< Isaiah 20 >

1 One year King Sargon of Assyria sent the chief commander of his army [to take his soldiers] to capture Ashdod [city in Philistia].
Katika mwaka ule ambao jemadari mkuu alitumwa na Mfalme Sargoni wa Ashuru, naye akaja mpaka Ashdodi, akaushambulia na kuuteka,
2 At that time, Yahweh told me, “Take off the rough sackcloth that you have been wearing and take off your sandals.” [So] I did what he told me to do, and [then] I walked around naked and barefoot [for three years].
wakati ule Bwana alisema kwa kinywa cha Isaya mwana wa Amozi. Akamwambia, “Vua nguo ya gunia kutoka mwilini mwako na viatu kutoka miguuni mwako.” Naye akafanya hivyo, akatembea huku na huko uchi, bila viatu.
3 [Then] Yahweh said this [to the people of Judah]: “My servant Isaiah has been walking around naked and barefoot for the past three years. That is to show the terrible disasters that [I will cause the people of] Egypt and Ethiopia to experience.
Kisha Bwana akasema, “Kama vile mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na bila viatu kwa miaka mitatu, kama ishara na dalili mbaya dhidi ya nchi ya Misri na Kushi,
4 What will happen is that the [army of the] King of Assyria will [invade those countries and capture many of the people and] take them away as their prisoners. They will force all them, including both the young ones and the old ones, to walk naked and barefoot. They will [also] force them to have no clothes around their buttocks, which will cause [the people of] Egypt to be ashamed.
vivyo hivyo mfalme wa Ashuru atawaongoza mateka wa Wamisri, na watu wa uhamisho wa Kushi, uchi na bila viatu, vijana hata wazee, wakiwa matako wazi, kwa aibu ya Wamisri.
5 Then the people of other countries who trusted that the armies of Egypt and Ethiopia would be able to help them will be very dismayed/confused and afraid/disappointed.
Wale waliotegemea Kushi na kujivunia Misri wataogopa na kuaibika.
6 They will say, ‘We trusted that the armies of Egypt and Ethiopia [would help us and defend us, but they have been destroyed], so there is no way [RHQ] that we can escape from [being destroyed by the army of] the King of Assyria!’”
Katika siku ile watu wanaoishi katika pwani hii watasema, ‘Tazama lililowapata wale tuliowategemea, wale tuliowakimbilia kwa msaada na wokovu kutoka mikononi mwa mfalme wa Ashuru! Tutawezaje basi kupona?’”

< Isaiah 20 >