< Isaiah 20 >

1 One year King Sargon of Assyria sent the chief commander of his army [to take his soldiers] to capture Ashdod [city in Philistia].
Katika mwaka ambao Tartani alipofika kwa Ashdodi, alipotumwa na Sarjoni mfalme wa Asiria, nae akapigana na Ashdodd na akachukua.
2 At that time, Yahweh told me, “Take off the rough sackcloth that you have been wearing and take off your sandals.” [So] I did what he told me to do, and [then] I walked around naked and barefoot [for three years].
Mda huo Yahwe alizungumza na Isaya mwana wa Amozi, ''Nenda ukaondoe nguo za magunia katika kiuno chako, na ondoeni viatu vyenu kwenye miguu.'' Alifanya hivyo, tembeeni uchi na miguu wazi.
3 [Then] Yahweh said this [to the people of Judah]: “My servant Isaiah has been walking around naked and barefoot for the past three years. That is to show the terrible disasters that [I will cause the people of] Egypt and Ethiopia to experience.
Yahwe asema, ''Kama ilivyokuwa kwa mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na pasipo kuvaa viatu kwa miaka mitatu, ni ishara na dalili kuhusu Misri na kuhusu Ethiopia—
4 What will happen is that the [army of the] King of Assyria will [invade those countries and capture many of the people and] take them away as their prisoners. They will force all them, including both the young ones and the old ones, to walk naked and barefoot. They will [also] force them to have no clothes around their buttocks, which will cause [the people of] Egypt to be ashamed.
katika njia hii mfalme wa Asiria atawaongoza mateka wa Misri, na walioko uhamishoni Ethiopia, watoto kwa wazee, waliouchi na wasio na viatu, na ambao hawajajisitiri kuiweka Misri katika aibu.
5 Then the people of other countries who trusted that the armies of Egypt and Ethiopia would be able to help them will be very dismayed/confused and afraid/disappointed.
Watafadhaika na kuona aibu, kwa sababu ya Ethiopia ni matumaini yao na Misri ni utukufu wao.
6 They will say, ‘We trusted that the armies of Egypt and Ethiopia [would help us and defend us, but they have been destroyed], so there is no way [RHQ] that we can escape from [being destroyed by the army of] the King of Assyria!’”
Wenyeji wa pwani hiiwatasema siku hiyo, 'Kweli, hichi ndicho chanzo chetu cha matumaini, tulipokimbilia kuhitaji msaada kutoka kwa mfalme wa Asiria, je ni kwa jisi gani tunaweza kupona?''

< Isaiah 20 >