< Ezekiel 42 >

1 [in the vision] the man led me out of the inner courtyard, through [the entrance on] the north side. We entered the outer courtyard and came to a building that was built against the north [of the inner courtyard].
Kisha yule mtu akanituma kwenda ua wa nje upande wa kaskazini, akanileta kwenye vyumba mbele ya ua wa nje na ukuta wa nje kaskazini.
2 That building was (175 feet/53 meters) long and (87-1/2 feet/26.5 meters) wide. Its doorway faced north.
Hivyo vyumba vilikuwa dhiraa mia moja karibu na mbele yake na dhiraa hamsini upana.
3 In that building were two rows of rooms, built on three levels, that faced each other. One row of rooms was built against the wall of the inner courtyard, and the other row was built against the wall facing the outer courtyard. The building was 34 feet from the temple.
Baadhi ya hivyo vyumba vilielekea ua wa ndani na vilikuwa na dhiraa ishirini kutoka patakatifu. Kulikuwa na vyumba vitatu vinavyolingana, na kingine juu kilichokuwa kimetazama chini kuelekea kingine vilikuwa vimefunguliwa, vilikuwa na pakutokea. Baadhi ya vyumba vilielekea nje kwenye ua wa nje.
4 Between the [two] rows of rooms there was a walkway that was (17-1/2 feet/5.3 meters) wide and (175 feet/53 meters) long. All its doors were on the north side.
Njia dhiraa kumi upana dhiraa mia moja urefu kueleikea mbele ya vyumba. Milango ya vyumba ilikuwa mbele kaskazini.
5 Each of the upper rows of rooms was narrower than the row of rooms below them, [because the upper rows needed to have a walkway in front of them].
Lakini kumbi za juu zilikuwa ndogo, kwa ajili ya njia za kutembea zilichukua kutoka kwazo sehemu kubwa kulikuwa walivyofanya kwenye vyumba vya chini na katikati usawa wa jengo.
6 The rooms on the upper levels had no pillars to support them like the ones in the courtyard. Instead, each of those row of rooms were supported by the walls of the row of rooms on the level below.
Kwa kuwa orofa tatu hapakuwa na mihimili, kama zile nyua, ambazo zilikuwa na mihimili. Hivyo usawa wa vyumba vya juu vilikuwa sawa sawa katika kipimo cha kulinganisha na vyumba vya chini na usawa wa katikakati.
7 The wall of the building extended (87-1/2 feet/26.5 meters) past the set of rooms built along the outer courtyard, separating all the rooms from the outer courtyard.
Ukuta wa nje karibu na vyumba mbele ya ua wa nje, ua uliokuwa mbele ya vyumba. Huo ukuta ulikuwa dhiraa hamsini urefu.
8 The row of rooms that were along the outer courtyard was (87-1/2 feet/26.5 meters) long, and the set of rooms that faced the temple was (175 feet/53 meters) long.
Urefu wa vyumba vya ua wa nje ulikuwa dhiraa hamsini, na vyumba vilivyokuwa vimeelekea patakatifu vilikuwa dhiraa mia moja urefu.
9 The lowest row of rooms had an entrance from the outer courtyard, on the east side.
Kulikuwa na mahali pa kuingilia kwenye vyumba vidogo zaidi kutoka upande mashariki, kuingia kutoka ua wa nje.
10 On the south [side], along the wall of the outer courtyard, next to the temple courtyard, was a [a building with two] rows of rooms,
Karibu na ukuta wa ua wa nje juu ya upande wa mgaribi pa ua wa ndani, mbele ya patakatifu pa ua wa nje, pia kulikuwa na vyumba na njia ya mbele yao.
11 with a walkway between them. Those rooms were like the rooms on the north [side]: they were the same length and width, and had the same kind of entrances.
zilikuwa kama umbo la vyumba kwa upande wa kaskazini. Zilikuwa urefu ule ule na upana na matokeo yale yale na mipangilio na madirisha.
12 The doorways on the south side were similar to the doorways on the north side. There was an entrance in the wall that faced the doors of the set of rooms, and there was an entrance on the east side, at the end of the inside walkway.
Kwa upande wa kusini kulikuwa na madirisha kwenye vyumba ambavyo vilikuwa kama yale yaliyokuwa upande wa kaskazini. Aya iliyokuwa ndani ilikuwa na mlango kwenye kichwa chake, na njia ilifunguliwa kwenye vyumba tafauti. Upande mashariki kulikuwa na malango wa njia kwenye njia mwishoni.
13 Then the man said to me, “These rooms that overlook the temple on the north and south sides are holy. Here the priests who offer sacrifices to Yahweh will [their portions of] the sacred offerings. Because these rooms are holy, they will be used to store the sacred offerings: [the grain for] the grain offerings, the offerings for the sins that people have committed, and offerings in order that people will no longer be guilty for having sinned.
Kisha yule mtu akanambia, “Vyumba vya kaskazini na vyumba vya kusini vilivyokuwa mbele ya ua wa nje ni vyumba vitakatifu amabapo makuhani wafanyao kazi karibu sana na Yahwe waweze kula chakula kitakatifu sana. Wataweka vitu vitakatifu sana-sadaka ya chakula, sadaka ya dhambi, na sadaka ya hatia-kwa kuwa hapa ni mahali patakatifu.
14 When the priests leave the temple, they will not be allowed to [immediately] enter the outer courtyard. First, they must remove the clothes that they had been wearing inside the temple, because those clothes are holy. They must put on other clothes before they enter the parts [of the temple area] where the [other] people [gather].”
Wakati makuhani watakapoingia hapo, wasitoke nje ya mahali patakatifu kwa ua wa nje, bila kuweka mavazi karibu mahali wahudumupo, kwa kuwa hapa ni patakatifu. Hivyo watavalia mahali pengine nguo kabla ya kwenda karibu na watu.”
15 When the man had finished measuring the inside of the temple area, he led me out through the east entrance [of the outer courtyard] and measured all the way around the temple area.
Yule mtu akamaliza kupima ndani ya nyumba na kisha akanichukua nje ya lango lililokuwa limeelekea magharibi na kuzipima sehemu zote zilizokuwa zimepazunguka hapo.
16 He measured the four sides of the area. There was a wall around the area that was (875 feet/265 meters) long on each side.
Akaupima upande wa mashariki na fimbo ya kupimia-dhiraa mia tano kwa fimbo ya kupimia.
akaupima upande wa kaskazini-dhiraa mia tano na fimbo ya kupimia.
Pia akaupima upande wa kusini dhraa mia tano na fimbo ya kupimia.
Pia akageuka na kuupima upande wa magharibi dhiraa mia tano kwa fimbo ya kupimia,
20 That wall separated the [area which was] sacred/holy from the [areas that were] not sacred.
Akaipima pande nne. Ilikuwa na ukuta umeizunguka ilikuwa dhiraa mia tano urefu, na dhiraa mia tano upana, kulitenganisha umbo takatifu kutoka ambapo ni pa kawada.

< Ezekiel 42 >