< Isaiah 9 >
1 However, those in Judah who have been distressed/worried will not [continue to] suffer. Previously, Yahweh humbled [the people in] the land [where the tribes of] Zebulun and Naphtali [live]. But in the future he will honor [the people who live in] that Galilee region, along the road between the Jordan [River] and the [Mediterranean] Sea, where [many] foreigners live.
Viza itaondolewa kwa yeyote ambaye yuko kwenye dhiki. Katika kipindi cha awali aliifedhehesha nchi ya Zebuluni na nchi ya Naftali, lakini kipindi cha baadae ataifanya itukuke, njia ya kuelekea baharini, mbele ya Yordani na mataifa ya Galilaya.
2 [Some day, it will be as though] [MET] the people who walked in darkness will see a great light. A [great] light will shine on those who live in a land where they have great troubles/distress.
Watu wanotembeakatika giza wameona wameona mwanga mkubwa; wale waishio katika nchi ya uvuli wa mauti, mwanga umewaka juu yao.
3 [Yahweh], you will cause us people in Israel to rejoice; we will become very happy. We will rejoice about what you [have done] like [SIM] people rejoice when they harvest their crops, [or] like soldiers rejoice when they divide up among themselves the things that they have captured in a battle.
Umeliongeza taifa; umeongeza furaha yao. Wamefurahia mbele yako kama furaha ya kipindi cha mavuno, kama watu wanavyofurahi kugawanya nyara.
4 You will cause us to no longer be slaves [MET] [of those who captured us]; you will lift the heavy burdens from our shoulders. [It will be as though] you will break the rods of those who oppressed us, like you did when you destroyed [the army of] the Midian people-group.
Maana nira ya mzigo wake, boriti katika mabega yake, fimbo ya mkandamizaji, umesambaratisha ndoto kama siku ya Midiamu.
5 The boots that the enemy soldiers have worn and their clothing which has stains of blood on them will all be burned up; they will only be fuel for a [big] fire.
Kila buti likanyagalo gasia na vazi limekwisha kwenye damu itachomwa, mafuta kwa moto.
6 Another reason that we will rejoice is that a [special] child will be born for us; [a woman will give birth to] a son, who will be our ruler. And his names will be ‘Wonderful Counselor’, ‘Mighty/Powerful God’, ‘[Our] Everlasting Father’, and ‘Prince/Ruler [who enables us to have] Peace’.
Kwetu mtoto amezaliwa, kwetu mtoto ametoka; na mtawala atakuwa kwenye mabega yake; na jina lake ataitwa mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa Amani.
7 His rule, and the peace that he [brings/causes], will never end. He will rule [MTY] fairly and justly [DOU], like [his ancestor King] David did. This will happen because the Commander of the armies of angels greatly desires that it happen.
Enzi yake na amani yake haitakuwa na mwisho, maana anatawala katika kiti cha enzi cha Daudi, na juu ya ufalme wake, ataanzisha hukumu ya haki, tangu sasa na hata milele. Bidii ya Yahwenwa majeshi itafanya haya.
8 The Lord has warned the people of Israel, the descendants of Jacob; he has said that [he will punish] them.
Bwana alituma neno juu ya Yakobo, na ikaanguka juu ya Israeli,
9 And all the people in Samaria and [other places in] Israel know that, [but] they are very proud and arrogant [DOU]. They say, “Our city has been destroyed, but we will [take away the broken bricks from the ruins] [and] replace them with carefully cut stones. Our sycamore-fig trees have been cut down [by our enemies], but we will plant cedar trees [in their place].”
Watu wote watajua, Hata Samaria na wakazi wote wa Samaria, wanaongea kwa kiburi na moyo wenye kiburi,
Matofali yameanguka, lakini tutajenga tena kwa jiwe la patasi; mkuyu umekatwa chini, lakini tutaotesha mierezi katika eneo lao.
11 But Yahweh brought the armies of [Assyria], the enemies of King Rezin [of Syria, to fight] against Israel and incited [other] nations [to attack Israel].
Hivyo basi Yahwe atamwinua juu yao Rezini, adui zake, atawakoroga adui zake,
12 [The army of] Syria [came] from the east, and [the army of] Philistia [came] from the west, and they destroyed Israel [like a wild animal tears another animal apart and] [MET] devours it. But even after that happened, Yahweh was still very angry with them. He was ready to strike them with his fist again.
Waaramea upande wa mashariki, na wafilisti upande wa magharibi. Nao watamla Israeli kwa mdomo uliowazi. katika mambo yote haya hasira yake haijapungua; badala yake ameunyosha mkono wake nje.
13 [But even though] Yahweh punished his people [like that], they [still] did not return to him [and worship him]. They [still] did not request the Commander of the armies of angels [to assist them].
Lakini hawatageuka kwa yule anayewapiga wao, wala kumtafuta Yahwe wa majeshi.
14 Therefore, in one day Yahweh will get rid of [those who are like] Israel’s head and [those who are like] its tail; the [ones who are like] the top of the palm tree and the [ones who are like] the bottom.
Hivyo basi yao atakata kichwa nakiwiwili cha Israeli, kuti na nyasi, katika siku moja.
15 The leaders [DOU] of Israel are the head, and the prophets who tell lies are the tail.
Viongozi na watu wenye vyeo na manabii wanaofundisha kuwa uongo ni mkia.
16 The leaders of the people have misled them; they have caused the people that they are ruling to be confused.
Wale wanaowaongoza watu hawa wanawaongoza vibaya, na wale wanaongozwa wameangamia.
17 For that reason, Yahweh is not pleased with the young men [of Israel], and he does not [even] act mercifully toward the widows and orphans, because they are all ungodly and wicked, and they all say things that are foolish. [But] Yahweh still is angry with them; he is ready to strike them with his fist again.
Hivyo basi Bwana atafurahia juu ya vijana wadogo wala hatakuwa na huruma kwa yatima na wajane, maana kila mmoja hana Mungu na ni watenda dhambi, na kila mdomo unazungumza matendo mabaya. Mambo yote haya, hasira yake haijapungua; badala yake mkono wake umenyooka hata sasa.
18 When people do wicked things, it is like [SIM] a brushfire [that spreads rapidly]. It burns up [not only] briers and thorns; it starts a big fire in the forests from which clouds of smoke will rise.
Matendo mabaya yataungua kama moto, moto hulao mbigili na miiba; itachoma hata vichaka vya mwitu, na safu ya moshi mkubwa upaa.
19 [It is as though] the [whole] land is burned [black] because the Commander of the armies of angels is extremely angry with the Israeli people. They will become like [SIM] fuel for that great fire, and no one will try to rescue even his [own] brother [from that fire].
Japo hasira ya Yahwe wa majeshi imeunguza, na watu ni kama mafuta kwenye moto. Hakuna mtu aliyemuacha ndugu yake.
20 Israeli people will attack their neighbors on the right [to get food from them], but they will still be hungry. They will [kill those who live in houses] on the left and eat their flesh, but their stomachs will still not be full.
Watanyakuwa chakula katika mkono kulia lakini bado watasikia njaa; watakula chakula kwa mkono wa kushoto lakini hawataridhika. Kila mmoja atakula nyama ya mkono wake mwenyewe.
21 [People of the tribes of] Manasseh and Ephraim will attack each other, and [then] they will both attack the people of Judah. But even after that happens, Yahweh will still be very angry with them. He will be ready to strike them with his fist again.
Manase; kwa pamoja watavamia Yuda. Mambo yote haya, hasira yake haitapungua; badala yake, amenyoosha mkono wake hata sasa.