< Jeremiah 34 >
1 King Nebuchadnezzar of Babylon came with the armies of all the kingdoms that he ruled, and they fought against Jerusalem and the other towns [in Judah]. At that time, Yahweh gave me this message:
Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Yahwe, wakati Nebukadreza mfalme wa Babeli, majeshi yake yote, pamoja na falme zote za dunia, maeneo yote yaliyo chini ya mamlaka yake, na watu wake wote walikuwa wanapigana vita dhidi ya Yerusalemu na miji yake yote, kusema:
2 “Go to Zedekiah the King of Judah, and say to him, ‘This is what Yahweh, the God whom we Israelis [worship], says: “I am about to enable the army of the King of Babylon to capture this city, and they will burn it down.
'Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Nenda na uzungumze kwa Sedekia mfalme wa Yuda na useme kwake, 'Yahwe asema hivi: Angalia, niko karibu kuutia mji huu mkononi mwa mfalme wa Babeli. Atauchoma moto.
3 You will not escape from them; they will capture you and take you to the king of Babylon. And [then] they will take you to Babylon.”’
Hautapona kutoka mkono wake, kwa maana kwa hakika utakamatwa na kutiwa mkononi mwake. Macho yako yatayaangalia macho ya mfalme wa Babeli; atazungumza kwako moja kwa moja ukiwa unaenda Babeli.'
4 But King Zedekiah, listen to this that Yahweh has promised: ‘You will not be killed in a battle [MTY];
Sedekia mfalme wa Yuda, sikiliza neno la Yahwe! Yahwe anasema hivi kuhusu wewe, 'Hautakufa kwa upanga.
5 you will die peacefully. [When you die], people will burn incense to honor/remember you just as they did for your ancestors who were kings before you became king. They will mourn for you, crying, “We are very sad that our king is dead!” I, Yahweh, promise that will happen.’”
Utakufa katika amani. Kama kwenye mafukizo ya babu zako, wafalme waliokuwepo kabla yako, watauchoma mwili wako. Watasema, 'Ole, bwana!” Watakuomboleza. Sasa nimesema—hili ni tangazo la Yahwe.”
6 [So] I took that message to King Zedekiah.
Kwa hiyo Yeremia nabii akatangaza kwa Sedekia mfalme wa Yuda maneno haya yote katika Yerusalemu.
7 At that time the army of Babylonia had surrounded Jerusalem and Lachish and Azekah. Those [three] cities were the only cities in Judah that had high walls around them that still had not been captured.
Jeshi la mfalme wa Babeli likafanya dhidi ya Yerusalemu na miji yote ya Yuda iliyobaki: Lakishi, na Azeka. Miji hii ya yuda ilisalia kama miji yenye maboma.
8 King Zedekiah had decreed that the people must free their slaves.
Neno lilomjia Yeremia kutoka kwa Yahwe baada ya mfalme Sedekia kufanya agano na watu wote katika Yurusalemu, ili kuwatanagazia uhuru
9 [He decreed that] the people must free their Hebrew slaves, [both the] men slaves and the women [slaves]. No one would be allowed to force a fellow Jew to [continue to] be his slave.
ya kwamba kila mtu lazima amwachie huru mtumwa wake wa Kiebrania, wote wa kiume na wa kike, kwa hiyo mtu alipaswa kutomtumikisha Myahudi, ambaye alikuwa ndugu yake.
10 The officials and the rest of the people had obeyed [what the king decreed],
Kwa hiyo watu wote na viongozi wakaingia katika agano kwamba kila mtu amwachie huru mtumwa wake wa kiume na waikke ili asiwe mtumwa tena. Walitii na kuwaweka huru.
11 but later they changed their minds. They forced the men and women whom they had freed to become their slaves again.
Lakini baada ya hapo walibadili akili zao. Wakawarudisha watumwa ambao walikuwa wamewaachia huru. Wakawalazimisha kuwa wataumwa tena.
12 [So] Yahweh gave me this message [to tell to them]:
Kwa hiyo neno la Yahwe likaja kwa Yeremia, likisema,
13 “I, Yahweh, the God whom you Israelis [say you belong to], (made an agreement with/gave this command to) your ancestors [long ago], when I rescued them from being slaves in Egypt.
“Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema hivi, 'Mimi mwenyewe nilifanya agano na babu zenu katika siku ambayo niliwatoa nje ya nchi ya Misiri, nje ya nyumba ya utumwa. Hapo ndipo niliposema,
14 I told them that they must free all their Hebrew slaves after the slaves had worked for them for six years. But your ancestors did not pay any attention to what I said.
Katika mwisho wa mwaka wa saba, kila mtu lazima amwachie ndugu yake, Mwebrania mwenzake aliyejiuza mwenyewe kwako ili kukutumikia kwa miaka sita. Mwagize aende kwa uhuru.” Lakini babu zenu hawakunisikiliza wala kutega masikio yao kwangu.
15 Recently, you obeyed my command and stopped doing what was wrong and did what was right. You made a solemn agreement at my temple [that you would free your slaves], and [then] you freed them.
Sasa ninyi wenyewe mlitubu na kuanza yaliyomema katika macho yangu. Mlitangaza uhuru, kila mtu kwa jirani yake, na mlifanya agano mbele zangu kwenye nyumba iitwayo kwa jina langu.
16 But now you have disregarded what you solemnly promised, and you have shown contempt for what I [MTY] said by taking back the women and men whom you had freed and said they could live wherever they wanted to. [Now] you have forced them to be your slaves again.
Lakini tena mmegeuka na kulichafua jina langu; mmemsababisha kila mtu kumleta tena mtumwa wake wa kiume na wa kike, wale mliowachie kwenda walikotaka. Mmewalazimisha kuwa watumwa tena.'
17 Therefore, this is what [I], Yahweh, say: ‘Because you have not obeyed me by freeing your fellow Israelis, I will free you to [be destroyed by] the swords [of your enemies] and by famines and diseases. All the nations of the earth will be horrified because of [what happens to] you.
Kwa hiyo Yahwe asema hivi, 'Ninyi wenyewe hamkunisikiliza. Mlipaswa kuwa mmetangaza uhuru, kila mmoja wenu, kwa ndugu zenu na Waisraeli wenzenu. Kwa hiyo angalia! Niko karibu kutangaza uhuru kwenu—hili ni tangazo la Yahwe—uhuru wa upanga, tauni, na njaa, kwa maana naenda kuwafanya kitu cha ajabu katika macho aya kila ufalme juu ya dunia.
18 Because you have disregarded what I said in my agreement with you, I will do to you just like you did to the calves that you cut in half to show that you would surely do what you solemnly promised that you would do. I will [enable your enemies to] cut you into pieces, you officials of Judah and you officials of Jerusalem, and you officials in the palace, and you priests and all you common people. I will do that because you have disregarded what you solemnly promised [about freeing your slaves].
Kisha nitashughulika na watu waliolivuja agano langu, ambao hawakuyashika maneno ya agano ambalo walilithibitisha mbele zangu walipomkata ng'ombe dume katika vipande viwili na kutembea katika vipande vyake,
na kisha viongozi wa Yuda na Yerusalemu, matowashi na makuhani, na watu wote wa nchi wakatembea katika vipande vya yule ng'ombe dume.
20 I will enable your enemies to capture you, and they will kill you. And your bodies will be food for vultures and wild animals.
Nitawatia katika mikono ya adui zao na katika mikono ya hao wanaoutafuta uhai wao. Miili yao itakuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama juu ya dunia.
21 I will enable the army of the king of Babylon to capture King Zedekiah and his officials. Although the king of Babylon and his army have left Jerusalem [for a short time],
Kwa hiyo nitawatia Sedekia mfalme wa Yuda na viongozi wake kwenye mikono ya adui zao na kwenye miko ya wale wanaoutafuta uhai wao na katika mikono ya majeshi ya mfalme wa Babeli ambayo yameinuka dhidi yenu.
22 I will summon them back again. [This time], they will fight against this city and capture it and burn it down. I will make [sure] that all the towns in Judah are destroyed, [with the result that] no one will live there [any more].’”
Angalia, niko karibu kutoa amari—hili ni tangazo la Yahwe—na nitawaleta tena kwenye mji huu ili wapigane dhidi yake, na kuunguza kwa moto. Kwa maana nitaigeuza miji ya Yuda kuwa sehemu za ukiwa ambamo hapatakuwa na wakaaji.”