< Job 16 >

1 Job replied [to Eliphaz and the others: ]
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 “I have heard things like that before; all of you, [instead of helping me, ] are only causing me to feel more miserable.
“Mimi nimevisikia vitu hivyo vingi; ninyi nyote ni wafariji wenye kuhuzunisha.
3 Will your speeches, which are only hot air, never end [RHQ]? Eliphaz, what bothers/irritates you so much that you continue replying to me?
Maneno yenye upuuzi daima yanaweza kuwa na mwisho? Nini kimeharibika kwenu kwamba mnajibu kama hivi?
4 If it were you [three and not I] who were suffering, I could say the things that you are saying; I could make great speeches [to criticize/condemn you], and I could shake my head at you [to ridicule you].
Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi mnavyofanya, kama ninyi mngekuwa katika nafasi yangu; Mimi ningekusanya na kuunganisha maneno pamoja dhidi yenu na kutikisa kichwa changu kwenu ninyi katika dhihaka.
5 But, [unlike all of you, ] with what I said [MTY] I would encourage you and try to cause your pain to be less.
Laiti, jinsi gani Mimi ningewatia moyo na midomo yangu! Jinsi gani faraja kutoka midomo yangu ingenga'risha huzuni yenu!
6 “But now, if I talk, my pain does not decrease, and if I am silent, my pain still certainly does not [RHQ] go away.
Ikiwa Mimi ninazungumza, kuomboleza kwangu hakujasikilizwa; Ikiwa nikiendelea katika kuzungumza, jinsi gani mimi ninaidiwa?
7 God has now taken away all my strength, and he has destroyed my family.
Lakini sasa, Mungu,
8 He has shriveled me up, and people think that shows that I [am a sinner]. And people see that I am only skin and bones, and they think that proves that I [am guilty].
wewe umenifanya mimi kuchoka; wewe umeifanya familia yangu yote kuwa ukiwa. Wewe umenifanya mimi kukauka, ambayo yenyewe ni ushuhuda dhidi yangu mimi; kukonda kwa mwili wangu huinuka dhidi yangu, na kunashuhudia dhidi ya macho yangu.
9 Because God is very angry with me and hates me, [it is as though he is a wild animal that] [MET] has gnashed his teeth at me because he is my enemy.
Mungu amenirarua mimi katika ghadhabu yake na amenitesa mimi; Yeye amenisaga mimi kwa meno yake; Adui yangu amenikazia macho yake juu yangu kama yeye anavyonirarua mimi vipande.
10 People gape/stare at me with their mouths open [to sneer at me]; they have struck me on the face/cheek to ridicule me, and they crowd around me to threaten me.
Watu wameachama na midomo iliyowazi juu yangu; wamenipiga mimi katika shavu kwa kunitukana; wamekusanyika pamoja kinyume changu mimi.
11 [It is as though] God has handed me over to ungodly people and turned me over to the wicked [DOU].
Mungu amenikabidhi mimi juu ya watu wasio mcha Mungu, na kunitupa mimi ndani ya mikono ya watu waovu.
12 Previously, I was living peacefully, but he crushed me; [it is as though] he grabbed my neck and smashed me to pieces. [It is as though] [MET] he set me up like a target;
Mimi nilikuwa katika wepesi, na yeye amenivunjavunja mimi vipande. Hakika, amenichukua mimi kwa shingo na ameniponda mimi vipande vipande; yeye pia ameniweka mimi juu kama shabaha yake.
13 people are surrounding me [and shooting arrows at me]. His arrows pierce my kidneys and cause the bile [from my liver] to spill onto the ground, and God does not pity me at all.
Wapiga upinde wake wote wamenizunguka mimi; Mungu huzikata vipande vipande figo zangu, na haniokoi mimi; yeye humwaga nje nyongo yangu juu ya ardhi.
14 [It is as though] [MET] I am a wall that he is breaking through; he rushes at me like [SIM] a soldier [attacking his enemies].
yeye hukanyaga kanyaga kupitia ukuta wangu tena na tena; yeye hukimbia juu yangu mimi kama shujaa.
15 [“Because I am mourning, ] I wear pieces of rough cloth that I have sewed together, and I sit [here] in the dirt, very depressed/discouraged.
nguo ya magunia juu ya ngozi yangu; Mimi nimeisukuma kwa nguvu pembe yangu ndani ya ardhi.
16 My face is red because I have cried very much, and there are dark circles around my eyes.
Uso wangu ni mwekundu na kuomboleza; juu ya ngozi inayofunika macho kuna kivuli cha mauti
17 [All this has happened to me] even though I have not acted violently [toward anyone], and I [always] pray sincerely/honestly [to God].
ingawa hakuna dhuluma katika mikono yangu, na kuomba kwangu ni safi.
18 [When I die, ] I want the ground [APO] to [act as though I had been murdered and] cry out against those who killed me, and I do not want anyone to stop me while I am demanding [that God act justly toward] me.
Nchi, haifuniki juu damu yangu mimi; acha kulia kwangu kuwe hakuna mahali pa kupumzika.
19 But even now, [I know that] there is someone in heaven who will testify for me, and he will say that what I have done is right.
Hata sasa, tazama, ushuhuda wangu uko mbinguni; yeye ambaye ashuhudiaye kwa ajili yangu mimi yuko juu.
20 My [three] friends scorn/ridicule me, but my eyes are full of tears [while I cry out] to God.
Rafiki zangu wananicheka kwa dharau, lakini jicho langu linamwaga machozi kwa Mungu.
21 I pray that [the] one [who knows what I have done] would come to plead with God for me like people plead for their friends.
Mimi ninaomba ule ushuhuda ulioko mbinguni kumtetea mtu huyu na Mungu kama mwanadamu afanyavyo na jirani yake.
22 [I say this because] within a few years [I will die]; I will walk along the [to the grave] from which I will never return.”
Kwa maana wakati miaka michache itakapokuwa imepita, Mimi nitakwenda mahali ambapo mimi sitaweza kurudi.

< Job 16 >