< Isaiah 13 >
1 [I], Isaiah, the son of Amoz, received [from Yahweh] this message about Babylon [city]:
Tamko kuhusu Babeli, ambalo Isaya mtoto wa Amozi alipokea:
2 Lift up a flag on the bare [top of a] hill, to signal [that an army should come to attack Babylon]. Shout to them and wave your hand [to signal to them] that they should march through the city gates into the palaces of the proud [rulers of Babylon]!
Kwenye mlima wa wazi imewekwa bendera ya ishara, lia kwa sauti kwao, wapungie mikono waende kwenye lango la wenye vyeo.
3 [Yahweh says], “I have commanded those soldiers to do that; I have summoned the warriors whom I have chosen to punish [the people of Babylon] because of my being very angry with them, and those soldiers will be very proud [when they do that].”
Nimewamuru watakatifu wangu, ndio, nimewaita watu wangu wenye nguvu kutekeleza asira yangu, na hata watu wangu wanojigmba na kujiinua wenyewe.
4 Listen to the noise on the mountains, which is the noise of a huge army marching! It is the noise made by people of many people-groups shouting. The Commander of the armies of angels has summoned this army to gather together.
Kelele za umati wa watu kwenye milima, za watu wengi! Kelele za ghasiaza ufalme kama mataifa mengi yamekusanyika pamoja! Yahwe wa majeshi anapanga jeshi kwa vita.
5 They come from countries that are far away, from the most remote places [IDM] on the earth. They are [like] [SIM] weapons that Yahweh will use [to punish the people with whom] he is very angry, and to destroy the entire country [of Babylonia].
Wametoka katika nchi ya mbali, kutoka juu ya upeo wa macho. Ni Yahwe na silaha zake za hukumu, kuhiharibu nchi yetu.
6 [You people of Babylon] will scream because you will be terrified, because it will be the time that Yahweh [has determined/chosen], the time for the all-powerful [God] to destroy [your city].
Omboleza maana siku ya Yahwe imekaribia; itakuja na uharibifu kutoka kwa Mwenyenzi.
7 All of your people will be very afraid [DOU], with the result that they will be unable even to lift their arms.
Hivyo basi mikono ining'inizwe kama kiwete, na kila moyo ulioyeyuka.
8 All of you will be terrified. You will have [PRS] severe pains like [SIM] a woman has when she is giving birth to a baby. You will look at each other helplessly, and it will show on your faces that you feel horror.
Itawatisha; maumivu na uchungu atawapa wao, kama mwanamke ambaye anajifungua. Watangalia kwa kushangaa kwa kila mmoja mmoja; nyuso zao zitakuwa kama moto.
9 Listen to this: The day that Yahweh has appointed/chosen is near, the day that he will furiously and fiercely [punish you] because he is very angry [with you]. He will cause your land [of Babylonia] to be desolate/barren, and he will destroy [all] the sinners in it.
Tazama, siku za Yahwe zinakuja na laana kali wingi wa hasira, kuifanya nchi yenye ukiwa na kuharibu wenye dhambi katika nchi.
10 [When that happens], none of the stars will shine. When the sun rises, it will be dark, and there will be no light from the moon [at night].
Nyota ya mbinguni na matangamano havitatoa nuru yake. Jua litakuwa giza na hata mwenzi hautaangaza.
11 [Yahweh says], “I will punish [everyone in] the world for the evil things that they do; I will punish the wicked people for the sins that they have committed. I will stop arrogant/proud people from being proud, and I will stop ruthless people from acting cruelly.
Nitaihadhibu nchi kwa maovu yake na makosa ya uovu wao. Nitamaliza kiburi cha majivuno na nitawashusha wenye kiburi wasiwe makali.
12 [And because I will cause most people to die], people will be harder to find than gold, harder to find than fine gold from Ophir [in Arabia].
Nitawafanya watu kuwa nadra zaidi ya dhahabu nzuri na watu kuwa vigumu kupatikana zaidi ya dhahabu safi ya Ofiri.
13 I will shake the sky, and the earth will [also] move out of its place. That will happen when [I], the Commander of the armies of angels, punish [wicked people], when [I show them that] I am extremely angry [with them].
Hivyo basi nitazifanya mbingu kutingishika, na dunia itayumba kutoka sehemu iliyoko, Kwa hasira ya Yahwe wa majeshi, na siku ya hasira yake.
14 And all [the foreigners in Babylon will run around] like [SIM] deer that are being hunted, like sheep that do not have a shepherd. They will try to find other people from their countries, and [then] they will escape [from Babylon] and return to their own countries.
Kama Paa anayewindwa au kama kondoo wasio na mchungaji, kila mtu atageukia watu wake na kukimbia kwenye nchi yake.
15 Anyone who is captured [in Babylon] will be killed by [their enemies’] swords [DOU].
Kwa yeyote atakayeonekana atauliwa, na yeyote atakayekamatwa atauliwa kwa upanga.
16 Their little children will be dashed to pieces on the rocks while [their parents] watch; [their enemies] will steal everything valuable from their houses and will rape their wives.
Watoto wao watakatwa vipandevipande mbele ya macho yao. Nyumba zao zitavamiwa na wake zao watabakwa.
17 Look! I am going to incite the people of Media to attack Babylon. The [army of Media] will attack Babylon, even if they are offered [DOU] silver or gold [if they promise to not attack it].
Tazama, ninakaribia kuwakoroga Wamede ili wawavamie wao, ambao hawaoni maana ya fedha wala furaha ya dhahabu.
18 [With] their arrows, the [soldiers of Media] will shoot the young men [of Babylon]; they will not [even] act mercifully [DOU] toward infants or children!”
Mishale yao itawachoma vijana wadogo. Hakutakuwa na shimo kwa watoto wao na hawatawacha watoto wao.
19 Babylon has been a very beautiful [MTY] city; [all] the people of Babylonia have been very proud of Babylon, [their capital city]; [but] God will destroy Babylon, like [SIM] he destroyed Sodom and Gomorrah.
Na Babali ufalme unaovutia zaidi, fahari ya mapambo ya wakaldyo, itaangamizwa na Mungu kama Sodoma na Gomora.
20 No one will ever live in Babylon again. It will be deserted forever. (Nomads/People who travel from place to place to live) will refuse to set up their tents there; shepherds will not bring their flocks of sheep to rest there.
Hapatakuwa na wenyeji wala wakazi kutoka kizazi kimoja hadi kizazi kingine. Mwarabu atapiga hema lake uko wala wachungaji hawatalaza mifugo yao pale.
21 Instead, animals that live in the desert will be there; jackals/wolves will live in [the ruins of] the houses. Owls (OR, Ostriches) will live in [the ruins], and wild goats will romp/jump around [there].
Lakini wanyama pori wa jangwani watalala pale. Nyumba zao zitajaa bundi; na mbuni watakaa huko na mbuzi pori wataruka pale.
22 Hyenas will howl in the [ruined] towers, and jackals/wolves will make their dens in [the ruins of] the palaces that [were previously] very beautiful. The time when [Babylon will be destroyed] is very near; Babylon will not exist much longer.
Fisi watalia kwenye ngome yao, na mbeha katika maeneo yao mazuri. Mda wao umekaribia, na siku zao hazitachelewa.