichokuwa na mapezi au magamba kilichomo majini ni lazima kiwe chukizo kwenu.
13 There are some birds that you must detest [and not eat]. They include eagles, bearded vultures, black vultures,
Nao ndege mtakaowachukia na msiopaswa kuwala ni hawa wafuatao: tai, furukombe, kipungu,
14 kites, any kind of falcon/buzzard,
mwewe mwekundu, aina yoyote ya kipanga,
15 any kind of raven,
kila aina ya kunguru,
16 horned owls, screech owls, seagulls, any kind of hawk,
kiruka-njia, kipasuasanda, Shakwe, na aina yoyote ya mwewe.
17 small owls, cormorants, large owls,
Ni lazima pia bundi mdogo na bundi mkubwa muwaone kuwa chukizo, mnandi,
18 white owls, desert owls, vultures that eat dead animals,
bundi mweupe na mwari,
19 storks, any kind of heron, hoopoes, and bats.
korongo na ina zote za koikoi, huduhudi na popo pia.
20 You must detest [and not eat] flying insects that [sometimes] walk on the ground [MTY].
Wadudu wote wenye mabawa wanatembea kwa miguu minne kwenu ni machukizo.
21 But you are permitted to eat creatures with wings that sometimes walk on the ground if they have jointed legs for hopping around.
Lakini manaweza kula wadudu wenye mabawa wanaotembea kwa miguu minne ya kurukia ardhini yenye vifundo.
22 They include locusts, crickets, and grasshoppers.
Na manaweza kula kula aina zote za nzige, senene, parare, au panzi.
23 But you must detest [and not eat] other insects with wings that have four legs.
Lakini wadudu wote warukao wenye miguu minne ni chulkizo kwenu.
24 ‘There are certain creatures that if you touch their carcasses you will become defiled. Anyone who touches their carcasses must not touch other people until that evening.
Nanyi mtakuwa najisi hata jioni kutokana na wanyama hawa endapo mtagusa mizogo yao.
25 Anyone who picks up one of their carcasses must wash his clothes and not touch other people until that evening.
Na yeyote atakayeokota mojawapo wa mizoga yao ni lazima atazifua ngua zake naye atakuwa najisi hata jioni.
26 ‘The animals whose carcasses you must not touch are those that have hooves that are not completely divided or animals that do not chew their cuds. Anyone who touches the carcasses of any of those animals becomes (defiled/unacceptable to me).
Mnyama yeyote ambaye anazo kwato ziliachana ambazo hazikugawanyika kabisa au hacheui huyo ni najisi kwenu. Yeyote awagusaye atakuwa najisi.
27 From all the animals that walk on the ground, you must not touch the carcasses of those that have paws to walk on. Anyone who touches one of their carcasses must not touch other people until that evening.
Mnyama yeyote anayetembea kwa vitanga vyake miongoni mwa wanyama waendao kwa miguu yote minne ni najisi kwenu. Yeyote agusaye mzoga kama huo atakuwa najisi hata jioni.
28 Anyone who picks up one of their carcasses must wash his clothes and not touch other people until that evening, because touching their carcasses (defiles you/causes you to become unacceptable to me).
Na yeyote aokotaye mzoga kama huo ni zazima atazifua nguo zake na kuwa najisi hata jioni. Wanyama hawa watakuwa najisi kwenu.
29 ‘From all the animals that walk on the ground, these are the ones that (defile you/cause you to become unacceptable to me) [if you touch them]: Moles, rats, any kind of lizard,
Kuhusiana na wanyama wataambaao juu ya ardhi, hawa ndiyo walio najisi kwenu: kicheche, panya, aina zote za mijusi mikubwa, guruguru,
30 geckos, skinks, and chameleons.
kenge, mijusi ya ukutani, goromoe, na kinyonga.
31 Those creatures that scurry across the ground (defile you/cause you to become unacceptable to me); anyone who touches one of their carcasses must not touch other people until the evening.
Wanyama hawa wote ambao hutambaa, hawa ndiyo watakuwa najisi kwenu. Yeyote awagusaye atakuwa njisi hata jioni.
32 When one of those creatures dies and falls on something, the thing that it falls on, whatever it is used for, will become (defiled/unacceptable to me), whether it is made of wood or cloth or the hide of some animal or from rough cloth. You must put it in water. Then you must not use it until that evening.
Na iwapo mmoja wao anakufa na kuanguka juu ya chombo, chombo hicho kitakuwa najisi, ama kiwe kimetengenezwa kwa mbao, nguo, ngozi, au gunia. Kiwe chombo cha namna gani na kiwe kwa matumizi gani, ni lazima kitalowekwa katika maji nacho kitakuwa najisi hata jio. Kisha kitakuwa safi.
33 If one of them falls into a clay pot, everything in it becomes defiled, and you must break that pot into pieces.
Kwa hiyo kila chungu ambacho mnyama najisi atakiangukia juu yake au ndani yake, chochote kilichomo kwenye chungu hicho kitakuwa najisi, na ni lazima mtakivunja chungu hicho.
34 If you pour water from that pot on any food, you must not eat that food. And you must not drink any water from that pot.
Vyakula vyote ambavyo ni safi na kilichuhusiwa kuliwa, lakini kikaingiwa na maji kutoka kwenye chungu najisi kilichoanguka, nacho kitakuwa najisi.
35 Anything that one of the carcasses of those creatures falls on becomes (defiled/unacceptable to me); even if it falls on an oven or a cooking pot, anything that it falls on must be broken into pieces. It becomes unacceptable to me and you must not use it again.
Na kitu chochote kinachoweza kunywewa kutoka kwenye chungu kama hicho kitakuwa najisi. Kila kitu kitakachoangukiwa juu yake na kipande cha mzoga wa mnyama najisi nacho kitakuwa najisi, ama liwe ni jiko au vyungu vya kupikia. Ni najisi na ni lazima kiwe najisi kwenu.
36 If one of their carcasses falls into a spring or a pit for storing water, the water may still be drunk, but anyone who touches one of those carcasses becomes unacceptable to me.
Chemchemi au kisima cha maji ya kunywa yanapokusanyika patabaki kuwa safi iwapo kiumbe najisi kama hicho kitaangukia humo. Lakini ikiwa yeyote anaugusa mzoga wa mnyama aliye najisi uliomo ndani ya maji, yeye atakuwa najisi.
37 If one of those carcasses falls on seeds that are to be planted, those seeds are still acceptable to be planted.
Iwapo sehehemu yoyote ya mzoga wa mnyama aliyenajisi inaangukia juu ya mbegu zozote zilizo kwa ajili ya kupanda. Mbegu hizo zitakuwa bado zingali safi.
38 But if water has been put on the seeds and then a carcass falls on them, the seeds must be thrown away.
Lakini kama maji yanawekwa juu ya mbegu, na kama sehemu ya mzoga unaangukia juu yake, nazo zitakuwa najisi kwenu.
39 ‘If an animal [whose meat] you are permitted to eat dies, anyone who touches its carcass must not touch other people until that evening.
Iwapo mnyama yeyote awezaye kuliwa anakufa, naye yeyote amgusaye atakuwa najisi hata jioni.
40 Anyone who eats some meat from that carcass must wash his clothes, and then he must not touch anyone until that evening.
Na yeyote alaye chochote cha mzoga huo atalazimika kufua nguo zake naye atakuwa anjisi hata jioni. Na yeyote aokotaye mzoga kama huo atafua nguo zake na kuwa najisi hata jioni.
41 ‘All creatures that scurry across the ground, including those that move on their bellies and those that crawl, are detestable, and they must not be eaten.
Kila mnyama atambaaye juu ya ardhi atakuwa chukizo; hatakuwa wa kuliwa.
Chochote kitambaacho kwa kujivuta juu ya tumbo lake, na chochote kitembeacho kwa miguu yake yote minne, au chochote kilicho na miguu mingi—wanyama wote ambao hutambaa juu ya nchi, hawa msiwale, kwa sababu watakuwa machukizo.
43 Do not (defile yourselves/cause you to become unacceptable to me) by [eating] any of those creatures [DOU].
Msijinajisi wenyewe kwa kiumbe chochote nnajisi kitaambacho; msijinasi wenyewe kwavyo, ili kwamba msije mkachafuliwa navyo.
44 I am Yahweh your God, and I am holy, so you must consecrate yourselves and be holy. You must avoid eating things that cause you to be unacceptable to me. Do not cause yourselves to become unacceptable to me by eating creatures that scurry across the ground.
Kwa kuwa Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu. Nanyi lazima muwe watakatifu, kwa hiyo na iweni watakatifu, kwa sababu Mimi ni mtakatifu. Haiwapasi kujichafua kwa aina yoyote ya kiendacho juu ya nchi.
45 I am Yahweh, the one who freed you from [being slaves in] Egypt, in order to be your God. Therefore, because I am holy, you must be holy.
Kwa kuwa Mimi ndimi Yahweh, aliyewaleta ninyi kutoka nchi ya Misri, ili niwe Mungu wenu. Kwa hiyo lazima muwe watakatifu, kwa kuwa Mimi ni mtakatifu.
46 'Those are the regulations concerning animals and birds, all the living creatures that live in water or scurry across the ground.
Hii ndiyo sheria kuhusu wanyama, ndege, kila kiumbe hai kiendacho majini, na ya kila kiumbe kitambaacho juu ya nchi,
47 You must learn what things [I say] are acceptable to me and what things are not, and learn what things you are permitted to eat and what things you are not permitted to eat.’”
kwa jili ya kilie kinachopaswa kutofautishwa kati ya kilicho najisi na kilicho safi, na kati ya vitu vilivyokufa na vilivyo hai ambavyo vyaweza kuliwa na vitu vyenye uihai visivyoweza kuliwa.”

< Leviticus 11 >