< Isaiah 22 >

1 [I received] this message [from Yahweh] about Jerusalem, about the valley where [Yahweh showed me] this vision. Why is everyone foolishly running up to their [flat] rooftops?
Tamko kuhusu bonde la maono:
2 Everyone in the city [seems to] be shouting. [There are a lot of] corpses [in the city], [but they] were not killed by [their enemies’] swords. They did not die in battles; [instead, they died from diseases and hunger].
Mji wenye kelele, mji umejaa maovu; wafu hawajauwawa kwa upanga, na hawakuuwawa kwenye vita.
3 All the leaders of the city fled. [But then] they were captured because they did not have bows [and arrows to defend themselves]. Your [soldiers tried to] flee while the enemy [army] was still far away, but they also were captured.
Viongozi wenu wamekimbia pamoja, lakini wamekamatwa pasipo na upinde, wote kwa pamoja wamekamatwa na wamekamatwa pamoja; walikimbia kutoka mbali.
4 That is why I said, “Allow me to cry alone; do not try to comfort me [about my people being slaughtered].”
Hivyo basi, Msiniangalie mimi, nitalia kwa uchungu; msijaribu kunifariji kuhusiana na kuharibika kwa binti ya watu wangu.
5 The Commander of the armies of angels has [chosen] a time when there will be a great uproar, [soldiers] marching, and people being terrified in the valley [where I received this] vision. [It will be a time when our city] walls will be battered down and [the people’s] cries [for help] will be heard in the mountains.
Maana kuna siku za ghasia, akanyagaye chini, na fujo za Bwana, Yahwe wa majeshi, katika bonge la maono, kuanguka chini kwa ukuta, na watu wanalia juu ya milima.
6 The armies from Elam and Kir [in Media] will attack, driving chariots and carrying shields.
Elamu chukua podo juu, na gari la watu na farasi, na kirghizameweka ngao wazi.
7 Our beautiful valleys will be filled with [our enemies’] chariots and the men who drive the chariots will stand outside [our city] gates.
Siku hiyo ambapo mabonde ulioyachagua yatajaa magari, na farasi watachukua nafasi zao katika lango.
8 The walls that protect [the cities in] Judah will fall down. You [people of Jerusalem] will run to get the weapons [that are stored in the building called] “the Hall of the Forest”.
Atauodoa mbali ulinzi wa Yuda; na utaona siku hiyo utaona silaha katika jumba la msitu.
9 You will see that there are many breaks/holes in the walls of Jerusalem. You will store water in the lower pool [in the city].
Umeona matawi ya mji wa Daudi, jinsi mlivyowengi, na kukusanya maji katika birika la chini.
10 You will inspect the houses in Jerusalem, and [some of] them you will tear down to use the stones to repair the [city] wall.
Umehesabu nyumba za Yerusalemu, na umerarua nyumba chini kuuimarish ukuta.
11 Between the walls [of the city] you will build a reservoir to [store] water from the old pool. But you will never request help from the one who made the city; you have never depended on Yahweh, who planned this city long ago.
Na umefanya hifadhi katika ya kuta mbili maana maji ya birika la zamani. Maana haukuwahusisha walioujenga mji, walioupanga mji kutoka zamani.
12 The Commander of the armies of angels told you to weep and mourn; he told you to shave your heads and to wear rough sackcloth to show that you were sorry for the sins that you had committed.
Bwana, Yahwe wa majeshi amewaita siku hiyo watu waje kuomboleza na kulia, wanyoe vichwa vyao na kuvaa nguo za magunia.
13 But instead of doing that, you were happy and celebrating; you slaughtered cattle and sheep, [in order to cook their] meat and eat it and drink wine. You said, “Let’s eat and drink [all that we want to], because [it is possible that] we will die tomorrow!”
Lakini angalia, badala yake sherehe na furaha, kuuwa ng'ombe na kuchinga kondoo, njooni tule na kunjwa mvinjo maana kesho tutakufa.
14 [So] the Commander of the armies of angels revealed this to me: “I will never forgive my people for sinning like this!”
Hili limebanika kwenye masikio yangu na Yahwe wa majeshi: Hakika maovu haya hayatasamehewa, hata utakapokufa, ''Amesema Bwana wa majeshi.
15 The Commander of the armies of angels said this [to me]: “Go to Shebna, the official who supervises the workers in the palace, and give this message to him:
Bwana, Yahwe wa majeshi, asema hivi, ''Nenda kwa huyu kiongozi, kwa Shebana, aliye juu ya nyumba, na umwambie,
16 '[Who do you think you are?] Who gave you the authority to build a beautiful tomb where you will be buried, chiseling it out of the rocky cliff high above this valley?
Ni nina aliyekuruhusu kuchimba kaburi lako mwenyewe, kukata juu ya kaburi na juu ya urefu katika mahali pa kupunzikia ndani mwamba?''
17 You [think that you are] [IRO] a great man, but Yahweh is about to hurl you away. [It will be as though] he will seize you,
Yahwe anakaribia kukutupa chini; mtu mwenye nguvu, anakaribia kukutupa chini; atakuzongazonga.
18 and roll/crumple you into a ball and throw you away into a large distant land. You will die [and be buried] there, and your beautiful chariots will stay there [in the hands of your enemies]. And [because of what happens to you], your master, [the king], will be [very] ashamed/disgraced.
Atahakikisha anatuzungusha zungusha, na kutupa msukosuko kama mpira kwenye nchi kubwa. Pale utakapokufa, na pale gari lako tukufu litakapo kuwa; utakuwa aibu ya nyumba ya bwana wako!
19 Yahweh will force you to quit working in the palace; you will be demoted from your important position.
''Nami nitakuondoa katika ofisi yako na katika kituo chako. Na utavutwa chini.
20 Then I will summon Hilkiah’s son Eliakim, who has served serve me [well], to replace you.
Na itakuwa hivi kuhusu siku hiyo nitamchukua Eliakimu mtoto wa Hilkia mtumishi wangu.
21 I will allow him to wear your robe, and to fasten your sash around him, and I will give to him the authority that you had. He will be like [MET] a father to the people of Jerusalem and [all the other] towns in Judah.
Nitamvisha yeye kwa kanzu yenu na kumvika mkanda wenu, na nitahamisha mamlaka yenu kwenye mikono yake. Atakuwa baba wa wenyeji wa Yerusalemu na katika nyumba ya Yuda.
22 I will give to him authority [MTY] over [what happens in] the palace where King David [lived]; when he decides something [MET], no one will be able to oppose it; when he refuses to do something, no one will be able to force him to do it.
Nitaziweka funguo za nyumba ya Daudi kwenye mabega yake; Atafungua, na hakuna atakayefunga; na atafunga na hakuna atakayefungua.
23 I will cause his family to be greatly respected, because I will put him firmly in his position [as supervisor of the workers in the palace], like [SIM] a nail that is firmly hammered into a wall.
Nami nitamuimarisha yeye, kigingi katika mahali salama, na atakuwa kiti cha utukufu katika nyumba ya baba yake.
24 Others will enable him to have much responsibility, with the result that all the members of his family, even the most insignificant ones, will be honored.'”
Nao wataangukia juu yake utukufu wote wa baba nyumba ya baba yake, watoto wake na uzao wake na kila chombo kidogo kutoka vikombe mpaka majagi yote.
25 [But] the Commander of the armies of angels also says, “[Shebna is like] [MET] a peg that is firmly fastened to the wall. But there will be a time when I will [remove him from his position]; he will lose his power/influence, and everything that he promoted [MET] will fail. [That will surely happen] because [I], Yahweh, have said it.”
Siku hiyo- hili ndilo tamko la Yahwe wa majeshi- kigingi kilichowekwa katika mazingira imara kitatoa njia, utavunjika, na kuanguka, na uzito ulionao utaondoleawa- maana Yahwe amesema.

< Isaiah 22 >