< Job 17 >
1 “My (life/time to live) is almost ended; I have no strength left; my grave is waiting for me.
Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
2 Those who are around me are making fun of me; I [SYN] watch them while they (taunt/make fun of) me.”
Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
3 “God, [it is as though I am in prison; ] please pay the money in order that I may be released, because there is certainly no one else who will help me.
Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
4 You have prevented my friends from understanding [what is true about me]; do not allow them to triumph over me, [saying that I have done things that are wrong].
Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
5 [Our ancestors often said, ‘It often happens that] when someone betrays his friends in order to get some of their property, it is that person’s children who will be punished for it;’ [so I desire/hope that will be true of these friends of mine who are lying about me].
Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
6 “But now people use that saying of our ancestors when they talk about me; they spit in my face [to insult me].
Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
7 (My sight has become dim/I cannot see well) because I am extremely sad, and my arms and legs are [very thin, with the result that they almost do not cast] [MET] a shadow.
Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
8 Those who [say that they] are good/righteous are shocked [when they see what has happened to me], and people who [say that they] (are innocent/have not done anything that is wrong) say that I am wicked/godless and should be punished.
Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
9 Those who [claim that they] are righteous will continue to do what [they think] is right, and those [who say] they have not sinned will continue to become stronger.
Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
10 “But even if all of those people came [and stood in front of me], I would not find anyone among them who is wise.
Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
11 My (life/time to live) is almost ended; I have not been able to do the things that I confidently expected to do; [I have not been able to accomplish] anything that I [SYN] desired.
Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
12 My friends do not know when it is night and when it is day; when it is night, they claim that it is daylight; when it is becoming dark, they claim it is becoming light.
Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
13 If my home will be the place where dead people are, where will I sleep in the darkness? (Sheol )
Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol )
14 I may say to the grave, ‘You will be [like] a father to me,’ and say to the maggots [that will eat my body], ‘You will be [like] a mother or younger sisters to me [because you will be where I will always be].’
tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
15 But if I say those things, (will there be anything good that I can confidently expect to happen to me?/there will be nothing good that I can confidently expect to happen to me.) [RHQ] (Is there anyone who knows anything good that I can expect when I am in the grave?/No one knows anything good that I can expect when I am in the grave.) [RHQ]
liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
16 After I descend to the place where the dead are, (will I be able to confidently expect anything good there?/I certainly will not be able to confidently expect anything good there.) [RHQ] [It will be as though] [RHQ] I and the things I hope for will descend with me into the dust [where the dead are].” (Sheol )
Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol )