< Hosea 11 >

1 “Before the Israeli [people] became a nation [MET], I loved them [like a man loves] his son, and I called them out of Egypt.
“Wakati Israeli alipokuwa mtoto, nilimpenda, nilimwita mwanangu kutoka Misri.
2 But while I continued to call them, they [continued to] turn away from me more and more. They offered sacrifices to their statues of Baal, and they burned incense to [honor] them.
Lakini kadiri nilivyomwita Israeli, ndivyo walivyokwenda mbali nami. Walitoa dhabihu kwa Mabaali na kufukiza uvumba kwa vinyago.
3 [The people of] Israel were [like a little boy] [MET], and [it was as though] it was I who taught them to walk, holding them by their hands. But they did not realize that it was I who was taking care of them.
Mimi ndiye niliyemfundisha Efraimu kutembea, nikiwashika mikono; lakini hawakutambua kuwa ni mimi niliyewaponya.
4 [It was as though I fastened] ropes [around them] to lead them, while I loved them and was kind to them. [It was as though they were young oxen] [MET], and I lifted the yoke from their necks and bent down to feed them.
Niliwaongoza kwa kamba za huruma ya kibinadamu, kwa vifungo vya upendo; niliondoa nira shingoni mwao nami nikainama kuwalisha.
5 But the people of Israel will become [slaves] again, like they were in Egypt, and [the people of] Assyria will [RHQ] rule over them, because the people of Israel refused to repent.
“Je, hawatarudi Misri, nayo Ashuru haitawatawala kwa sababu wamekataa kutubu?
6 [Their enemies] will use their swords [to attack] the cities in Israel and will destroy the bars in the gates [of the city walls]. [As a result], the people of Israeli will not be able to accomplish the things that they planned to do.
Panga zitametameta katika miji yao, zitaharibu makomeo ya malango yao na kukomesha mipango yao.
7 My people are determined to (turn away from/abandon) me. They say that I am the great all-powerful God, but they do not honor me at all.
Watu wangu wamedhamiria kuniacha. Hata kama wakimwita Yeye Aliye Juu Sana, kwa vyovyote hatawainua.
8 [You people of] Israel, I certainly do not want to [RHQ] abandon you and allow [your enemies] to capture you. I do not [RHQ] want to act toward you like I acted toward Admah and Zeboiim, [cities that I completely destroyed when I destroyed Sodom]. I [SYN] have changed my mind [about punishing you]; my desire to pity you has increased.
“Efraimu, ninawezaje kukuacha? Ee Israeli, ninawezaje kukutoa? Nitawezaje kukutendea kama Adma? Nitawezaje kukufanya kama Seboimu? Moyo wangu umegeuka ndani yangu, huruma zangu zote zimeamshwa.
9 Although I am extremely angry, I do not want to punish you severely; I do not want to (devastate/completely ruin) Israel. [Humans would easily decide to do that], but I am God, not a human. I, the Holy One, am with you; although I am very angry [with you], I will not [destroy you].
Sitatimiza hasira yangu kali, wala sitageuka na kumharibu Efraimu. Kwa kuwa mimi ndimi Mungu, wala si mwanadamu, Aliye Mtakatifu miongoni mwenu. Sitakuja kwa ghadhabu.
10 You will follow me when I roar like [SIM] a lion; when I roar, [some of you] my children will tremble as you return [to Israel] from [the islands and seacoasts toward] the west.
Watamfuata Bwana; atanguruma kama simba. Wakati angurumapo, watoto wake watakuja wakitetemeka kutoka magharibi.
11 [Some of] you will come swiftly from Egypt like [a flock of] birds; [others] will return from Assyria, like doves. I will enable you to live in your homes [in Israel] again. [That will surely happen, because I], Yahweh, have said it.”
Watakuja wakitetemeka kama ndege wakitoka Misri, kama hua wakitoka Ashuru. Nitawakalisha katika nyumba zao,” asema Bwana.
12 [Yahweh says, “The people of] Israel have (surrounded me with lies/constantly told lies to me). And the people of Judah have [also] turned/rebelled against me, their God, the Holy One who always does what I promise to do, and the people of Judah worship other gods.”
Efraimu amenizunguka kwa uongo, nyumba ya Israeli kwa udanganyifu. Naye Yuda ni mkaidi dhidi ya Mungu, hata kinyume cha yule mwaminifu Aliye Mtakatifu.

< Hosea 11 >