< Exodus 33 >

1 Yahweh said to Moses/me, “Leave this place and go with the people whom you led out of Egypt. Go to the land that I promised Abraham, Isaac, and Jacob that I would give to their descendants.
Yahweh anasema na Musa, “Nenda kutoka hapa, wewe na watu ulio watoa kutoka nchi ya Misri. Nenda kwenye nchi nilio fanya nadhiri na Ibrahimu, Isaka, Yakobo, nilipo sema, 'Nitakupa wewe na uzao wako'.'
2 I will send my angel ahead of you all, and I will expel [from that land] the Canaan, Amor, Heth, Periz, Hiv, and Jebus people-groups.
Nitatuma malaika mbele yako, na kuwaondoa Wakanani, Waamori, Wahiti, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
3 You will go to a land that will be very good for raising livestock and growing crops [IDM]. But I will not go with you myself, because [if I did that], I might get rid of you while you are traveling, because you are very stubborn [IDM] people.”
Nenda kwenye hiyo nchi, inayo tiririka kwa maziwa na asali, lakini sitaenda nawe, kwasababu ninyi ni watu wajehuri. Ninaweza kuwaharibu njiani.”
4 Yahweh said to Moses/me, “Tell the Israeli people, ‘You are very stubborn [IDM]. If I would go with you for even a moment, I would completely (get rid of you/wipe you out). Now take off your jewelry [to show that you are sorry for having sinned]. Then I will decide how I will punish you (OR, if I should punish you).’” So when Moses/I told to the people what God said, they started to mourn, and they all took off their jewelry.
Watu walipo sikia haya maneno ya kushtua, walilia, na hakuna aliye vaa mikufu.
5
Yahweh alisema kwa Musa, “Waambie Waisraeli, 'Ninyi ni watu wakorofi. Kama ningeenda miongoni mwenu ata kwa muda kidogo, nigewaharibu ninyi. Hivyo sasa, toa mikufu yenu ili niamue nini cha kufanya kwenu.”'
6 After the Israeli people left Sinai Mountain, they did not wear jewelry any more.
Hivyo Waisraeli hawaku vaa mikufu kutoka Mlima Horebu na kwendelea.
7 [When the Israeli people traveled], whenever they stopped and set up their tents, Moses/I had them set up a tent outside the camp, far from the camp. I called it ‘the Sacred Tent where God and I talk together’. Everyone who wanted Yahweh to decide something for them would go out of the camp to the Sacred Tent.
Musa akachukua hema na kukita nje ya kambi, umbali kidogo na kambini. Aliita hema ya kukutania. Kila mtu alliye muuliza Yahweh kitu chochote alienda kwenye hema ya kukutania, nje ya kambi.
8 Whenever Moses/I went out to the Sacred Tent, all the people would stand at the entrances of their tents and watch him/me until he/I had entered the Sacred Tent.
Kisha Musa alipo enda kwenye hema, watu wote walisima kando ya hema yao na kumuangalia Musa hadi alipo ingia ndani.
9 When Moses/I entered the Sacred Tent, the tall cloud that looked like a fire would come down and stay at the entrance of the Sacred Tent, and then Yahweh would talk with Moses/me.
Wakati wowote Musa alipo ingia hemani, nguzo ya wingu ilishuka chini na kusimama nje ya lango la hema, na Yahweh alizungumza na Musa.
10 When the people saw the tall cloud at the entrance of the Sacred Tent, they would all prostrate themselves on the ground and worship Yahweh.
Wakati wowote watu walipo ona nguzo ya wingu imesimama langoni mwa hema, waliamka na kuabudu, kila langoni mwa hema yake.
11 Yahweh would speak to Moses/me directly, like someone speaks to his friend. Then Moses/I would return to the camp. But his/my young helper, Joshua, the son of Nun, stayed in the Sacred Tent.
Yahweh alizungumza na Musa uso kwa uso, kama mtu anapo zungumza na rafiki yake. Kisha Musa alirudi kambini, lakini mtumishi wake Yoshua mwana wa Nuni, kijana, alibaki hemani.
12 Moses/I said to Yahweh, “It is true that you have told me, ‘Lead the people to the land [that I will show you],’ and you have said that you know me well and that you are pleased with me, but you have not told me whom you will send with me!
Musa alisema na Yahweh, “Ona, umekuwa ukisema na mimi, 'Chukuwa watu hawa safarini,' lakini hauja niambia nani utamtuma na mimi. Umesema, 'Nina kujua kwa jina, na umepata upendeleo kwangu.'
13 So now, if you are truly pleased with me, I ask you, tell me the things that you intend/plan to do, in order that I will know you [better] and continue to please you. Also, do not forget that the [Israeli] people are the people whom you chose to belong to you.”
Kama nimepata upendeleo machoni pako, nionyeshe njia zako ili nikujue na kuendelea kupata upendeleo machoni pako. Kumbuka ili taifa ni watu wako.”
14 Yahweh replied, “I will go with you, and I will give you inner peace.”
Yahweh akajibu, “Uwepo wangu utaenda nawe, na nitakupa pumziko.”
15 Moses/I replied, “If you do not go with me, do not force us to leave this place.
Musa akasema, “Kama uwepo wako hautaenda nasi, usitutoe hapa.
16 The only way that [other] people will know that you are pleased with me and with your people is if you go with us [RHQ]! (If you go with us, [that will show that] we are different from all the other people on the earth./If you do not go with us, what will show that we are different from all the other people on the earth?)” [RHQ]
Au je, itajulikanaje niimepata upendeleo machoni pako, mimi na watu wako? Haitakuwa kuwa tu kama ukienda nasi mimi na watu wako tutakuwa na utofauti na watu wengine wote waliopo katika uso wa dunia?”
17 Yahweh replied to Moses/me, “What you have asked is exactly what I will do, because I know you well and I am pleased with you.”
Yahweh akamwambia Musa, “Nitafanya pia hichi kitu ulicho niomba, kwa kuwa umepata upendeleo machoni mwangu, na nina kujua kwa jina lako.”
18 Then Moses/I said, “Please let me see your glorious presence!”
Musa akasema, Tafadhali nionyeshe utukufu wako.”
19 Yahweh replied, “I will let you see how great and glorious I am, and I will tell you clearly that my name is Yahweh. I will act very kindly and be merciful to all those whom I choose.
Yahweh akasema, “Nitafanya wema wangu wote ujulikani kwako, na nitatangaza jina langu 'Yahweh' kwako. Nitakuwa na neema kwake nitakae kuwa na neema, na nitaonyesha rehema kwake nitakaye onyesha rehema.”
20 But you are not allowed to see my face, because anyone who sees my face will (die/not continue to stay alive).
Lakini Yahweh akasema, “Hauta ona uso wangu, kwa kuwa hakuna aonaye uso wangu na kuiishi.”
21 [But look]! Here is a place close to me where you can stand on a [large] rock.
Yahweh akasema, “Ona, hapa kuna sehemu yangu; utasimama kwenye huu mwamba.
22 When my glorious presence comes past you, I will put you in a large crevice/opening in the rock, and I will cover your face with my hand until I have passed by.
Wakati utukufu wangu unapita, nitakuweka kwenye shimo kubwa la mwamba na kukufunika kwa mkono wangu mpaka nitakapo pita.
23 Then I will take my hand away, and you will see my back, but you will not see my face.”
Kisha nitaondoa mkono wangu, na utaona mgongo wangu, ila uso wangu hautaonekana.”

< Exodus 33 >