< Ezra 2 >
1 King Nebuchadnezzar’s [soldiers] had captured many [Israeli] people and taken them to Babylonia. [Many years later, ] some Israeli people returned to Judah. Some returned to Jerusalem, and some returned to [other places in] Judah. They went to the towns where their ancestors had lived. This is a list of the groups who returned.
Hawa ndio watu katika jimbo waliochukuliwa mateka na kwenda na mfalme Nebukadneza, yeye aliwachukua utumwani Babeli, watu wakarudi katika miji yao ya Yerusalem na Yuda.
2 The leaders of those groups were Zerubbabel, Jeshua, Nehemiah, Seraiah, Reelaiah, Mordecai, Bilshan, Mispar, Bigvai, Rehum, and Baanah. There were:
Walikuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari., Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndio idadi ya wanaume ya watu wa Israeli.
3 2,172 descendants of Parosh
Waporoshi: 2, 172
4 372 descendants of Shephatiah
Wana wa Shefatia: 372
5 775 descendants of Arah
Wana wa Ara: 775.
6 2,812 descendants of Pahath-Moab, from the families of Jeshua and Joab
Wana wa Path-Moabu, kupitia Yeshua na Yoabu: 2, 812.
7 1,254 descendants of Elam
Wana wa Eliamu: 1, 254.
8 945 descendants of Zattu
Wana wa Zatu: 945.
9 760 descendants of Zaccai
Wana wa Zakai: 760.
10 642 descendants of Bani
Wana wa Binui: 642.
11 623 descendants of Bebai
Wana wa Bebai: 623.
12 1,222 descendants of Azgad
Wana wa Azgadi: 1, 222.
13 666 descendants of Adonikam
Wana wa Adonikamu: 666.
14 2,056 descendants of Bigvai
Wana wa Bigwai: 2, 056.
15 454 descendants of Adin
Wana wa Adini: 454.
16 98 descendants of Ater, whose other name was Hezekiah
Wana wa Ateri kupitia Hezekiah: tisini na nane.
17 323 descendants of Bezai
Wana wa Besai: 323.
18 112 descendants of Jorah
Wana wa Harifu: 112.
19 223 descendants of Hashum
Wanaume wa Hashimu: 223.
20 95 descendants of Gibbar. [People whose ancestors had lived in these towns in Judah: ]
Wanaume wa Gibeoni: Tisini na tano.
Wanaume wa Bethlehemu: 123.
Wanaume wa Netofa: Hamsini na sita.
Wanaume wa Anathothi: 128.
Wanaume wa Beth-Azmawethi: Arobaini na mbili.
25 743 from Kiriath-Jearim, Kephirah, and Beeroth
Wanaume wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi: Mia saba arobaini na tatu.
26 621 from Ramah and Geba
Wanaume wa Rama na Geba: 621.
Wanaume wa Mikmashi: 122.
28 223 from Bethel and Ai
Wanaume wa Betheli, na Ai: 223.
Wanaume wa Nebo: Hamsini na mbili.
Wanaume wa Magbishi: 156.
Wanaume wengine wa Elamu: 1, 254.
nne. Wanaume wa Harimu: 320.
33 725 from Lod, Hadid, and Ono
Wanaume wa Lodi, na Hadidi, na Ono: 725.
Wanaume wa Senaa: 3, 630.
36 Priests who returned: 973 descendants of Jedaiah (that is, those from the family of Jeshua)
Wana wa Yedaya kuhani wa nyumba ya Yoshua: 973.
37 1,052 descendants of Immer
Wana wa Imeri: 1, 052.
38 1,247 descendants of Pashhur
Wana wa Pashuri: 1, 247.
39 1,017 descendants of Harim. The ones from the [rest of the] tribe of Levi who returned were:
Wana wa Harimu: 1, 017.
40 74 descendants of Jeshua and Kadmiel, who were from the family of Hodaviah
Walawi: Wana wa Yeshua, na Kadmieli, wana wa Hodavia: Sabini na
41 128 singers who were descendants of Asaph
nne. Waimbaji hekaluni wana wa Asafu: 128.
42 139 (gatekeepers/men who guarded the gates of the temple) who were descendants of Shallum, Ater, Talmon, Akkub, Hatita, and Shobai.
Walinzi: wana wa Shalumu, Ateri na, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai: 139 jumla.
43 The (temple workers/men who would work in the temple) who were descendants of these men: Ziha, Hasupha, Tabbaoth,
Wale walichaguliwa kuhudumu ndani ya Hekalu: wana wa Siha, Hasufa, Tabaothi:
45 Lebanah, Hagabah, Akkub,
Lebana, Hagaba, Akubu,
46 Hagab, Shalmai, Hanan,
Hagabu, Salmai, Hanani
47 Giddel, Gahar, Reaiah,
Wana wa Gideli, Gahari, Reaya,
48 Rezin, Nekoda, Gazzam,
Resini, Nekoda, Gazamu,
50 Asnah, Meunim, Nephusim,
Asna, Meunimu, Nefusimu:
51 Bakbuk, Hakupha, Harhur,
Wana wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri:
52 Bazluth, Mehida, Harsha,
Basluthi, Mehida, Barsha:
53 Barkos, Sisera, Temah,
Barkosi, Sisera, Tema:
55 These descendants of [King] Solomon’s servants [returned]: Sotai, Hassophereth, Peruda,
Wana wa watumishi wa Selemani: Wana wa Sotai, Soferethi, Peruda,
56 Jaalah, Darkon, Giddel,
Yaala, Darkoni, Gideli,
57 Shephatiah, Hattil, Pokereth-Hazzebaim, and Ami.
Shefatia, Hatili, Pokereth-Sebaimu, Amoni,
58 Altogether, there were 392 temple workers and descendants of Solomon’s servants who returned.
Walikuwa jumla ya watumishi mia tatu tisini na mbili waliochaguliwa kutumika katika Hekalu pamoja na wana wa watumishi wa Selemani.
59 There was another group who returned [to Judah] from Tel-Melah, Tel-Harsha, Kerub, Addan, and Immer [towns in Babylonia]. But they could not prove that they were descendants of [people who previously lived in] Israel.
Wale ambao walitoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubu, Adani, na Imeri, Lakini hawakuweza kuthibitisha kizazi chao kilitoka Israeli-
60 This group included 652 people who were descendants of Delaiah, Tobiah, and Nekoda.
pamoja na mia sita hamsini na mbili wana wa Delaya, Tobia na Nekoda.
61 Hobaiah’s clan, Hakkoz’s clan, and Barzillai’s clan also returned. Barzillai had married a woman who was a descendant of Barzillai from [the] Gilead [region], and he had taken for himself the name of his father-in-law’s clan.
Vilevile, kutoka kwa wana wa kuhani: Wana wa Habaya, Hakosi, Barzilai (ambaye alipata mke kutoka kwa binti ya Barzilai, Mgileadi na akaitwa kwa jina lao)
62 The people in that group searched in the documents that had the names of the ancestors of all the clans, but these men’s names were not found. So they were not permitted do the work that priests did.
Walitafuta kumbukumbu ya kizazi chao, lakini haikupatikana, hivyo wakaondolewa kwenye ukuhani kama wasiosafi.
63 The governor told them that they would need to ask a priest to consult Yahweh by [(casting/throwing] the sacred lots/stones [that had been marked]), to determine if those men were truly Israelis. When the priests did that, [if the stones showed that those men were Israelis], they would be permitted to eat the shares of the sacrifices that were given to the priests.
Hivyo kiongozi akawakataza wasile kitu chochote kitakatifu kilichotakaswa mpaka kuhani mwenye Urimu na Thumimu athibitishe.
64 Altogether 42,360 Israeli people who returned to Judah.
Jumla ya kundi 42, 360,
65 There were also 7,337 servants and 200 musicians, both men and women, who returned.
ukiondoa watumishi na wasaidizi (wao walikuwa 7, 337) waimbaji Hekaluni wanaume na wanawake (mia mbili)
66 The Israelis brought with them [from Babylonia] 736 horses, 245 mules,
Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245.
67 435 camels, and 6,720 donkeys.
Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720.
68 When they arrived at the temple of Yahweh in Jerusalem, some of the clan leaders gave money [for the supplies needed] to rebuild the temple at the place where the temple had been previously.
Walipokwenda kwenye nyumba ya Yahwe Yerusalem, wakuu wa mababa walijitoa kwa hiari kujenga nyumba.
69 They all gave as much money as they were able to give. Altogether they gave 61,000 gold coins, (6,250 pounds/3,000 kg.) of silver, and 100 robes for the priests.
Walitoa kadiri ya uwezo wao katika kufadhili kazi: Dhahabu za darkoni sitini na moja elfu, mane za fedha elfi tano na mavazi mia moja ya makuhani.
70 Then the priests, the [other] descendants of Levi, the musicians, the temple guards, and some of the [other] people started to live in the towns and villages [near Jerusalem]. The rest of the people went to the other places in Israel where their ancestors had lived.
Basi makuhani na walawi, watu, waimbaji hekaluni, na walinzi wa getini, na wale waliochaguliwa kutumika katika Hekalu walikaa katika miji yao. Watu wote katika Israel walikuwa katika miji yao.