< Esther 7 >

1 So the king and Haman went to eat the second banquet/feast that Queen Esther had prepared.
Kwa hiyo mfalme na Hamani wakaenda kausherekea na malkia Esta.
2 As they were drinking wine, the king asked again, “Esther, what do you want me to do [for you? Tell me, and] I will do it for you. Even if [you ask me for] half of my kingdom, I will give it to you.”
Katika siku ya pili, baada ya kuletwa mvinyo, mfalme akamwambia Esta, “Ni nini haja ya moyo wako? Na nini ombi lako? Hata nusu ya ufalme wangu utapewa.”
3 Esther replied, “O king, if you are pleased with me, and if you are willing to do [what I ask], save me, and save my people. That is what I want you to do for me.
Kisha Malkia amwambia mfalme, kama nimepata kibali machoni pako, na kama ikikupendeza, nipewe maisha yangu, na hili ndio haja ya moyo wangu, na hili pia ni ombi kwa watu wangu pia.
4 [It is as though] I and my people [are cattle that] have been sold to be slaughtered. [It is as though] we have been sold to people who want to completely destroy us. If we had only been sold to people to become their male and female slaves, I would not say anything, because that would have been a matter too small to bother you, the king.”
Kwa kuwa mimi na watu wangu tumeuzwa, ili tuharibiwe, tuuwawe, na tungamizwe. Kama tungeuzwa utumwani, kama wanaume na wanawake, ningenyamaza kimya, na nisingeweza kumsumbua mfame.”
5 Then King Xerxes asked her, “Who would want to do such a [terrible] thing? Where is he?”
Kisha Mfalme Ahusiero akamwambia malkia Esta, “Ni nani huyo? Ni nani aliyekusudia moyoni mwake kutenda jambo hili?
6 Esther replied, “[The man who is] our enemy is this evil man Haman!” Then Haman was terrified as he stood in front of the king and queen.
Esta akasema, “Ni huyu mwovu Hamani, adui!” Hamani akashikwa na Hofu mbele za mfalme na malkia.
7 The king became extremely angry. He immediately left his wine and got up and went outside into the palace garden [to decide what to do]. But Haman stayed, in order to plead with Queen Esther that she would spare his life.
Na kwa ghadhabu mfalme akatoka karamuni katika sehemu ya mvinyo na akaenda katika bustani ya ikulu, Lakini Hamani alibaki akimsihi Malkia Esta ili aokoe maisha yake. Kwa sababu aliona mfalme amemkusudia ubaya.
8 He threw himself down on the couch where Esther was reclining. But at that moment the king returned from the garden to the room where they had been eating. [He saw Haman, and assumed he was preparing to rape Esther]. He exclaimed, “Are you going to rape the queen while she is here with me in my own palace?” As soon as the king said that, some officials covered Haman’s head, [as they did to people who were about to be hanged].
Mfalme akarudi kutoka katika bustani ya ikulu, na kuingia katika chumba ambamo kulikuwamo mvinyo. Hamani alikuwa ameanguka chini ya kochi alilokuwa ameketi Esta. Mfalme akakasirika na kusema, “atamdharirisha malkia mbele zangu katika nyumba yangu?” Mara tu maneno haya yalipotoka kinywani mwa mfalme, watumizhi wakafunika uso wa Hamani.
9 Then Harbona, one of the king’s personal officials, said, “[Outside, ] near Haman’s house, there is a (gallows/set of poles for hanging someone). It is 75 feet high. Haman made it for Mordecai, the man who spared your life!” The king said, “Hang him on it!”
Kisha Habona, mmoja wa watumishi aliye mtumikia mfalme akamwambia mfalme, “Mti wenye urefu wa futi hamsini uko nyumbani kwa Hamani. Ulikuwa umeandaliwa kwa ajili ya Modekai, aliye toa taarifa kuhusu mpango wa kuangamizwa kwako.” Mfalme akesema,”Mtundikeni Hamani juu yake.”
10 So they hanged Haman on the gallows that he had prepared for hanging Mordecai! And then (the king’s anger cooled off/the king was no longer so angry).
Kwa hiyo wakamtundika Hamani kwenye mti aliuandaa kwa ajili ya Modekai. Na hasira ya mfalme ikatulia.

< Esther 7 >