< Jonah 4 >

1 But Jonah was very distressed [that God had not destroyed Nineveh]. He became very angry. [The people of Nineveh were non-Jews, and Jonah did not think that God should act mercifully toward anyone who was not a Jew].
Lakini hili lilimchukiza Yona naye akakasirika.
2 He prayed to Yahweh, “O Yahweh, what you have done is what I thought that you would do, before I left home [RHQ]. That is why I [decided] immediately to run away, and go to Tarshish [city], because I knew that you, O God, act very kindly and compassionately [toward all people]. You do not quickly become angry with people who do evil things. You love people very much, and you change your mind about punishing [people who sin].
Basi Yona akamwomba Bwana akasema, “Ee, Bwana, hiya sio yale niliyosema wakati niliporudi katika nchi yangu? Ndiyo maana nilifanya haraka na kujaribu kukimbia Tarshishi-kwa sababu nilijua kuwa wewe ni Mungu mwenye neema, mwenye huruma, si meingi wa hasira, mwingi kwa uaminifu, na hughairi maafa.
3 [So] now, O Yahweh, [since you will not destroy Nineveh city as you said you would], allow me to die, because it would be better for me to die than to [continue to] live.”
Kwa hiyo sasa, Bwana, nakuomba, uniondoe uhai wangu, kwa maana ni bora kwangu kufa kuliko kuishi.”
4 Yahweh replied, “(Why is it right for you to be angry [about my not destroying the city]?/It is not right for you to be angry [about my not destroying the city]!) [RHQ]”
Bwana akasema, Je, ni vema kwamba umekasirika?”
5 Jonah [did not reply]. He went out of the city to the east [side of it]. He made a small shelter in order that he could sit under it and be protected from the sun. He sat under the shelter and waited to see what would happen to the city.
Kisha Yona akaondoka mjini akaketi upande wa mashariki wa jiji. Huko alifanya makao na akaketi chini yake katika kivuli ili aweze kuona mji utakuwaje.
6 Then Yahweh God caused a vine to grow up [immediately] to shade Jonah’s head from the sun and make him [feel] more comfortable. Jonah was very happy about [having] the vine [over his head].
Bwana Mungu aliandaa mmea na kuukuza juu ya Yona ili uwe kivuli juu ya kichwa chake ili kupunguza dhiki yake. Yona alikuwa na furaha kubwa kwa sababu ya mmea.
7 But before dawn the next day, God sent a worm that chewed the vine, with the result that the vine withered.
Lakini Mungu aliandaa mdudu kulipopambazuka asubuhi iliyofuata. Alishambulia mmea na mmea ukapooza.
8 Then, when the sun rose [high in the sky], God sent a very hot wind from the east, and the sun shone very strongly on Jonah’s head, with the result that he felt faint. He wanted to die, and he said, “It would be better for me to die than to [continue to] live!”
Ikawa wakati jua lilipochomoza asubuhi, Mungu aliandaa upepo mkali wa mashariki. Pia, jua lilipiga kichwa cha Yona na akaanguka. Kisha Yona alitamani kufa. Akajiambia, “Ni bora kwangu kufa kuliko kuishi.”
9 But God asked Jonah, “Is it right for you to be angry about [what happened to] the vine?” Jonah replied, “[Yes], it is right! [Now] I am very angry and I want to die!”
Kisha Mungu akamwambia Yona, “Je, ni vema wewe kuwa na hasira juu ya mmea?” Yona akasema, Ni vyema kuwa nimekasirika hata kufa.
10 But Yahweh said [to him], “You have been concerned about my [causing] that vine [to wither], even though you did not take care of it, and you did not make it grow. It just grew up during one night, and it completely withered [at the end of] the next night.
Bwana akasema, Umeuhurumia mmea, ambao haukuufanyia kazi wala haukukua. Uliomea katika usiku na kufa usiku.
11 But there are more than 120,000 people in Nineveh who [are very young, and because of that], they cannot tell which is their right hand and which is their left hand, and there are also many cattle, [and none of these have done anything to displease me]. So (is it not right for me to be concerned about the people of that huge city, [and not want to destroy them]?/it is certainly right for me to be concerned about the people of that huge city [and not want to destroy them]!) [RHQ]”
Kwa hiyo mimi, haikunipassa kuuhurumia Ninawi, mji mkuu, ambalo kuna watu zaidi ya mia na ishirini elfu ambao hawajui tofauti kati ya mkono wao wa kulia na mkono wao wa kushoto, na pia ng'ombe wengi?

< Jonah 4 >