< Esther 10 >

1 King Xerxes required that all the people in his empire pay taxes. Even the people who lived on the islands [in the Mediterranean Sea] (OR, in coastal areas) were required to pay taxes.
Mfalme Ahasuero alitoza ushuru katika ufalme wake wote hadi kwenye miambao yake ya mbali.
2 And all the great and powerful things that Xerxes did were written in the scroll called/entitled ‘The record of the things done by the kings of Media and Persia’. In this book were also written [the things done] by Mordecai, the man whom the king had greatly honored.
Matendo yake yote ya nguvu na uwezo, pamoja na habari zote za ukuu wa Mordekai ambao mfalme alikuwa amemkuza, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Umedi na Uajemi?
3 Mordecai, who was a Jew, became the king’s most important official, and [all] the Jews also considered him to be a very great man. They [all] respected him, because he did many good things for the Jews, and he often asked [the king] to do good things for them.
Mordekai Myahudi alikuwa wa pili kwa cheo kutoka Mfalme Ahasuero, naye alikuwa bora kabisa miongoni mwa Wayahudi, akipandishwa katika heshima ya juu na ndugu zake Wayahudi kwa sababu aliwatendea mema watu wake, na alizungumza kwa ajili ya ustawi wa Wayahudi wote.

< Esther 10 >