< Jeremiah 45 >

1 After Jehoiakim the son of King Josiah had been ruling Judah for almost four years, [I, ] Baruch, wrote down [all] the messages that the prophet Jeremiah had dictated to me. Then Jeremiah gave me a message. He said,
Hili ndilo nabii Yeremia alilomwambia Baruku mwana wa Neria katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, baada ya Baruku kuandika katika kitabu maneno ambayo yalitoka kinywani mwa Yeremia wakati ule:
2 “Baruch, Yahweh, the God whom [we] Israelis [worship], has a message for you.
“Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, akuambialo wewe Baruku:
3 You have said, ‘Terrible things [are happening] to me! I have endured much pain already. And now Yahweh is causing me to be very sad, in addition to my having pain. I am exhausted from my (groaning/being sad), and I am unable to rest!’
Ulisema, ‘Ole wangu! Bwana ameongeza huzuni juu ya maumivu yangu, nimechoka kwa kulia kwa uchungu wala sipati pumziko.’”
4 But [Baruch], this is what Yahweh says: ‘I will destroy this nation that I established. [This nation is like a tree] [MET] that I planted and that I will now pull up with its roots.
Bwana akasema, “Mwambie hivi: ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Nitakibomoa kile nilichokijenga, na kungʼoa kile nilichokipanda katika nchi yote.
5 So, should you [RHQ] desire that people do things to honor you in a special way? Do not desire that. [It is true that] I will cause all these people to experience a great disaster, but wherever you go, I will protect you, and you will not be killed.’”
Je, utajitafutia mambo makubwa kwa ajili yako mwenyewe? Usiyatafute hayo. Kwa kuwa nitaleta maangamizi juu ya watu wote, asema Bwana, lakini popote utakapokwenda, nitayaokoa maisha yako.’”

< Jeremiah 45 >