< Deuteronomy 30 >
1 “I have now told you about the ways that Yahweh our God will bless you [if you obey him] and the ways that he will curse you [if you disobey him]. I am saying that you must choose which you want. But when [you choose not to obey his laws], some day you will be living in the countries to which he will scatter you, and you will remember [what I told you].
Vitu hivi vitakavyokuja juu yako, baraka na laana nilizoziweka mbele yako, na utakapozirejea akilini miongoni mwa mataifa mengine ambapo Yahwe Mungu wako kawapeleka,
2 Then, if you return to Yahweh our God and faithfully [IDM] obey all that I have today commanded you to do,
na utakapomrudia Yahwe Mungu wako na kutii sauti yake, na kufuata yote ambayo nayokuamuru leo – wewe na watoto wako – kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote,
3 he will be merciful to you. He will bring you back from the nations to which he scattered you, and he will cause you to be prosperous again.
kisha Yahwe Mungu wako atageuza kutekwa kwako na kukuhurumia; atawarudisha na kuwakusanya kutoka kwa watu wote ambapo Yahwe Mungu wako aliwatawanya.
4 Even if you have been scattered to the most distant places on the earth, Yahweh our God will gather you from there and bring you back [to your land].
Iwapo yeyote ya watu walio uhamishoni wapo katika sehemu za mbali sana chini ya mbingu, kutoka huko Yawhe Mungu wako atawakusanya, na kutoka huko atawarejesha.
5 He will enable you to possess again the land where your ancestors lived. And he will cause you to be more prosperous and more numerous than you are now.
Yahwe Mungu wako atawaleta katika nchi ambayo mababu zenu walimiliki, nanyi mtaimiliki tena; atawatendea mema na kuwazidisha zaidi ya alivyofanya kwa mababu zenu.
6 Yahweh our God will change [MET] your inner beings, with the result that you will love him more than you love anything else and want to do only what he wants you to do. And then you will continue to live in that land.
Yahwe Mungu wako atatahiri moyo wako na moyo wa uzao wako, ili umpende Yahwe Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote, ili kwamba uweze kuishi.
7 Yahweh our God will cause your enemies and those who oppressed/persecuted you to experience all the disasters that I have told you about.
Yahwe Mungu wako ataweka laana hizi zote kwa maadui zako na kwa wote wakuchukiayo, wale waliokutesa.
8 You will do what Yahweh wants you to do, as you did before, and you will obey all the commands that I have given to you today.
Utarudi na kutii sauti ya Yahwe, nawe utatenda amri zake zote ambazo ninakuamuru leo.
9 Yahweh our God will cause you to be very successful in all that you do. You will have many children [IDM], and a lot of cattle, and you will have abundant crops. He will again be happy to enable you to prosper, just like he was happy to enable your ancestors to prosper.
Yahwe Mungu wako atakufanikisha katika kazi yote ya mkono wako, katika matunda ya mwili wako, katika matunda ya mifugo yako, na katika matunda ya nchi yako, kwa mafanikio; kwa maana Yahwe atafurahia tena mafanikio yako, kama alivyofurahia kwa baba zako.
10 [But he will do those things only] if you do what he has told you to do, and if you obey all his rules and regulations that I have written about [in this scroll], and if you will love him more than you love anything else and want to do only what he wants you to do.
Atafanya hivi iwapo utatii sauti ya Yahwe Mungu wako, ili kuzishika amri zake na kanuni zake zilizoandikwa katika kitabu hiki cha sheria, iwapo utamgeukia Yahwe Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote.
11 The commands that I am giving to you today are not very difficult for you [to obey], and they are not [difficult to know].
Kwa maana amri hii nayokuamuru leo sio ngumu sana, wala haipo nje ya uwezo wako kufikia.
12 They are not in heaven, with the result that you need to say, ‘(Who will need to go up to heaven for us to bring them [down here to us] in order that we can hear them and obey them?/Someone will need to go up to heaven for us to bring them [down here to us] in order that we can hear them and obey them.)’ [RHQ]
Haipo mbinguni, ili usije ukasema, “Nani atayekwenda kwa ajili yetu mbinguni na kutuletea kwetu na kutufanya tuisikie, ili tuweze kutekeleza?”
13 And they are not on the other side of the sea, with the result that you need to say, ‘(Who will need to cross the sea for us and bring them back to us, in order that we can hear them and obey them?/Someone will need to cross the sea for us and bring them back to us, in order that we can hear them and obey them.)’ [RHQ]
Wala haipo ng’ambo ya bahari, ili usije ukasema, “Nani atakwenda ng’ambo ya pili ya bahari kwa ajili yetu na kutuletea kwetu na kutufanya tuisikie, ili tuweze kuifanya?”.
14 [You do not need to do that because] his commands are here with you. You know them [MTY] and you have (memorized them/put them in your minds). So you can [easily] obey them.
Lakini neno lipo karibu sana kwako, katika kinywa chako na moyo wako, ili uweze kutekeleza.
15 So listen! Today I am allowing you to choose between [doing what is] evil and [doing what is] good, between what will enable you to live [for a long time] and [what will cause you] to die [while you are still young].
Tazama, leo nimeweka mbele yako uzima na wema, mauti na uovu.
16 [I say again], if you obey the commands of Yahweh our God that I am giving to you today, and if you love him and conduct your lives as he wants you to do, and if you obey all his rules and regulations, you will prosper and become very numerous, and Yahweh our God will bless you in the land that you are about to enter and possess.
Iwapo utatii maagizo ya Yahwe Mungu wako, ambayo ninakuamuru leo kumpenda Yahwe Mungu wako, kutembea katika njia zake, na kushikilia amri zake, kanuni zake, na sheria zake, utaishi na kuongezeka, na Yahwe Mungu wako atakubariki katika nchi ambayo unaingia kumiliki.
17 But if you turn away [from Yahweh] and refuse to heed what he says, and if you allow yourselves to be led away to worship other gods,
Lakini moyo wako ukigeuka, na usisikilize na badala yake unavutwa na kusujudia miungu mingine na kuwaabudu,
18 I am warning you today that you will [soon] die. You will not live for a long time in the land that you are about to cross the Jordan [River] to enter and possess.
basi leo nakutangazia kwako ya kwamba hakika utaangamia; siku zako hazitaongezeka katika nchi unayoipita juu ya Yordani kuingia na kumiliki.
19 I am requesting that [everyone in] heaven and the earth testify to you, that today I am allowing you to choose whether you [want to] live for a long time or to soon die, whether [you want Yahweh to] bless you or to curse you. So choose to live.
Naziita mbingu na nchi kushuhudia dhidi yako ya kuwa nimeweka mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; kwa hiyo chagua uzima ili kwamba uweze kuishi, wewe na uzao wako.
20 [Choose to] love Yahweh our God, and to obey him [MTY], and to (be faithful to/have a close relationship with) him. If you do that, you and your descendants will live for a long time in the land that Yahweh solemnly promised to your ancestors Abraham, Isaac, and Jacob, that he would give to them.”
Fanya hivi ili umpende Yahwe Mungu wako, kutii sauti yake, na kung’ang’ania kwake. Kwa maana yeye ni uzima wako na urefu wa siku zako; fanya hivi ili kwamba uweze kuishi katika nchi ambayo Yahwe aliapa kwa mababu zako, kwa Abrahamu, kwa Isaka, na kwa Yakobo, kuwapatia.