< Isaiah 43 >
1 But now, you people of Israel, listen to Yahweh, the one who established your nation. The one who caused you to become a nation [DOU] says this: “Do not be afraid, because I previously rescued you. I enabled you to have a personal relationship with me [MTY], and you belong to me.
Lakini sasa haya ndio Yahwe asemayo, yeye aliyekuumba ewe, Yakobo, na yeye aliyekuumba ewe, Israeli: ''Usiogope, kwa maana nimekukomboa wewe; nmeikuita kwa jina lako, wewe ni wangu.
2 When you [experience dangerous situations], and [you feel like] [MET] you are crossing deep rivers, I will be with you. When you have very big troubles/difficulties, you will [LIT] be able to endure them. When [people try to kill you like they tried to kill Daniel’s three friends by] throwing them in a fire, you will not [die, just like Daniel’s three friends were not] burned up,
Utakapopita katika maji, Nitakuwa pamoja na wewe; na katika mito, hayatakuzuru wewe. Utakapotembea katika moto hautaungua, na moto hautakuharibu wewe.
3 because I am Yahweh, your God, the Holy One of Israel, the one who rescues you. I will enable [the army of the emperor of Persia] to conquer Egypt instead of conquering you; similarly I will enable them to conquer Ethiopia, and Seba [in Arabia], in order that you can be saved.
Maana mimi Yahwe Mungu wako, Mtakatifu wa Israeli Mkombozi wenu. Nimewapa Misri kama fidia yenu, Ethiopia na Seba watabadilishana kwako.
4 I will cause other countries to be conquered, instead of your country; I will trade them for you, in order that you will not be killed, because you are very precious [DOU] to me and because I love you.
Kwa maana ulikuwa wa thamani na maalumu katika macho yangu, Ninakupenda; kwa sababu hiyo Nitatoa watu kwa ajili yako, na watu wengine kwa ajili ya maisha yako.
5 Do not be afraid, because I am with you. [Some day] I will gather your descendants from the east and from the west.
Usiogope, maana Mimi niko pamoja na wewe; Nitawarudisha watoto wako kutoka mashariki, na kuwakusanya nyie kutoka magharibi.
6 I will command the [rulers of the nations to] the north and to the south, ‘Allow all the people of Israel to return [to their country], from the most distant places on the earth.
Nitasema na kaskazini, 'Wakabidhini wao; na kwa kusini, Usiangalie ya nyuma; Leteni vijana wangu kutoka mbali na binti zangu kutoka vijiji vya mikoani katika nchi,
7 Allow all those who belong to me [MTY] to return, because I have caused them to become a nation in order that they would honor me; I am the one who has done that [DOU].’
yeyote aitwe kw jina langu, niliyemuumba kwa utukufu wangu mwenyewe, Niliyemuumba, ndio, Mimi niliyemfanya.
8 Summon the people who have eyes but [it is as though] they are blind; summon those who have ears but [because they do not listen to me, it is as though] they are deaf.
Waleteni nje watu ambao ni vipofu, hata kama wana macho, na viziwi, hata kama wana masikio.
9 Gather people of all nations together, ones from all people-groups, [and ask them this]: ‘Has any of their idols foretold the things that are happening now? And can any of them predict what will happen in the future?’ Then bring people who will testify and say ‘I heard them predict things, and what they predicted was what happened,’ [but they will be lying].”
Mataifa yote yatakusanyika kwa pamoja na watu watakusanyika. Ni nani miongoni mwenu atakaye tamka na kutangaza kutumia mambo ya mwanzo? Waache walete mashahidi kuwashuhudia wao kama wako sahihi, waache wasikilize na kuthibitisha, 'kama ni kweli'.
10 But Yahweh says, “You people of Israel (are my witnesses/know what I have done), and you are the ones who serve me. I chose you in order that you would know me, believe in me, and understand that I am the only one who is [truly] God. There is no other [true] God. There was no other [true] God previously, and there will never be another [true] God.
Ninyi ni mashahidi wangu, ametangaza Yahwe, ''na watumishi wangu niliowachagua, ili uweze kujua na kuniamini mimi, na kuelewa kwamba mimi ndiye. Kabla yangu hapana mungu mwingine aliyeumbwa, na wala hatatoke baada yangu.
11 I, [only] I, am Yahweh, and there is no other one who can save you.
Mimi, Mimi Yahwe, na hakuna Mkombozi zaidi yangu.
12 I said that I would rescue [your ancestors], and then I rescued them, and I proclaimed [that I had done it]. No foreign god among you did that! And you are witnesses that only I, Yahweh, am God.
Nimetangaza, nimeokoa, na kutangaza, na hakuna Mungu mwingine miongoni mwenu, Ninyi ni mashahidi wangu asema Yahwe, ''Mimi ni Mungu.
13 I am God, the one who has existed forever and who will exist forever; no one can snatch people from my hand, and no one can alter/change what I have done.”
Kuanzia leo na kuendelea mimi ndiye, na hakuna hata mmoja atakayewakomboa kwenye mkono wangu. Nitafanya, na nani awezae kunizuia?''
14 Yahweh, the Holy One of Israel, is the one who rescues you; and this is what he says: “For your sake, I will send [an army] to [attack] Babylon. They will force the people of that city to flee in ships which they have been proud of.
Yahwe asema hivi, Mkombozi wenu, yeye Mtakatifu wa Israeli: ''Kwa niaba yenu nimemtuma mjumbe kwenda Babeli na kuwaongoza wao wote chini kama watuhumiwa, kubadilisha kelele za furaha za watu wa Babeli' kuwa wimbo wa maombolezo.
15 I am Yahweh, your Holy One, the one who caused Israel to become a nation, and the one who is really your king.
Mimi ni Yahwe, niliye Mtakatifu, Muumbaji wa Israeli, Mfalme wenu.
16 I am Yahweh, the one who opened a path through the water, making a road through the [Red] Sea.
Yahwe asema hivi, Ni nani aliyefungua njia katika bahari, na njia katika maji yenye nguvu,
17 Then I summoned the great army [of Egypt] to come with all their chariots and horses. [But when they tried to pursue my people], I caused the waves to flow over them [and they drowned]; their lives ended [like the light of a candle ends when someone] [MET] snuffs out the wick.
ni nani anayeongoza gari na farasi, majeshi na jeshi kuu. Walianguka chini kwa pamoja; hawakunyanyuka tena; wamezimwa, kama utambi unaoungua.
18 But do not think [only] about what happened in the past, long ago [DOU].
Msifikirie hayo mambo yaliyopita, wala kuyafikiria mambo ya zamani.
19 Instead, consider the new thing that I am going to do. I have already started to do it; can you see it? I am going to make a road through the desert. And I will cause there to be streams in the wasteland/desert.
Tazama ninakaribia kufanya mambo mapya; sasa yanakaribia kutokea; Je humyajui haya? Nitafanya njia jangani na na mikondo ya maji katika jangwa
20 The jackals/wolves and owls and other wild creatures will thank me for giving them water in the desert. I will cause streams to appear in the dry desert in order that my people, the ones whom I have chosen, will have water;
Wanyama pori wa shambani wataniheshimu mimi, Mbweha na mbuni, kwa sababu ninatoa maji jangwani, na mito jangwani, ili watu wangu niliowachuga wapate kunjwa,
21 I will do that for the people whom I have created [and chosen] to belong to me, and [some day] they will cause many others to praise me.
Watu hawa niliowaumba mwenyewe, kwamba wahesabu tena sifa zangu.
22 But now, you descendants of Jacob, you refuse to request my help. It seems that you people of Israel have become tired of worshiping me.
Lakini hamjanita mimi, Yakobo; umechoka na mimi, Israeli.
23 You have not brought to me sheep or goats for offerings that will be completely burned [on the altar]; you have not honored me by [bringing to me any] sacrifices, even though the offerings of grain and incense [that I asked you] to bring to me were not a burden to you.
Haujaniletea hata kondoo wako kama sadaka ya kuteketeza; na wala haujaniheshimu mimi kwa sadaka yako Sijakutumisha wewe kwa sadaka ya mazao, wala sijawachosha kwa sadaka yenu ya ubani.
24 You have bought for me fragrant reeds, and you have brought me the fat from your sacrifices. But these have not pleased me, because you have burdened me by all the sins that you have committed, and made me weary because of all (your iniquities/the wrong things that you have done).
Hamkuninunulia mimi manukato mazuri kwa fedha, hakumwagia mimi mafuta ya sadaka zenu; Lakini mnanichosha mimi na dhambi zenu na mnanichosha mimi kwa matendo yenu mabaya.
25 I am the one who is able to forgive you for all your sins; I am the only one who can do that, with the result that I will never think about them again.
Mimi, ndio, Mimi, ndiye niliyafaye maovu yenu kwa niaba yangu mmi mwenyewe; na Sitawaita na kuwakumbusha dhambi zenu tena.
26 Tell me what I have done that you do not like. Do you think that when you state your case, you will prove that you (are innocent/have done nothing wrong) [IRO]?
Nikumbusheni mimi kilichotokea. Njooni tusemezane pamoja; leta hoja zako, ili kusudi uthibitishe kuwa hauna hatia.
27 No, [what has happened is that] the first ancestor of you Israelis sinned [against me], and since then, all your leaders have rebelled against me.
Baba yako wa kwanza alitenda dhambi, na viongozi wenu walitenda dhambi dhidi yangu.
28 That is why I have caused your priests to be disgraced; and I have allowed others to destroy you people of Israel and caused you to be despised.”
Hivyo basi Nitawatia unajisi viongozi watakatifu; Nitamkabidhi Yakobo kuwaharibu kabisa, na Israeli kulaani udhalilishaji.